Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

Marekebisho: Belouizdad katolewa jana hivyo Tp Mazembe ataenda pot 2 na Etoil du Sahel atapanda hadi pot 3.
Hajatolewa, ameshinda 3-1 nyumbani na ugenini, aggregate 6-2 na ni moja ya timu hatari sana ila haziimbwi
 
Rasmi CAF imetoa mpangilio wa pots 1-4, ni kama ule ule niliouweka katika mwanzo wa uzi

1696355591802.png
 
Pot 1:
Al Ahly
Wydad AC
Espérance de Tunis
Mamelodi Sundowns

Pot 2:
CR Belouizdad
Pyramids
Simba
Petro de Luanda

Pot 3:
TP Mazembe
Al Hilal
Young Africans
ASEC Mimosas

Pot 4:
Étoile du Sahel
Jwaneng Galaxy
Nouadhibou
Medeama

NB:
1. Kuna baadhi ya mechi (tatu) zinaendelea, ila uelekeo ndio huo
2. Pots sio groups za competition, bali ni class za ubora wa clubs
3. Timu zilizo katika pot moja haziwezi kukutana. Ukiondoa condition hiyo, hakuna condition nyingine inayozuia club zisizoshea pot kukutana katika group. Hata club kutoka nchi moja zinaweza kukutana katika group moja iwapo hazimo katika pot moja
Una vinasaba vya kitopolo na Kuna story hujamalizia.

Malizia story yako moyo uridhike[emoji16]
 
Umeeleweshwa sana ila naona umeamua kuchukua upande wako tu
Angalia Azam TV Kuna ka documentary anasimulia Gharib Mzinga kuhusu upangaji wa draw ulivyokua na nafasi za klabu wamezieeka,utagundua kuwa nilikua sahihi sema wengi hawawezi sema humu.
 
Back
Top Bottom