UEFA yatishia kuzipiga 'ban' klabu kubwa barani ulaya kwenye michuano yote

UEFA yatishia kuzipiga 'ban' klabu kubwa barani ulaya kwenye michuano yote

Hiyo ligi ishakufa kabla haijaanza maana Wachezaji wameambiwa mkikubali cheza hatutawaruhusu kushiriki mchezo wowote ulio chini ya FIFA....


Pia Serikali zimeanza ingilia
Mkuu kwani unadhani kuna deal kubwa sana kucheza game za FIFA zaidi ya kujivunia kuwakilisha Taifa? Hakuna pesa zaidi ya posho tu na fahari, ila maisha ya kila siku ya hao wachezaji FIFA wanaojivunia asilimia 99 wanatunzwa na hivyo vilabu, so hiyo ishu hata FIFA wenyewe wakikurupuka tu wanaumia.
 
Mimi nahisi huu ni mkwara ili uefa waongeze dau.sina uhakika lakin,ngoja tuone litaishia wapi
 
Wana haribu mpira

Acheni kudanganywa hawaharibu mpira wala nn sisi kama mashabiki tutaendelea kuangalia na tutafurahia tu ata iweje cha muhimu burudani
Uendeshaji wa team umekuwa gharama sana usajili wenyewe siku iz ni gharama bado mishahara
me niko na jamaa wa supa ligi soka n biashara lazima faida ipatikane
Uefa wanazinyonya sana team
 
Mkuu kwani unadhani kuna deal kubwa sana kucheza game za FIFA zaidi ya kujivunia kuwakilisha Taifa? Hakuna pesa zaidi ya posho tu na fahari, ila maisha ya kila siku ya hao wachezaji FIFA wanaojivunia asilimia 99 wanatunzwa na hivyo vilabu, so hiyo ishu hata FIFA wenyewe wakikurupuka tu wanaumia.
Hii ngoja itawacost Zaid FIFA, ole wao wakurupuke tu[emoji3]
 
Kwanza, kea yeyote alleanza kufatilia mpira tangu zamani, atakubaliana na mimi kuwa UEFA kwa kiasi fulani imepoteza mvuto.
Kivip mkuu na mabanda yanajaza watu kila mechi za uefa zinapocheza
 
Kivip mkuu na mabanda yanajaza watu kila mechi za uefa zinapocheza
Msisimko wa UEFA ya sasa sio kama ule wa kuanzia miaka ya 2015 kurudi nyuma, ni kwa vile tu imekuwa ni kama tamaduni. UEFA inatakiwa kuongeza dau nono, Ili hata hizo team zisipate sababu ya kukimbilia huko, kuliko kupiga kelele tu, eti mpira unaharibika.
 
Msisimko wa UEFA ya sasa sio kama ule wa kuanzia miaka ya 2015 kurudi nyuma, ni kwa vile tu imekuwa ni kama tamaduni. UEFA inatakiwa kuongeza dau nono, Ili hata hizo team zisipate sababu ya kukimbilia huko, kuliko kupiga kelele tu, eti mpira unaharibika.
Ila kaa ukijua pesa haijawahi kutosha
Wakiibuka wengine tena itakua ni mwendo wa kuanzisha ligi tu na kupandishiana madau sio
 
Hapo makampuni ya kubeti yapo yanasikilizia tu kama Marekani kwenye mkutano wa Berlin
 
Hamna cha super league wala nini. Uefa wataongeza mpunga mambo yataisha haya. Nakumbuka kuna mwaka NBA ulitokea mgomo hivi hivi ligi ikasimama hadi wachezaji wakaenda kufanya mazoezi Europe, baadae wakakaa chini wakayamaliza.
 
Hii inshu nimegundua jambo. Timu kubwa hizi zinatamaa sana. Japo Uefa wanaweza wakawa mpunga wanaotoa ni wakawaida ila wamiliki wa timu wanatamaa. Mpira umebadilika sana. Timu zao ni kubwa wanasajili kwa gharama na kulipa mishahara mikubwa sana alafu ukiingia uwanjani unatolewa jasho au unatolewa kwenye makundi na timu kama Atalanta, Rb Leipzig mara sevilla unajikuta miaka kumi timu kongwe hufiki robo fainali. Hapa kunatamaa. Ukiangalia EPL top 4 haieleweki, Italy msimu huu jive akilemaa mwakani yupo futuhi, Napa wanatafuta unafuu tu kama ligi ZaMarekani kucheza ligi pasipo kushuka daraja. Haya mashindano yakiwepo yatakua ni ya hovyo kuliko maelezo
 
Kweli mkuu mpunga mrefu kinyama.


UCL winner gets €82.4m
EPL winner gets €150m

Total= €232.4m

You participate in the European Super League and get €350m,
The winner gets €500m

Maaana yake hapa vilabu vipo tayari ku sacrifice hata domestic competitions kwaajili ya SL.
duh nkadhani UEFA lina pesa kuliko hizi EPL..LA LIGA..BUNDESLIGA..
 
Back
Top Bottom