UEFA yatishia kuzipiga 'ban' klabu kubwa barani ulaya kwenye michuano yote

UEFA yatishia kuzipiga 'ban' klabu kubwa barani ulaya kwenye michuano yote

Arsène Wenger in 2009:

"I think a European league will develop in 10 years. I'm not 100% sure what I'm saying but I know that some people behind the scenes are pushing for this project. The money that will be coming in from the Champions League will not be enough for some clubs.”
Arsene was a football genius
 
Hii ishu itazicost sana timu nyingi na soka kwa ujumla hata kama itaruhusiwa.
 
Hii si ni sawa tuu na mashindano ya Simba super cup,inamaana Yanga,Simba,Azam na timu zingine kubwa zinaweza anzisha mashindano yao wawekezaji wakatia pesa nao wakapata pesa
 
One of the bank's biggest clients is Stan Kroenke, the billionaire owner of #Arsenal FC, the Los Angeles Rams, and the Denver Nuggets. JPMorgan lent Kroenke $2 bn to finance the Rams' Inglewood stadium project. The cost of building
@SoFiStadium
exceeded over $5 bn #SuperLeague

1618892042731.png



1618892070382.png
 
Florentino Perez: "The Champions League is attractive only from the quarterfinals. Nobody cares about the games before
 
Florentino Pérez: "I know what Lebron James earns, because it is made public. And I don't know what the UEFA president earns. I believe in transparency. We have lowered our salaries in Madrid and in my company the same." #ESL
 
Florentino Perez: "Small clubs' survival depend on us, and this will be good for them." #rmalive
 
Hii inshu nimegundua jambo. Timu kubwa hizi zinatamaa sana. Japo Uefa wanaweza wakawa mpunga wanaotoa ni wakawaida ila wamiliki wa timu wanatamaa. Mpira umebadilika sana. Timu zao ni kubwa wanasajili kwa gharama na kulipa mishahara mikubwa sana alafu ukiingia uwanjani unatolewa jasho au unatolewa kwenye makundi na timu kama Atalanta, Rb Leipzig mara sevilla unajikuta miaka kumi timu kongwe hufiki robo fainali. Hapa kunatamaa. Ukiangalia EPL top 4 haieleweki, Italy msimu huu jive akilemaa mwakani yupo futuhi, Napa wanatafuta unafuu tu kama ligi ZaMarekani kucheza ligi pasipo kushuka daraja. Haya mashindano yakiwepo yatakua ni ya hovyo kuliko maelezo
Kwani champions league na Europa league mpka sasa hatua ya nusu fainali zimebaki timu ndogo?
 
Super League referees will be equipped with a microphone to explain ALL their decisions to the fans in a completely transparent way.
 
Kwani champions league na Europa league mpka sasa hatua ya nusu fainali zimebaki timu ndogo?
Mpira umebadilika mkuu sio kama zamani, small club despite not being much wealth but try to show world giant who they are in football.
 
Hii inshu nimegundua jambo. Timu kubwa hizi zinatamaa sana. Japo Uefa wanaweza wakawa mpunga wanaotoa ni wakawaida ila wamiliki wa timu wanatamaa. Mpira umebadilika sana. Timu zao ni kubwa wanasajili kwa gharama na kulipa mishahara mikubwa sana alafu ukiingia uwanjani unatolewa jasho au unatolewa kwenye makundi na timu kama Atalanta, Rb Leipzig mara sevilla unajikuta miaka kumi timu kongwe hufiki robo fainali. Hapa kunatamaa. Ukiangalia EPL top 4 haieleweki, Italy msimu huu jive akilemaa mwakani yupo futuhi, Napa wanatafuta unafuu tu kama ligi ZaMarekani kucheza ligi pasipo kushuka daraja. Haya mashindano yakiwepo yatakua ni ya hovyo kuliko maelezo
Wakae watu na akili zao wenye pesa na wawekeze...we inakuja kusema itakua ya hovyo🤣🤣🤣...sisi Kama mashabiki tukae kwa kutulia...unaeza kuta ikawa nzuri.....maana watu hawawezi kutoa Jambo zito Kama hili bila kujipanga
 
Mkuu,wasiojulikana wa bongo ni hatari..dk sifuri tu wanamshusha Perez 6 feets under..

Hahaha,sema kweli..Perez yale yanakuwa mamafya kweli,yanaweza kuwa na intelligence security kushinda hata maraisi wa nchi zetu maskini.
Sure mkuu maana hii ligi kuanzisha ni Vita na Uefa kimaslahi...kwahiyo upande wa ulinzi lazima wawe njema
 
Ila kaa ukijua pesa haijawahi kutosha
Wakiibuka wengine tena itakua ni mwendo wa kuanzisha ligi tu na kupandishiana madau sio
Sio rahisi wengine kuibuka ndani ya kipindi kifupi kingine kama unavyodhani mkuu. Wao kama wanataka team ziendelee kuwepo UEFA waongeze dau, na ninajua inawezekana ila walizoea kuzinyonya tu hizo team Ili wapige faida ndefu.

Kama hawawezi, basi wakubali kusaidiwa na ESL.
 
Hamna cha super league wala nini. Uefa wataongeza mpunga mambo yataisha haya. Nakumbuka kuna mwaka NBA ulitokea mgomo hivi hivi ligi ikasimama hadi wachezaji wakaenda kufanya mazoezi Europe, baadae wakakaa chini wakayamaliza.
Chamsingi waongeze dau tu, ila mchakato wenywe ni kama upo serious hivi,maana tayari waanzilishi wa ESL tayari wameshajiuzulu nafasi zao za Uongozi katika vyama vya soka Ulaya.
 
Ndio mzee. Ukitoa Real madrid unadhani man city, chelsea, na PSG ni timu kubwa. Hizo ni timu zenye wawekezaji wenye hela. Miaka 15 nyuma zilikua hazina tofauti na Watford na Auxerre
Kwani champions league na Europa league mpka sasa hatua ya nusu fainali zimebaki timu ndogo?
 
Back
Top Bottom