Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Msimu huohuo uliokawafunga vipers na kibonde mwenzie horoyaMara ya mwisho kumfunga ilikuwa lini?😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimu huohuo uliokawafunga vipers na kibonde mwenzie horoyaMara ya mwisho kumfunga ilikuwa lini?😂😂😂
Huu msimu 2023/2024 ushaanza na kwaio ule wa 2018/2019 unafutika moja kwa moja kwaio itakua hiviMkuu hivi tatizo ni lugha au ni nini kinachokuchanganya?
Ngoja niende na wewe taratibu kupitia screen shot uliyonitumia kuna maneno naya nukuu
"The club ranking for the 2024–25 CAF Champions League and the 2024–25 CAF Confederation Cup will be based on results from each CAF club competition from 2019-20 to the 2023–24 season. "
Je una elewa maaanake nini hayo maneno?
Nimeleta tuu utani wa jadi kitumia neno utopolo ila mimi jukwaani siwezi kumtukana mtu, nitatumia zile lugha zetu ambazo common za utani wa jadi ambazo utasikia utopolo n.kMpaka sà sa kwenye mabishano yenu wewe na changaule ni hivi yeye ameonyesha lugha ya uungwana mno kuliko wewe
Ndomana katika hii hoja ulisema ni assumption ambacho sio kweli huu msimu mpya points zinazidishiwa mwisho mwaka jana bila kuangalia wataishia awamu gani kwa msimu huu,baada ya msimu kama wengine wameingia hadi final huu mwaka utahesabika na kizidishio kitakua kinaishia 2023,wakati msimu huu unaanza simba ni ya 7 ila ukiisha Simba inaweza ikapanda au ikashuka yanga imetoka 70+ ila msimu 2022/2023 kuisha Yanga kafika hadi wa 15 kamzidi hadi al Mereikh ndomana kwa uzito alionao Yanga mechi zote kaanzia away kumalizia nyumbani ila wangetumia ile ranks unayoitaka wewe ambayo kweli ni sahihi ukishia 2023 na ukijumuisha kianzio 18 yanga asingeanzia away na Al mereikhUnapokesea wewe ni hapo hiyo rank ni assumption ya msimu mpya wa 2024/2025 na ndio kwanza timu zipo group stage na haijulikani msimu huu wa 2023/2024 timu zitavuna kipiView attachment 2769060
Nimeomba kwanza unipe hiyo tafsiri ndio itafunga mjadala wa mimi na wewe kwasababu kuna vitu bado haujavielewa.Huu msimu 2023/2024 ushaanza na kwaio ule wa 2018/2019 unafutika moja kwa moja kwaio itakua hivi
2019/2020 point,zinaanza kuhesabiwa
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Nimesema assumption kwasababu hiyo rank ya 2024/2025 Wikipedia waliweka kabla hata michuano ya msimu hayajaanza na ndio maana wengi wenu mliichukulia Simba ya saba pasipo kuangalia ni rank ya namna gani.Ndomana katika hii hoja ulisema ni assumption ambacho sio kweli huu msimu mpya points zinazidishiwa mwisho mwaka jana bila kuangalia wataishia awamu gani kwa msimu huu,baada ya msimu kama wengine wameingia hadi final huu mwaka utahesabika na kizidishio kitakua kinaishia 2023,wakati msimu huu unaanza simba ni ya 7 ila ukiisha Simba inaweza ikapanda au ikashuka yanga imetoka 70+ ila msimu 2022/2023 kuisha Yanga kafika hadi wa 15 kamzidi hadi al Mereikh ndomana kwa uzito alionao Yanga mechi zote kaanzia away kumalizia nyumbani ila wangetumia ile ranks unayoitaka wewe ambayo kweli ni sahihi ukishia 2023 na ukijumuisha kianzio 18 yanga asingeanzia away na Al mereikh
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Katika assumption kwanini wasiache Zamalek pale pale na Simba kushushwa hadi wa 11Nimesema assumption kwasababu hiyo rank ya 2024/2025 Wikipedia waliweka kabla hata michuano ya msimu hayajaanza na ndio maana wengi wenu mliichukulia Simba ya saba pasipo kuangalia ni rank ya namna gani.
Kiu ambacho unashindwa kuelewa ni kwamba michuano ya msimu huu haya deal na performance za timu katika msimu huu bali yana deal na performance za timu kwa misimu uliopita kurudi nyuma kwa misimu mitano. Performance za timu katika msimu huu, yatatumika katika michuano ya CAF ya msimu ujao wa 2024/2025.
Hapa umepotosha, kasome kipengele namba 17 cha CAF Championship regulations.Ni kwamba hata Al Ahly na Pyramids zinaweza kukutana katika group moja. Similarly, Simba na Yanga zinaweza kukutana katika group moja
Acha kubisha kitu usichokijuaHapa umepotosha, kasome kipengele namba 17 cha CAF Championship regulations.
Hii kwa mujibu ya Ligi kuu Tz ambayo Simba imepanda hadi ya 7 yanga pia imepanda hadi 17Nimesema assumption kwasababu hiyo rank ya 2024/2025 Wikipedia waliweka kabla hata michuano ya msimu hayajaanza na ndio maana wengi wenu mliichukulia Simba ya saba pasipo kuangalia ni rank ya namna gani.
Kiu ambacho unashindwa kuelewa ni kwamba michuano ya msimu huu haya deal na performance za timu katika msimu huu bali yana deal na performance za timu kwa misimu uliopita kurudi nyuma kwa misimu mitano. Performance za timu katika msimu huu, yatatumika katika michuano ya CAF ya msimu ujao wa 2024/2025.
Hapa umepotosha, kasome kipengele namba 17 cha CAF Championship regulations.
Haiwezekani timu mbili kutoka nchi moja kupangwa kundi moja, according to CAF league regulations
Kwenye preliminary round kweli hawawezi kutana ila kuanzia makundi wanakutana bila shida,,,msimu wa mwaka juziHaiwezekani timu mbili kutoka nchi moja kupangwa kundi moja, according to CAF league regulations
Mimi najitahidi sana kijibu maswali yako ila wewe unaruka maswali nayokuuliza?Katika assumption kwanini wasiache Zamalek pale pale na Simba kushushwa hadi wa 11
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
labda kutoboa puto, na haiwezekani wote kukaa kundi moja haoItatoboa hakuna maajabu hapo