Mkate usiku huu jamaniAfadhali wanatuwahisha vitandani maana wangefanya nimalize mkate wangu kusubiri extra time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkate usiku huu jamaniAfadhali wanatuwahisha vitandani maana wangefanya nimalize mkate wangu kusubiri extra time
Wazee wa kugida vyombo na magazeti asubuhi yataamka yamekolezwa wino huko ukoloniniLeo usiku TBL ya Ujerumani itakaukiwa na stock ya vinywaji
Ndio haoo fainaliHuo u- top sijauona tangu Euro hii imeanza
USSR
😂😂😂mkuu wangeendelea extra time njaa ingeanza kuniuma na kitu pekee ninacho hapa ndani ni mkate na biaMkate usiku huu jamani
Una ufala mwingi😂😂😂mkuu wangeendelea extra time njaa ingeanza kuniuma na kitu pekee ninacho hapa ndani ni mkate na bia
Bia zinaisha leo..Leo usiku TBL ya Ujerumani itakaukiwa na stock ya vinywaji
Underrated one
Mtajua wenyewe.england kagoma kufa, toka group stage tunamuwinda ila imeshindikana. spain atafanya kweli , harry kane fainali asicheze
extra ni kuchoshana😂😂😂mkuu wangeendelea extra time njaa ingeanza kuniuma na kitu pekee ninacho hapa ndani ni mkate na bia