mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,266
- 4,057
Natamani spain achukue ubingwa ila hiki ulichokisema hapa nahisi ndicho kitatimiaFainali ni uholanzi na Spain bingwa ni uholanzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani spain achukue ubingwa ila hiki ulichokisema hapa nahisi ndicho kitatimiaFainali ni uholanzi na Spain bingwa ni uholanzi
we bado nakuona uko awali hata chekechea hujafika jitahidi usikwepe umande ukaacha shule fika walikofikia wenzako angalau utoe matongotongo kila kitu kinawezekanaKwanini ivunjwe kwani huyo Dogo ni nani haswa hadi avunje rekodi, usikariri kama uko chekechea.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hawana mganga hao ila wana kiumbe kinaitwa "bahati" kama hakitawaacha solemba inaweza kutokea wakabeba kombe.England akinyanyua kwapa itabidi nikamsake mganga wao
Kwani tunaongelea klabu anayochezea sasa hivi au timu ya Taifa ya Ufaransa?PSG ya sasa hivi imejaa damu changa hakuna wazee pale.
Sawa.we bado nakuona uko awali hata chekechea hujafika jitahidi usikwepe umande ukaacha shule fika walikofikia wenzako angalau utoe matongotongo kila kitu kinawezekana
Dah kweli jamaa wana bahati sii mchezo ila bora wao angalau wanafunga magoli kuliko wale wandegerekoHawana mganga hao ila wana kiumbe kinaitwa "bahati" kama hakitawaacha solemba inaweza kutokea wakabeba kombe.
Badaye new holland lazma amlime mkoloni
Spain kama kamfunga ufaransa basi ndio bingwa mtarajiwa.Natamani spain achukue ubingwa ila hiki ulichokisema hapa nahisi ndicho kitatimia
Naunga mkono hojaNatamani spain achukue ubingwa ila hiki ulichokisema hapa nahisi ndicho kitatimia
Na mwenzake arne slotMpaka sasa kocha mwenye kipara ambaye ni tapeli ni Ten hag tu
Ufaransa kwenye mashindano haya wamekuwa timu ya kawaidaSpain kama kamfunga ufaransa basi ndio bingwa mtarajiwa.
Mimi naongelea kiwango chake kwa ujumla hasa msimu ulioisha na kwenye mashindano ya Euro.Kwani tunaongelea klabu anayochezea sasa hivi au timu ya Taifa ya Ufaransa?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.