Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Kwani ukisema"Mungu aisaidie yanga utapungukiwa nini"?Mungu azisaidie timu zetu zifike mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ukisema"Mungu aisaidie yanga utapungukiwa nini"?Mungu azisaidie timu zetu zifike mbali
Mwanzo ilikua hamuingii makundi, ooh huku ni kwa wakubwa sasa hivi tumeingia mmekuja na pot utadhani kuna bingwa wa pot , baadae mtasema tumepangwa na vibonde andaeni manenoYanga sio kwamba alitakiwa kuwa pot 4? Ikizingatiwa ugeni wake kwenye haya mashindano?
Sasa ndio hapo wanapokosea, hutakiwi kutumia matokeo ya ligi za ndani kama kigezo cha kui rank timu juu kimataifa, maana ligi zinatofautianaMkuu wao kazi yao ni kuchukua takwimu kwa kila aina ya mchezo. Na wao wana deal na performance. Kwahiyo wanachoweka wao ni overall performance. Timu ikifanya vizuri kimataifa na nyumbani hafanyi vizuri maanake kwenye mizani ya performance anakuwa amepungua, na timu ikifanya nyumbani vizuri halafu kimataifa hakufanya vyema nae hivyo hivyo. Wanachukua record ya kila kitu idadi ya mechi ulizoshinda, magoli, clean sheet, n.k
Zamalek na Berkane wapo juu ya Simba ila hawapo kwenye michuano hii, so katika upangaji wa pots, Simba ni namba 7Aliyewadanganya Simba wa 7 ni nani? Simba ni wa tisa
1) Al Ahly
2) Wydad
3)Es Tunis
4) Mamelod
5)Raja
6)Zamalek
7)Berkane
8) Belouizdad
9) Simba
Hivi ndivyo Simba ilivyoingia makundi.Mwanzo ilikua hamuingii makundi, ooh huku ni kwa wakubwa sasa hivi tumeingia mmekuja na pot utadhani kuna bingwa wa pot , baadae mtasema tumepangwa na vibonde andaeni maneno
Wote wanaiwakilisha nchi mkuuKwani ukisema"Mungu aisaidie yanga utapungukiwa nini"?
Ungesema tuu kuwa hapaswi kuwepo kwenye pots tungekuelewa zaidi,acha kukariri weweYanga sio kwamba alitakiwa kuwa pot 4? Ikizingatiwa ugeni wake kwenye haya mashindano?
Wanaume wakina horoya na vipersNi kweli kabisa, karibuni tena kwenye mashindano ya mabingwa baada ya kuyatafuta sana kwa miaka 25
Tahadhari: Huku sio Shirikisho, hakuna akina Marumo huku, ni wanaume tupu
Ushawahi kumfunga yupi hapo?Wanaume wakina horoya na vipers
Acha wajichanganye tena!Last season tuliwekwa pot 4 kilicho tokea ni history
Mpaka sàsa kwenye mabishano yenu wewe na changaule ni hivi yeye ameonyesha lugha ya uungwana mno kuliko weweUmeona hiyo from 2019 source ilivyosema,? Usishupaze shingo ukawa kama utopolo wenzako ambao tunawajua jinsi walivyo humu jukwaani
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Ku rank kitu gani? Wao wana deal na mwenendo wa timu kwa takwimu. Ukizungumzia mashindano hata mashindano ya kimataifa yanatofautiana. Klabu bingwa ulaya sio sawa na klabu bingwa Africa. Lakini wao hawa deal na ubora bali mienendo ya timuSasa ndio hapo wanapokosea, hutakiwi kutumia matokeo ya ligi za ndani kama kigezo cha kui rank timu juu kimataifa, maana ligi zinatofautiana
Hii mbona ni common sense
Nilimfunga huyo aliekawafunga hao na nikachukua ubingwa mbele yakeUshawahi kumfunga yupi hapo?
Ungeanzia juu ili ujue hoja imeanzia wapi.Zamalek na Berkane wapo juu ya Simba ila hawapo kwenye michuano hii, so katika upangaji wa pots, Simba ni namba 7
Hawa deal na ubora? Kumbe ni rank tu isiyo na maana, ok basi poaKu rank kitu gani? Wao wana deal na mwenendo wa timu kwa takwimu. Ukizungumzia mashindano hata mashindano ya kimataifa yanatofautiana. Klabu bingwa ulaya sio sawa na klabu bingwa Africa. Lakini wao hawa deal na ubora bali mienendo ya timu
Mara ya mwisho kumfunga ilikuwa lini?😂😂😂Nilimfunga huyo aliekawafunga hao na nikachukua ubingwa mbele yake