Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
kumbe unajua kwamba ronaldinho kamzidi vyenga messi!!!...santiago bernabeu ni gaucho ndiye aliyepata standing ovation,messi mwenyewe anamkubali gaucho,kama gaucho hajamzidi chochote messi barcelona sasa messi anamzidi nini mume wa shakira!?
we jamaa naona unanichosha tuMimi nimemwaona Ronaldinho toka akachipukia (PSG) hadi anastaafu mpira was kimashindano, na Messi pia hivyo hivyo.
Nitafutie matukio kama matatu au manner Ronaldinho amekusanya kijiji hadi akafunga,
Wote wanapiga vyenga ila kila mmoja ana namna yake.. Tatizo kubwa la Ronaldinho alikua anacheza sana na mashabiki, chenga zake nyingi (mbwembwe) zilikua hazina madhara ukilinganisha na Messi
wakawa wanaishia kubebwa tu kwa chelsea,wanashika mara kumi kumi penati hakuna,drogba akataka kuua refa,2012 chelsea akiwa pungufu anamkalisha mtu,messi anazurura tu uwanjani kama muuza karangaZile battle za Chelsea na Barca ni unforgettable mkuu ..beki kama Puyol awezi kabisa kusahau aise...kizazi cha akina Essien, Ob Mikel na wengineo Barca walipata tabu pamoja na ule utatu wao mtakatifu wa Xavi, Iniesta na Messi lakini mbele ya Chelsea walitoka jasho haswa....
na usisahau kunitag maana watu wengine soka hawalielewi waanaamini soka ni vyenga tuSoon nitarudi kuwapa somo mnaojifanya wajuaji...mtu kama hujui mpira kaa kimya.
na usisahau kunitag maana watu wengine soka hawalielewi waanaamini soka ni vyenga tuSoon nitarudi kuwapa somo mnaojifanya wajuaji...mtu kama hujui mpira kaa kimya.
na usisahau kunitag maana watu wengine soka hawalielewi waanaamini soka ni vyenga tu
Mimi nimemwaona Ronaldinho toka akachipukia (PSG) hadi anastaafu mpira was kimashindano, na Messi pia hivyo hivyo.
Nitafutie matukio kama matatu au manner Ronaldinho amekusanya kijiji hadi akafunga,
Wote wanapiga vyenga ila kila mmoja ana namna yake.. Tatizo kubwa la Ronaldinho alikua anacheza sana na mashabiki, chenga zake nyingi (mbwembwe) zilikua hazina madhara ukilinganisha na Messi
Rudi kwenye semi final UEFA 2005-6 uone Messi alichowafanya.Habarini Wanamichezo.
Mimi si mkubwa sana wa Umri lakini Nina kumbukumbu nzuri sana ya soka ya kuanzia mwaka 1997.
Nina kumbukumbu ya tournaments mbalimbali mfano EPL na Champions league ya Ulaya (UEFA)
Nimekuwa nikisema mara kadhaa kuwa kuna aina flan flan ya Wachezaji ama Timu ambazo ni ngumu kuziona, kuzikuta katika miaka hii.
Ule Uzalendo, Useriousness na hata Ukakamavu na zaidi kumaintain kiwango stahiki ni TOFAUTI KABISA.
Kwa mfano, tazama Bayern Munich ya zamani, tazama Real Madrid ya kina Zidane au FC Porto tu ya zamani na sasa, sijui tatizo ni nini.
KWA MFANO, katika picha ifuatayo...ni kikosi cha AC MILAN ya Italia, hivi ni kwa vipi ambavyo hata Barcelona ya leo au Real Madrid angeweza kuifunga timu hii?
Hivi kweli Messi angeweza kumchenga na kumpita Gattuso, Cafu na Maldini akafunge?
Ni rahisi kumkaba na kuwazuia Shevchenko, Seedorf na kaka kufunga?
Naomba Tafakari yenu Wadau...hasa Wakongwe kwenye soka.View attachment 1229377
Kwa kukukumusha tu, "Ronaldinho is the truest and the last prophet of soccer?"Hao hao AC Milan, Liver anapindua matokeo? Au umeamua tu kutukumbusha kua alikuwepo beki anaitwa Gattuso.
Msimu uliopita Messi ndo mchezaji aliyezifunga magoli mengi timu kubwa sita za uingereza japo hachezi uko. Ndo useme hao mabeki wangeweza kumzuia Messi.
Messi na CR 7 ndo wachezaji bora wa dunia wa muda wote, acha kuwafananisha na akina Kaka. Hao jamaa daraja lao ni tofauti kabsa.
CAFUNamic sana CUF hakuna back kisiki atatokea ukiangalia alves ashaaza potea kidogo kama alitaka awe CUF namba mbili ya ac milano na brazil
Zamani soka lilikuwa sio kufunga tuuuuu.huyo huyo ronaldinho hajamzidi neymar magoli timu ya taifa
ronaldo anakwambia sijawahi kuona mtu mwenye jicho kama ozil
ahaa mbona kunawatu wa zamani haohao wanamagoli meengi.Zamani soka lilikuwa sio kufunga tuuuuu.
Habarini Wanamichezo.
Mimi si mkubwa sana wa Umri lakini Nina kumbukumbu nzuri sana ya soka ya kuanzia mwaka 1997.
Nina kumbukumbu ya tournaments mbalimbali mfano EPL na Champions league ya Ulaya (UEFA)
Nimekuwa nikisema mara kadhaa kuwa kuna aina flan flan ya Wachezaji ama Timu ambazo ni ngumu kuziona, kuzikuta katika miaka hii.
Ule Uzalendo, Useriousness na hata Ukakamavu na zaidi kumaintain kiwango stahiki ni TOFAUTI KABISA.
Kwa mfano, tazama Bayern Munich ya zamani, tazama Real Madrid ya kina Zidane au FC Porto tu ya zamani na sasa, sijui tatizo ni nini.
KWA MFANO, katika picha ifuatayo...ni kikosi cha AC MILAN ya Italia, hivi ni kwa vipi ambavyo hata Barcelona ya leo au Real Madrid angeweza kuifunga timu hii?
Hivi kweli Messi angeweza kumchenga na kumpita Gattuso, Cafu na Maldini akafunge?
Ni rahisi kumkaba na kuwazuia Shevchenko, Seedorf na kaka kufunga?
Naomba Tafakari yenu Wadau...hasa Wakongwe kwenye soka.View attachment 1229377
semi final 2005-6 messi alicheza na nani?Rudi kwenye semi final UEFA 2005-6 uone Messi alichowafanya.
Duh Sasa hiyo picha iliyowekwa hapo unadhani AC Milan alikuwa anacheza na Nani???semi final 2005-6 messi alicheza na nani?
kauli za kisiasa hizo,messi alikua anamfuata gaucho club,barcelona wakaona atamuharibu,wakamuuza..yaani messi alikua anakoshwa na mnyama mpaka anamfuatafuata kama mkiaMoja kati ya wanaojuwa mpira...salute kwako kamanda...na usisahau kuwa Gaucho kwa mdomo wake kakiri Ronaldinho: "I Knew Lionel Messi Was a Better Player than Me"
G_real nitarudi
picha gani nimeweka?..maana nakumbuka 2005-6 final uefa ni barcelona v arsenal,akachezesha refa ambae mchana alikua amevaa jezi ya barcelona,sikumbuki kumuona messi siku ile,au aliumiaDuh Sasa hiyo picha uliyoiweka unadhani AC Milan alikuwa anacheza na Nani???
we jamaa inatakiwa uandikiwe mbishi memberkauli za kisiasa hizo,messi alikua anamfuata gaucho club,barcelona wakaona atamuharibu,wakamuuza..yaani messi alikua anakoshwa na mnyama mpaka anamfuatafuata kama mkia