UEFA Zamani, sasa ni mfano tu.

Giovan Eibar alikosa namba brazil hii dunia ilijaa wachezaji
 
Na ile ya Liverpool na Real Madrid?

Mwanzoni kabisa M.Salah anafanyiwa ukatili na Ramos
Hakuna final mbovu kuhawi kutokea kama ile ya Liverpool na Spurs...

This was the worst final ..iliyowahi kutokea.
 
Pavel nedved.
 
Unakimbia nini kuzungumzia mafanikio kwenye World Cup?
 
Chotora ni sisi tunawaita hivyo, ila kwa wazungu hao ni blacks, hujiulizi Obama alikuwa anahesabika ni raisi mweusi??
 
Messi hata kina gatusso wawili wasingeweza. By the way sijui ni kwa nini huwa mnamsifia sana Genaro wakati alikuwa Wa kawaida. CR7 ndio alimpa ujiko huyo mchezaji
 
Zamani kulikuwa na wanaume sasa hivi ukiondoa Messi pengine kidogo na CR7 kuna vijivulana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…