Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu mpunga mrefu kinyama.Mzigo ni mkubwa saana, hakuna Club itaweza kuugomea !!
labda Serikali ziingilie kati, naona Prime Minister wa Uingeleza kashatia neno tayari kuhusu huu ushirika wa timu za England.Kweli mkuu mpunga mrefu kinyama.
UCL winner gets €82.4m
EPL winner gets €150m
Total= €232.4m
You participate in the European Super League and get €350m,
The winner gets €500m
Maaana yake hapa vilabu vipo tayari ku sacrifice hata domestic competitions kwaajili ya SL.
Ohoooo......... kazi ni kubwa mno.Hii sina uhakika kama ni kauli rasmi ila inachekesha 😂😂😂
View attachment 1756425
Wana haribu mpiraKweli mkuu mpunga mrefu kinyama.
UCL winner gets €82.4m
EPL winner gets €150m
Total= €232.4m
You participate in the European Super League and get €350m,
The winner gets €500m
Maaana yake hapa vilabu vipo tayari ku sacrifice hata domestic competitions kwaajili ya SL.
UEFA imetoa mkakati wa namna Champions League itakuwa kuanzia 2024 | 36 teams, pesa inaongzwa na mfumo utakuwa wa ligi sio makundi.Hakuna kilichokuwa cancelled as of yet. Matamko rasmi tutayapata leo (baadae).
Seria A wao wameitisha kikao cha dharura bila AC Milan, Juventus na Internazionale.labda Serikali ziingilie kati, naona Prime Minister wa Uingeleza kashatia neno tayari kuhusu huu ushirika wa timu za England.
Hapo ndio kutaimaliza FIFANimecheka sana pale Florentino Pérez Rodríguez anaposema kama wakiwazingua kucheza kombe la dunia basi wataanzisha la kwao - ha ha ha
Kama inawezekana ligi iwe listed pale NYSE investor tuweke pesa .Maana yake amemaanisha kila klabu muanzilishi atalamba hizo Euro 3.5 kwa lengo mahsusi la kusaidia miundombinu ya mipango ya uwekezaji na kuondokana na madhara yaliyoletwa na janga la Corona. Kwa mantiki hiyo, hizi pesa bila shaka zitatokana na hela atayoimwaga "prospective sponsors" wa hii ligi.
ni kweli, cha kushangaza zaidi FIFA ipo kimyaaa!! huyu Florentino Pérez Rodríguez ni kichwa sana.Sidhani kama serikali zitakuwa na nguvu yakuzuia hilo jambo kwasababu ni business kama nyingine na ikiwa tu hazivunji sheria za nchi husika hawana uwezo wa kuzuia. Hayo anayosema yeye yatakuwa ni maoni tu.
Wanahaha tu ukizitoa hizo team kwenye domestic league wata-loose sanaIla naona FIFA, UEFA, PL na boards za leagues nyingine kama Italy na Spain wameilaani sana hii plan na wametishia bans na sanctions kibao kwa members watakaounda hii League. 😂😂😂
![]()
European Super League news: LIVE reaction after NINE clubs withdraw
European Super League news - LIVE!www.standard.co.uk
Exactly wachezaji wana demand mishahara mikubwa ela ya uefa na epl haitoshiFans hawawezi kugoma , hata wanaopinga wataangalia kwa ku stream , vivyo hivyo FIFA na UEFA wamekuwa majizi na wala rushwa wakubwa kuanzia kwny nani apewe World cup host nk .. Hawa wamekutana kwenye conflict of interests ,acha wanyooshane kwanza watoane damu
Aibu ya nini mkuu? Kwani wanchokwenda kucheza si mpira? Au umesikia wanafungua biashara ya ukahaba?f.cking FSG!!!
I am ashamed kuwa shabiki wa Liverpool right now!!
AIBU TUPU HII.
Super league ni zaidi ya UEFA.Kwa iyoo uefa hatutaiona tena aisee...
RIP football
Duh mipunga wanayovuta wakina messi ronaldo bado haitoshiExactly wachezaji wana demand mishahara mikubwa ela ya uefa na epl haitoshi