UEFA Last 16: Droo imerudiwa baada ya kutokea hitilafu

Haina shida shem tusubiri mwisho tuone!ila umenikumbusha gemu ya kwanza na ac milan nilikuwa na Mr tunachek gemu kiukweli nilcheka sana klop alifanya sub kama kichaa sitaki kukumbuka mlitoboa kwa mbinde
 
Haina shida shem tusubiri mwisho tuone!ila umenikumbusha gemu ya kwanza na ac milan nilikuwa na Mr tunachek gemu kiukweli nilcheka sana klop alifanya sub kama kichaa sitaki kukumbuka mlitoboa kwa mbinde
Kwakweli tusubiri tu ila mimi nina iamini sana team yangu.
 
Eee barc mwamba tena?
Tumebeba UEFA mara 5 unasema Sisi sio miamba? Au unatufananisha na hao takataka wengine kama Arsenal Chelsea City na hata Mwanitesa United
 
Tumebeba UEFA mara 5 unasema Sisi sio miamba? Au unatufananisha na hao takataka wengine kama Arsenal Chelsea City na hata Mwanitesa United
Mshaanza kuwa kama mavi ya kale
 
🚨🚨🚨 𝗕π—₯π—˜π—”π—žπ—œπ—‘π—š! UEFA is about to agree to do another draw, following complaints from several teams. #UCL

(Source: @RodrigoFaez)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…