UEFA Last 16: Droo imerudiwa baada ya kutokea hitilafu

Ajax,Bayern na nyie mmekwapua point zote 18 kwenye makundi ngoja tuone muendelezo utakuaje
 
Sisi tuliopewa vitonga tunasema isirudiwe

Wale waliopangwa na visiki vya mpingo wanafurahiiiiiii [emoji1787][emoji1787] daadeki kama timu mbovu mbovu tuu

 
Naona kabisa Chelsea anapewa Bayern Munich, ila man U PSG hakwepekiπŸ˜†πŸ˜†
 
Marudio ya nn tena?...aah hapo Liverpool tulikuwa tumepumua
 
Hiyo draw ya kwanza ilifanyika leo ndio pakawa na makosa ya kiufundi, hivyo itarudiwa tena leo hii hii.
 
Irudiwe tu kwa maslahi mapana ya Man U. Hawana hata huruma hawa jamaa.

Ila Liverpool watuachie mtu wetu.

Halafu Chelsea apewe Bayern
Man City apewe Ajax
 
PSG vs real Madrid

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…