Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ni muda wa kukagua risitiZamu hii atabeba France .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni muda wa kukagua risitiZamu hii atabeba France .
Wasponyola dimba la kati wanakichafua mnoHuyu FABIAN LUIZ surprise package
Mkoloni leo janjajanja yake inaishaKuna Jamaa anasema Yamal ni best kuliko mbape, huyo atakuwa kaanza kufatilia mpira juzi, Leo Niko na Three lion's to the final
Hamna, Holland hawezi kumsumbua sana England,maana kule kwa gapko Kuna walker huko ndo waga Kuna threat sana pia kwenye midfield Kuna mido nzuri za kingereza so Holland ndo atakuwa unausaka muda woteMkoloni leo janjajanja yake inaisha
Sema huyo kocha sijajua shida nini! Kule kwa tripper angeanza na natural RB ambaye ni shaw Ili awe anapanda at least na kupiga cross kwa kane,maana tangu michuano ianze ule upande hautishi wapinzani kama ule mwingine wa sakaWakoloni XIView attachment 3038777
LBSema huyo kocha sijajua shida nini! Kule kwa tripper angeanza na natural RB ambaye ni shaw Ili awe anapanda at least na kupiga cross kwa kane,maana tangu michuano ianze ule upande hautishi wapinzani kama ule mwingine wa saka
Holland Mali inatulia vizuri mguuni, mkoloni akae sawa tuHamna, Holland hawezi kumsumbua sana England,maana kule kwa gapko Kuna walker huko ndo waga Kuna threat sana pia kwenye midfield Kuna mido nzuri za kingereza so Holland ndo atakuwa unausaka muda wote
Kupitia hii michuano ndio nimegundua PSG kumbe Wana watu sana, fikiria katikt una mtu kama Fabian Ruiz na Vitinha winga una Barcola, DembeleKila nikimuona Fabian ruiz namkumbuka fundi Guti H
Tathmini yako fupi ila madini sanaKupitia hii michuano ndio nimegundua PSG kumbe Wana watu sana, fikiria katikt una mtu kama Fabian Ruiz na Vitinha winga una Barcola, Dembele