Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namna hiyo. Twende tukalianzishe.Huu ni muda wa match yetu, sogea uwanjani
Fata funguo huna jinsi, kuna kibaridi kinafaa kulaliasijui imekuaje nmesahau funguo zangu zote Bar kuanzia za Geti hadi Chumbani 😢kibaya zaidi nafika getini ndo nakumbuka, nmeishiwa nguvu.
Hii mechi yamchongo ndo imeniponza
Am pretty sure sitozikuta na sikumbuki ni Bar ipi maana half time niliamia Bar nyingine. DilemmaFata funguo huna jinsi, kuna kibaridi kinafaa kulalia
Umeamua kuchukua hatua gani?Am pretty sure sitozikuta na sikumbuki ni Bar ipi maana half time niliamia Bar nyingine
Nipo tu apa nje nakulwa na mbuUmeamua kuchukua hatua gani?
Tafuta sehemu ya kulala usiku huu,kesho utaamka na idea nzuriNipo tu apa nje nakulwa na mbu
Wazo zuri ila ata pesa zenyewe ziko ukouko ndani apa nmebaki na aftatu tuTafuta sehemu ya kulala usiku huu,kesho utaamka na idea nzuri
Ruka geti. Vunja mlango. Yatazungumzika kesho.sijui imekuaje nmesahau funguo zangu zote Bar kuanzia za Geti hadi Chumbani 😢kibaya zaidi nafika getini ndo nakumbuka, nmeishiwa nguvu.
Hii mechi yamchongo ndo imeniponza
Kanye Valuer moja ya afu tatu.Wazo zuri ila ata pesa zenyewe ziko ukouko ndani apa nmebaki na aftatu tu
Nina pombe kichwani sitotoboa.Ruka geti. Vunja mlango. Yatazungumzika kesho.
Uoe mbwa wewe..
Tatizo mnaaminishana sana ujinga. Kwamba Sisi ni wabovu kiasi hicho.Nina pombe kichwani sitotoboa.
ntazingatia ushauri wako, no way
Najuta kuangalia mechi ya mchongo
Nyie hamna kitu.Tatizo mnaaminishana sana ujinga. Kwamba Sisi ni wabovu kiasi hicho.
La haula
Naomba mbu na mbung'o wakugeuze chakula.
Kila kocha anakuwa namfu wake huyo kuanza ni must. Kane ni must labda awe kavunjika mguu🤣🤣🤣🤣Binafsi hua nawaza Kane aanzie Bench,
Pale juu acheze Jude kama false no 9.
No 10 acheze Palmer, 8 Mainoo, 7 saka, na 6 Rice.
11 Foden.