Waichengeshe tukutane nusu fainali Ili inoge zaidinaiona kariakoo derby
Anaohopa kusema,ahaaaaaaKuna Jambo ulitaka kusema
CAF tatzo sio TFF 😅😅Waichengeshe tukutane nusu fainali Ili inoge zaidi
Na wao najua wataichengesha tu,Simba na Yanga kuwepo CL ni burudani tosha,vibe mwanzo mwisho na pesa ipo hapaCAF tatzo sio TFF 😅😅
Pyramids hawezi kuwa pot 2Pot 1:
Al Ahly
Wydad AC
Espérance de Tunis
Mamelodi Sundowns
Pot 2:
CR Belouizdad
Pyramids
Simba
Petro de Luanda
Pot 3:
TP Mazembe
Al Hilal
Young Africans
ASEC Mimosas
Pot 4:
Étoile du Sahel
Jwaneng Galaxy
Nouadhibou
Medeama
NB:
1. Kuna baadhi ya mechi (tatu) zinaendelea, ila uelekeo ndio huo
2. Pots sio groups za competition, bali ni class za ubora wa clubs
3. Timu zilizo katika pot moja haziwezi kukutana. Ukiondoa condition hiyo, hakuna condition nyingine inayozuia club zisizoshea pot kukutana katika group. Hata club kutoka nchi moja zinaweza kukutana katika group moja iwapo hazimo katika pot moja
Waatajua wao,kikubwa tubaki wote kwenye makundi yetu na hata robo rusikutane,tukutane nusu fainaliHakuna namna ya kuichengesha, ni draw tu ndio itakayoamua
Jibu ni ndio.Ni kwamba hata Al Ahly na Pyramids zinaweza kukutana katika group moja. Similarly, Simba na Yanga zinaweza kukutana katika group moja
Waliofuzu pot 4 wana points chache kulinganisha na Yanga. Kumbuka kuwa kuna clubs zipo juu ya Yanga kwa points, lakini hazijafuzu hatua ya makundi, either kwa kutolewa au kwa kutoshiriki michuano ya CAF CL. Mfano ni Raja CA, Zamalek, JS Kabylie, RS Berkane na USM AlgerYanga sio kwamba alitakiwa kuwa pot 4?
Nafikiri Pot 3, Pyramids ni debutant kwenye champions league na sidhani kama anamzidi Points TP MazembeUngesema alitakiwa kuwa pot gani sasa. mimi nimepanga kwa kuangalia points alizo nazo
Utopolo ilijikongoja na kufikisha points 20 mwaka janaYanga sio kwamba alitakiwa kuwa pot 4?