Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kwanza simba iwashukuru sana Wazambia kuwasaidia kufungaMpaka kufika mwezi Dec hizi ngebe za utani dhidi ya Yanga zitakua zimeisha. Oooh usidhani huku ni shirikisho, ooh huku kwa wakubwa, ooh huku hakuna vibonde. Sasa nasemaje tutaelewana tu, Yanga iko kuwaprove wrong vishokomzobe vyenye ubingwa wa robo fainali kila msimu