UEFA Last 16: Droo imerudiwa baada ya kutokea hitilafu

UEFA Last 16: Droo imerudiwa baada ya kutokea hitilafu

Ivi Kuna Timu Iliyodhalilishwa Uefa Kwa Vipigo Hv Karibuni Kama Barca, Mfano Umesahau Zile 8 Za Wajerumani [emoji23]
Wewe timu yako ni lini iliifunga Barcelona hizo goli? Au unaishia kujifariji kwa kushangilia timu za wengine
 
Wewe timu yako ni lini iliifunga Barcelona hizo goli? Au unaishia kujifariji kwa kushangilia timu za wengine
We Si Ulisema Ni Utd Na Chelsea Pekee Ndo Wakufungwa 6+ Uefa Then Ukajisahaulisha Kama Izo Kamba Zilianza Na Wewe [emoji23]
 
We Si Ulisema Ni Utd Na Chelsea Pekee Ndo Wakufungwa 6+ Uefa Then Ukajisahaulisha Kama Izo Kamba Zilianza Na Wewe [emoji23]
Kwa hyo timu yako haiwez kuifunga Barcelona goli nyingi [emoji1]
 
Mimi Chama Langu Bayern Mkuu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bayern hii hii yenye makombe ya UEFA na imezidiwa na Barcelona
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bayern hii hii yenye makombe ya UEFA na imezidiwa na Barcelona
Ongezea, "Na Ndo Hii Hii Iliyonipa Vipigo Vya Aibu Nakusabisha Jana Kwa Mara Ya Kwanza Nisionekane Kwenye Draw Zile" [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Ongezea, "Na Ndo Hii Hii Iliyonipa Vipigo Vya Aibu Nakusabisha Jana Kwa Mara Ya Kwanza Nisionekane Kwenye Draw Zile" [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Na ndio maana imekosa mvuto Hadi inarudiwa mara mbili mbili
 
Na ndio maana imekosa mvuto Hadi inarudiwa mara mbili mbili
Nasikia Bocca Juniors Kawaliza Tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] , Hamtapata Chochote Saiv [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom