Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

Sijui kama kuna sehemu nimetamka hivyo, labda ku assume kwako ndpo kuondoa credibility ni sawa. Ila nachojua wao wameweka rank ambayo haina matokeo ya msimu huu. Na isitoshe hiyo kubishana kwa mimi nawewe sio hilo bali ni swala la mashindano ya msimu huu seeding wanachukulia kwanzia msimu upi mpaka upi. Ila kikubwa nimejaribu kadri ya uwezo wangu kukuelewesha, haikuishia hapo wamekuja watu wengine kukufundisha ila uelewi. Basi mkuu baki na unachokijua.

View: https://youtu.be/fx_-bHVh-T8?si=kck1EbH2mENmXYwd
Hapa tulikua tunatofautiana kwa kile ambacho mimi najua kinatumika nawewe ambacho unajua kinatumika,kama unakumbuka mwezi july ndio ilitoka iyo ranks ya Simba kuwa wa 7 ndio ni kawa natumia jinsi imekuaje kuaje,,,kutofautina ni jambo la kawaida embu mcheki huyu mchambuzi naye anaamini ninacho amini nenda you tube andika

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama kuna sehemu nimetamka hivyo, labda ku assume kwako ndpo kuondoa credibility ni sawa. Ila nachojua wao wameweka rank ambayo haina matokeo ya msimu huu. Na isitoshe hiyo kubishana kwa mimi nawewe sio hilo bali ni swala la mashindano ya msimu huu seeding wanachukulia kwanzia msimu upi mpaka upi. Ila kikubwa nimejaribu kadri ya uwezo wangu kukuelewesha, haikuishia hapo wamekuja watu wengine kukufundisha ila uelewi. Basi mkuu baki na unachokijua.

View: https://youtu.be/fx_-bHVh-T8?si=kck1EbH2mENmXYwd

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 

View: https://youtu.be/fx_-bHVh-T8?si=kck1EbH2mENmXYwd
Hapa tulikua tunatofautiana kwa kile ambacho mimi najua kinatumika nawewe ambacho unajua kinatumika,kama unakumbuka mwezi july ndio ilitoka iyo ranks ya Simba kuwa wa 7 ndio ni kawa natumia jinsi imekuaje kuaje,,,kutofautina ni jambo la kawaida embu mcheki huyu mchambuzi naye anaamini ninacho amini nenda you tube andika

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app

Huyo na wewe hamna utofauti katika uelewa. Kuna scenario mbili inawezekana yeye na wewe hamkuelewa au pengine wewe hukumuelewa yeye. Sina haja ya kumsikiliza kwasababu nachoongea nina uhakika nacho na nina evidence za kitosha juu ya msimamo wangu.

Simba anakaa nafasi ya saba katika kwasababu wenye nafasi zao ambaye ni Berkane na Raja hawashiriki katika klabu bingwa msimu huu. Ila rank ya ujumla Simba ni 9. Na ile rank uliyokuwa unaonesha wewe muda ule ni assumption kwaajili ya michuano ya mwaka 2024/2025 ambapo umeona Simba ni ya 7 na hii ndio scenario ya pili ambayo nilikwambia pale juu.
 
Pot 1:
Al Ahly
Wydad AC
Espérance de Tunis
Mamelodi Sundowns

Pot 2:
CR Belouizdad
Pyramids
Simba
Petro de Luanda

Pot 3:
TP Mazembe
Al Hilal
Young Africans
ASEC Mimosas

Pot 4:
Étoile du Sahel
Jwaneng Galaxy
Nouadhibou
Medeama

NB:
1. Kuna baadhi ya mechi (tatu) zinaendelea, ila uelekeo ndio huo
2. Pots sio groups za competition, bali ni class za ubora wa clubs
3. Timu zilizo katika pot moja haziwezi kukutana. Ukiondoa condition hiyo, hakuna condition nyingine inayozuia club zisizoshea pot kukutana katika group. Hata club kutoka nchi moja zinaweza kukutana katika group moja iwapo hazimo katika pot moja
Natamani simba na galaxy wawe kundi moja
 
Hapa tulikua tunatofautiana kwa kile ambacho mimi najua kinatumika nawewe ambacho unajua kinatumika,kama unakumbuka mwezi july ndio ilitoka iyo ranks ya Simba kuwa wa 7 ndio ni kawa natumia jinsi imekuaje kuaje,,,kutofautina ni jambo la kawaida embu mcheki huyu mchambuzi naye anaamini ninacho amini nenda you tube andika
Huyo na wewe hamna utofauti katika uelewa. Kuna scenario mbili inawezekana yeye na wewe hamkuelewa au pengine wewe hukumuelewa yeye. Sina haja ya kumsikiliza kwasababu nachoongea nina uhakika nacho na nina evidence za kitosha juu ya msimamo wangu. Simba anakaa nafasi ya saba katika kwasababu wenye nafasi zao ambaye ni Berkane na Raja hawashiriki katika klabu bingwa msimu huu. Ila rank ya ujumla Simba ni 9. Na ile rank uliyokuwa unaonesha wewe muda ule ni assumption kwaajili ya michuano ya mwaka 2024/2025 ambapo umeona Simba ni ya na hii ndio scenario ya pili ambayo nilikwambia pale juu.
Ngoja niongeze nyama

1696274730954.png
 
Kinachofanyika hapo ni hao wa pot 1 ndio waundaji wa makundi yaani Kundi A mpaka D halafu baada ya kuunda makundi hayo, kila pot moja atachomolewa timu moja moja (pot 2 mpaka 4 ni machambo) hivyo kila chambo mmoja atanyofolewa

Group A
Itakuwa na giant mmoja kutoka pot 1
Itakuwa na chambo mmoja kutoka pot 2
Itakuwa na chambo mmoja kutoka pot 3
Na itakuwa na chambo mmoja kutoka pot 4

Hivyo hivyo kwa Group B mpaka C

Kwahiyo hakuna namna unaweza kuwakwepa hao giant wanne ila swala linakuja kwa nyie machambo kwa machambo je machambo wenzako wawili watakuwa wa aina gani? Ndio hapo mtiti.
Hapo mwiba kwa timu zetu za Simba na Yanga ni Mamelodi Sundowns na Etoile du Sahel, Timu itakayopangiwa na hawa kundi moja itakuwa na shughuli nzito sana.

Al Ahly, Wydad na Esperance de Tunis huwa wanafungika ugenini. Mamelodi na Etoile du Sahel ni moja ya timu zenye rekodi nzuri sana viwanja vya ugenini. Hizi sio timu za kukaa nazo kundi moja.
 
Pot 1:
Al Ahly
Wydad AC
Espérance de Tunis
Mamelodi Sundowns

Pot 2:
CR Belouizdad
Pyramids
Simba
Petro de Luanda

Pot 3:
TP Mazembe
Al Hilal
Young Africans
ASEC Mimosas

Pot 4:
Étoile du Sahel
Jwaneng Galaxy
Nouadhibou
Medeama

NB:
1. Kuna baadhi ya mechi (tatu) zinaendelea, ila uelekeo ndio huo
2. Pots sio groups za competition, bali ni class za ubora wa clubs
3. Timu zilizo katika pot moja haziwezi kukutana. Ukiondoa condition hiyo, hakuna condition nyingine inayozuia club zisizoshea pot kukutana katika group. Hata club kutoka nchi moja zinaweza kukutana katika group moja iwapo hazimo katika pot moja
Haitakuwa afya kwa timu zilizotoka nchi moja kupangiwa group moja, mfano Egypt Al Ahly na Parymid, Tunisia Esperance na Etoile De Sahil, Tanzania Young Africans na Simba.
 
Haitakuwa afya kwa timu zilizotoka nchi moja kupangiwa group moja, mfano Egypt Al Ahly na Parymid, Tunisia Esperance na Etoile De Sahil, Tanzania Young Africans na Simba.
Katika hatua za preliminaries, huwa wanazingatia hilo, na ikitokea draw imetoa matokeo ambayo yatazikutanisha timu za nchi moja katika raundi ya kwanza, huwa inarudiwa ili kuzipishanisha. Katika hatua ya makundi, huwa hawazingatii hilo na hawajali timu mbili kuwapo katika group moja, isipokuwa ikitokea timu zaidi ya mbili ndipo inazingatiwa
 
Katika hatua za preliminaries, huwa wanazingatia hilo, na ikitokea draw imetoa matokeo ambayo yatazikutanisha timu za nchi moja katika raundi ya kwanza, huwa inarudiwa ili kuzipishanisha. Katika hatua ya makundi, huwa hawazingatii hilo na hawajali timu mbili kuwapo katika group moja, isipokuwa ikitokea timu zaidi ya mbili ndipo inazingatiwa
Ok sawa
 
Nafikiri Pot 3, Pyramids ni debutant kwenye champions league na sidhani kama anamzidi Points TP Mazembe

Sizani kama kama unafikilia au mpira umeanza kuuona juzi ndani ya miaka sita pyramid kacheza fainal tatu au mbili za ccfcl na amefika nusu fainal kadhaa huko sasa sijui unongelea kwa mihemuko naznai utakuwa shabiki wa utopol bac iweke utopol hapo ufurahi na moyo wako
 
Mpaka kufika mwezi Dec hizi ngebe za utani dhidi ya Yanga zitakua zimeisha. Oooh usidhani huku ni shirikisho, ooh huku kwa wakubwa, ooh huku hakuna vibonde. Sasa nasemaje tutaelewana tu, Yanga iko kuwaprove wrong vishokomzobe vyenye ubingwa wa robo fainali kila msimu
 
Back
Top Bottom