UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Mpira ni kitu cha ajabu si mnaona wengi wamebeti spain? Tuwameza baki midomo wazi.

Ninachojua mpira unauma kuliko mapenzi wacha tusubiri dakika tu
Wapenzi wa mpora kama neutral wangependa spain ashinde kwa sababu ndio timu bora, ila sasa mpira ulivyo nyoko, uweza shangaa england anafunga kimoko na mchezo kwishney.
 
Back
Top Bottom