Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Ma maeeeeee
Hahahdaa GOAT acha basiNaona watabiri wengi wamempa ushindi Holland wa goli 2-1
Ile hata Oliver Khan hagusi Mkuu.Huyu Pickford bwana GOAT na Dr Restart mnamkubali ila hii angeitoa.
Hahaha lango la kusini limevunjwaKesho mje kwenye show za Southgate😁
Sasa Maino kakosea nini pale?Tukiacha kupepesa macho Maino bado anavitu vingi vya kujifunza kwenye idara ya kiungo
Anakata moto mapema sana hata kwenye club yake ya manchester united hatakiwi kuwa kiungo tegemezi bado mchanga sana
Mara nyingi anakuwa out of position
Faida yake ni kuwa hapigi pasi mkaa
Sijawahi kuwakubali viungo wa kiingereza, huwa kama Big GTukiacha kupepesa macho Maino bado anavitu vingi vya kujifunza kwenye idara ya kiungo
Anakata moto mapema sana hata kwenye club yake ya manchester united hatakiwi kuwa kiungo tegemezi bado mchanga sana
Mara nyingi anakuwa out of position
Faida yake ni kuwa hapigi pasi mkaa
Jamaa kapepesuka kisuli suli.Huyu Pickford bwana GOAT na Dr Restart mnamkubali ila hii angeitoa.
Mwingereza za buza utajua hujuiSasa Maino kakosea nini pale?
England miaka na miaka hawanaga kipa. Kidogo alikua joh hart, nae pia alikua roho mkononi. Imagine tu Spain kipa Kama David raya anasugua benchHuyu Pickford bwana GOAT na Dr Restart mnamkubali ila hii angeitoa.