Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

Kuanzia pale bingwa anapopatikana mwezi wa 5 hadi wa 9 rank inabadilika,ule msimu wa mashindano kizidishio ni zero inabidi tujue zero nayo ni namba kama namba zengine,cummulative za points ndio zitakazoibeba timu kwenye pot kwwnye mwaka wa mashindano najua ukakasi unakuja kwenye zero(0) ila tujue hii pia ni namba

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Nimekwambia weka rank yako ya misimu mitano hapa itakayotumika katika michuano ya CAF msimu tokea mwanzo mpaka mwisho wa mashindano ya 2023/2024. Niambie rank yako ya 5 years unaanzia wapi na kuishia wapi. Mbona mimi nakuhoji vitu vingi sana unavikwepa halafu wewe kila unachouliza mimi nakujibu kwa mapana kila hoja yako?

Tupo msimu wa 2023/2024 niambie michuano ya msimu huu seeding inafanyika vipi?
 
Kuanzia pale bingwa anapopatikana mwezi wa 5 hadi wa 9 rank inabadilika,ule msimu wa mashindano kizidishio ni zero inabidi tujue zero nayo ni namba kama namba zengine,cummulative za points ndio zitakazoibeba timu kwenye pot kwwnye mwaka wa mashindano najua ukakasi unakuja kwenye zero(0) ila tujue hii pia ni namba

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Kama lugha ipo vizuri naomba tuhitimishe huu mjadala sasa. Ila kama Kingereza kinakupiga chenga basi endelea kubisha. Nakupa fact ya mwisho kwa evidence maana nimekuelimisha mpaka nakata tamaa sasa.

Nimeattach procedure zilizotumika msimu uliopita katika kufanya seeding, ukisoma hayo maelezo utaona neno " previous five seasons" maanake msimu husika huwa hausiki mpaka mashindano yatamatike. Na sio kweli kama unavyosema wewe kuwa msimu husika unahesabika ni zero.

Kama ukishindwa kuelewa na hapa basi tatizo lako ni kubwa zaidi ya uelewa wa mpira na pia uelewa wa lugha.
IMG_20231002_163010.jpg
 
Nimekwambia weka rank yako ya misimu mitano hapa itakayotumika katika michuano ya CAF msimu tokea mwanzo mpaka mwisho wa mashindano ya 2023/2024. Niambie rank yako ya 5 years unaanzia wapi na kuishia wapi. Mbona mimi nakuhoji vitu vingi sana unavikwepa halafu wewe kila unachouliza mimi nakujibu kwa mapana kila hoja yako?

Tupo msimu wa 2023/2024 niambie michuano ya msimu huu seeding inafanyika vipi?
Msimu ukianza upya ule mwaka wa mashindano unakuepo ila kizidishio chake inakua zero,ule ulioisha ambao kwa sasa ni 2022/2023 unakua umazidishiwa na 4 mbona hili nimelieleza na lipo wazi CAF wanalitumia,shida kwakua ni 5 years rank unafikiri misimu yote mitano ya nyuma inatumika kitu ambacho sio kweli CAF wanahesabu ile misimu mi 4 ya nyuma na ule wa mashindano unahesabika kwa kizidishio cha zero kwakua msimu haujaisha ndomana nikataja hadi point za simba zimepungua toka 35 hadi 24 walizonazo sasa embu fatilia itakusaidia kujua simba ana points ngapi kwa miaka mi 5,msimu wa mashindano unahesabika ukiwa na kizidishio cha sifuri.

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Msimu ukianza upya ule mwaka wa mashindano unakuepo ila kizidishio chake inakua zero,ule ulioisha ambao kwa sasa ni 2022/2023 unakua umazidishiwa na 4 mbona hili nimelieleza na lipo wazi CAF wanalitumia,shida kwakua ni 5 years rank unafikiri misimu yote mitano ya nyuma inatumika kitu ambacho sio kweli CAF wanahesabu ile misimu mi 4 ya nyuma na ule wa mashindano unahesabika kwa kizidishio cha zero kwakua msimu haujaisha ndomana nikataja hadi point za simba zimepungua toka 35 hadi 24 walizonazo sasa embu fatilia itakusaidia kujua simba ana points ngapi kwa miaka mi 5,msimu wa mashindano unahesabika ukiwa na kizidishio cha sifuri.

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
tuhitimishe huu mjadala sasa. Ila kama Kingereza kinakupiga chenga basi endelea kubisha. Nakupa fact ya mwisho kwa evidence maana nimekuelimisha mpaka nakata tamaa sasa.

Nimeattach procedure zilizotumika msimu uliopita katika kufanya seeding, ukisoma hayo maelezo utaona neno " previous five seasons" maanake msimu husika huwa hausiki mpaka mashindano yatamatike. Na sio kweli kama unavyosema wewe kuwa msimu husika unahesabika ni zero.

Kama ukishindwa kuelewa na hapa basi tatizo lako ni kubwa zaidi ya uelewa wa mpira na pia uelewa wa lugha.
IMG_20231002_163010.jpg
 
tuhitimishe huu mjadala sasa. Ila kama Kingereza kinakupiga chenga basi endelea kubisha. Nakupa fact ya mwisho kwa evidence maana nimekuelimisha mpaka nakata tamaa sasa.

Nimeattach procedure zilizotumika msimu uliopita katika kufanya seeding, ukisoma hayo maelezo utaona neno " previous five seasons" maanake msimu husika huwa hausiki mpaka mashindano yatamatike. Na sio kweli kama unavyosema wewe kuwa msimu husika unahesabika ni zero.

Kama ukishindwa kuelewa na hapa basi tatizo lako ni kubwa zaidi ya uelewa wa mpira na pia uelewa wa lugha. View attachment 2769625
Sijui kwanini una hangaika na hao mbumbumbu
 
tuhitimishe huu mjadala sasa. Ila kama Kingereza kinakupiga chenga basi endelea kubisha. Nakupa fact ya mwisho kwa evidence maana nimekuelimisha mpaka nakata tamaa sasa.

Nimeattach procedure zilizotumika msimu uliopita katika kufanya seeding, ukisoma hayo maelezo utaona neno " previous five seasons" maanake msimu husika huwa hausiki mpaka mashindano yatamatike. Na sio kweli kama unavyosema wewe kuwa msimu husika unahesabika ni zero.

Kama ukishindwa kuelewa na hapa basi tatizo lako ni kubwa zaidi ya uelewa wa mpira na pia uelewa wa lugha. View attachment 2769625
Hiyo source umeiangalia vizuri ndugu imeshindwa hata ku update Bado imemweka Raja badala ya Mamelodi,imemweka Pot 2 Horoya ambae amedrop points kapitwa na simba,halafu hii ilikua draw ya msimu uliopita napenda kujadili nawewe kwakua una hoja nzuri ila kwahiyo attachment yako umeteleza ndugu yangu maana kweli draw ni tarehe 12 ila timu zilizowekwa ni za msimu uliopita,nashangaa kwanini haujashtukia!

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Mungu ajaalie iwe hivyo.
Hii haifai itafanya timu zote za tz ziishie hatua ya makundi kwa kunyang'anyana points.
Msimu wa 2021/2021 ilitokea kwa Al hilal na El Merreikh wakaishia group stages similar kwa Esperance na na Etoih sahel.
 
Hiyo source umeiangalia vizuri ndugu imeshindwa hata ku update Bado imemweka Raja badala ya Mamelodi,imemweka Pot 2 Horoya ambae amedrop points kapitwa na simba,halafu hii ilikua draw ya msimu uliopita napenda kujadili nawewe kwakua una hoja nzuri ila kwahiyo attachment yako umeteleza ndugu yangu maana kweli draw ni tarehe 12 ila timu zilizowekwa ni za msimu uliopita,nashangaa kwanini haujashtukia!

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app

Haija update kwenye kitu gani? Kwa maelezo tu uliyoyatoa nimebaini tatizo lako ni lugha, maana laiti kama ungesoma maelezo usinge hoji hilo swala Raja na Horoya. Hapo imezungumziwa mashindano ya msimu wa 2022/2023.

Hiyo source ni Wikipedia
Link hii hapa
 
Hiyo source umeiangalia vizuri ndugu imeshindwa hata ku update Bado imemweka Raja badala ya Mamelodi,imemweka Pot 2 Horoya ambae amedrop points kapitwa na simba,halafu hii ilikua draw ya msimu uliopita napenda kujadili nawewe kwakua una hoja nzuri ila kwahiyo attachment yako umeteleza ndugu yangu maana kweli draw ni tarehe 12 ila timu zilizowekwa ni za msimu uliopita,nashangaa kwanini haujashtukia!

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Mkuu kama kuna mtu yupo karibu yako anajua kidogo lugha ya kingereza embu muoneshe hiyo attachment akusomee na akueleweshe. Hiyo imezungumzia mashindano ya CAF msimu wa 2022/2023 na hapo maelezo yanajionesha
 
Haiwezekani timu mbili kutoka nchi moja kupangwa kundi moja, according to CAF league regulations
Msimu wa 2021/2022 ilitokea nadhani walibadili kanuni zao.
Al Hilal na El Merreikh walikuwa kundi moja. Esperance na Etoih Sahel walikuwa kundi moja pia.
 
Zimeanza ndumba.
Mwaka jana
Al Ahly na Mamelodi Sundowns walikuwa group moja.

hizi taarifa zako za mchongo
Nadhani kwa sababu ya uwepo wa Raja Casablanca ambaye ana points nyingi kuliko Mamelod ulimweka Mamelod Pot 2
 
Na juu nliweka hii tunachanganya kuanzia hapa,huu tunahesabu misimu mi 4 ya nyuma huu tulioanza kila timu ina point 0 hadi msimu uishe ndio znakuja hizi za group stage na kuendelea ztakazovunwa

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Wanaanzia 2018/2019 mkuu ili kupata misimu mitano.

Msimu huu ukiisha 2024/2025 ndiyo wataanza kuhesabu points 2019/2020.
 
Mkuu kama kuna mtu yupo karibu yako anajua kidogo lugha ya kingereza embu muoneshe hiyo attachment akusomee na akueleweshe. Hiyo imezungumzia mashindano ya CAF msimu wa 2022/2023 na hapo maelezo yanajionesha
Hivi unajua kwanza tupo msimu gani? Maana naona umejichanganya unasema msimu wa 2022/2023 draw itafanyika tarehe 12 ni kweli ila timu zilizowekwa kama reference hazina uhalisia,hivi kweli unaweza uka urgued kwa kutumia kitu kisichosahihihi kama icho ukaeleweka? Labda wewe Lugha ndio inakupiga chenga embu rudia kusoma kilichoelezwa na reference kilichowekwa.

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Hivi unajua kwanza tupo msimu gani? Maana naona umejichanganya unasema msimu wa 2022/2023 draw itafanyika tarehe 12 ni kweli ila timu zilizowekwa kama reference hazina uhalisia,hivi kweli unaweza uka urgued kwa kutumia kitu kisichosahihihi kama icho ukaeleweka? Labda wewe Lugha ndio inakupiga chenga embu rudia kusoma kilichoelezwa na reference kilichowekwa.

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Dah mkuu, mbona unashindwa kuwa muelewa kiasi hiki?

Nimekupa hiyo reference ya msimu uliopita ili upate kuelewa ni namna gani seeding inafanyika. Wewe unasema ili kufanya seeding katika mashindano ya msimu huu, huwa wanachukua na ranking ya msimu na kuhesabu ni 0. Kitu ambacho nimekwambia sio sahihi msimu huu unahesabika kwa mashindano ya msimu ujao. Ila kwa msimu huu wanachukua misimu mitano ya nyuma. Nikakupa na reference ili uone sheria ipoje ya seeding na je ni namna gani msimu mashindano yaliyopita wamefanya seeding
 
Back
Top Bottom