Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

Waliofuzu pot 4 wana points chache kulinganisha na Yanga. Kumbuka kuwa kuna clubs zipo juu ya Yanga kwa points, lakini hazijafuzu hatua ya makundi, either kwa kutolewa au kwa kutoshiriki michuano ya CAF CL. Mfano ni Raja CA, Zamalek, JS Kabylie, RS Berkane na USM Alger
Sio kwa Yanga ni mazingira sawa sawa na kwa Simba, kama timu zote zenye nafasi zao zingefuzu basi Yanga angeangukia pot 4 na pia Simba wangeangukia pot 3
 
Kwa hiyo ile ranking nyingine ya kimchongo leo umekubali haina maana ? Ile iliyowapa utopolo nafasi ya 3 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Usichanganye ranking mbili tofauti. Rank hii ni ya CAF ambapo wanachukua performance ya timu kwa misimu mitano, rank iloyoweka Yanga ya 3 ni rank kutoka IFFHS ambapo wao vipimo vyao wanachukua mashindano yote kwa ujumla timu inayoshiriki (mechi za kitaifa na kimataifa) IFFHS wana deal na takwimu.
 
Usichanganye ranking mbili tofauti. Rank hii ni ya CAF ambapo wanachukua performance ya timu kwa misimu mitano, rank iloyoweka Yanga ya 3 ni rank kutoka IFFHS ambapo wao vipimo vyao wanachukua mashindano yote kwa ujumla timu inayoshiriki (mechi za kitaifa na kimataifa) IFFHS wana deal na takwimu.
Si ndiyo maana nikaiita rank ya mchongo, unalinganisha timu za kimataifa kwa kuangalia matokeo ya mechi za ndani, badala ya matokeo ya mechi za kimataifa
 
Back
Top Bottom