Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

Uelekeo wa pots za Draw ya CAF Champions League 2023/24

Dah mkuu, mbona unashindwa kuwa muelewa kiasi hiki?

Nimekupa hiyo reference ya msimu uliopita ili upate kuelewa ni namna gani seeding inafanyika. Wewe unasema ili kufanya seeding katika mashindano ya msimu huu, huwa wanachukua na ranking ya msimu na kuhesabu ni 0. Kitu ambacho nimekwambia sio sahihi msimu huu unahesabika kwa mashindano ya msimu ujao. Ila kwa msimu huu wanachukua misimu mitano ya nyuma. Nikakupa na reference ili uone sheria ipoje ya seeding na je ni namna gani msimu mashindano yaliyopita wamefanya seeding
Wikpedia una waamini? Maana msimu wa 2024/25 wamemweka simba mbele ya zamalek ukasema ni assumption sasa kweli rank inaweza kuwa assumed? CAF kwenye page yao rasmi ndio kuna uhakika zaidi

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Wikpedia una waamini? Maana msimu wa 2024/25 wamemweka simba mbele ya zamalek ukasema ni assumption sasa kweli rank inaweza kuwa assumed? CAF kwenye page yao rasmi ndio kuna uhakika zaidi

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Ili isiwe assumption naomba matokeo ya msimu huu nani bingwa wa CAF 2023/2024?
timu zipi zimefuzu nusu fainali ya CAF 2023/2024?
Zipi zimefuzu robo fainali msimu huu wa 2023/2024?

Kama utanipa hayo majibu basi itakuwa sio assumption bali ni uhalisia.

Njoo na majibu
 
Ili isiwe assumption naomba matokeo ya msimu huu nani bingwa wa CAF 2023/2024?
timu zipi zimefuzu nusu fainali ya CAF 2023/2024?
Zipi zimefuzu robo fainali msimu huu wa 2023/2024?

Kama utanipa hayo majibu basi itakuwa sio assumption bali ni uhalisia.

Njoo na majibu
Kwaio sio credible source? na kama sio credible source haiwezi kuaminika ?

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Dah mkuu, mbona unashindwa kuwa muelewa kiasi hiki?

Nimekupa hiyo reference ya msimu uliopita ili upate kuelewa ni namna gani seeding inafanyika. Wewe unasema ili kufanya seeding katika mashindano ya msimu huu, huwa wanachukua na ranking ya msimu na kuhesabu ni 0. Kitu ambacho nimekwambia sio sahihi msimu huu unahesabika kwa mashindano ya msimu ujao. Ila kwa msimu huu wanachukua misimu mitano ya nyuma. Nikakupa na reference ili uone sheria ipoje ya seeding na je ni namna gani msimu mashindano yaliyopita wamefanya seeding
Unalipwa sh ngapi kuhangaika na hicho kiazi? mwache na ujinga wake mwambie yupo sahihi
 
Naona msimu huu makundi yatakuwa ya moto saana, humo vibonde ni wachache, huenda sisi wekundu wa msimbazi tukawa vibonde pia msimu huu.
Kila msimu wa mashindano, Simba Sc huchukuliwa kama vibonde wa group ila hawajawahi kubaki.

Simba Sc ikiingia makundi break ya kwanza ni robo fainali, si vinginevyo.
 
Naona msimu huu makundi yatakuwa ya moto saana, humo vibonde ni wachache, huenda sisi wekundu wa msimbazi tukawa vibonde pia msimu huu.
Kinachofanyika hapo ni hao wa pot 1 ndio waundaji wa makundi yaani Kundi A mpaka D halafu baada ya kuunda makundi hayo, kila pot moja atachomolewa timu moja moja (pot 2 mpaka 4 ni machambo) hivyo kila chambo mmoja atanyofolewa

Group A
Itakuwa na giant mmoja kutoka pot 1
Itakuwa na chambo mmoja kutoka pot 2
Itakuwa na chambo mmoja kutoka pot 3
Na itakuwa na chambo mmoja kutoka pot 4

Hivyo hivyo kwa Group B mpaka D

Kwahiyo hakuna namna unaweza kuwakwepa hao giant wanne ila swala linakuja kwa nyie machambo kwa machambo je machambo wenzako wawili watakuwa wa aina gani? Ndio hapo mtiti.
 
Kwaio sio credible source? na kama sio credible source haiwezi kuaminika ?

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Sijui kama kuna sehemu nimetamka hivyo, labda ku assume kwako ndpo kuondoa credibility ni sawa. Ila nachojua wao wameweka rank ambayo haina matokeo ya msimu huu. Na isitoshe hiyo kubishana kwa mimi nawewe sio hilo bali ni swala la mashindano ya msimu huu seeding wanachukulia kwanzia msimu upi mpaka upi. Ila kikubwa nimejaribu kadri ya uwezo wangu kukuelewesha, haikuishia hapo wamekuja watu wengine kukufundisha ila uelewi. Basi mkuu baki na unachokijua.
 
Sijui kama kuna sehemu nimetamka hivyo, labda ku assume kwako ndpo kuondoa credibility ni sawa. Ila nachojua wao wameweka rank ambayo haina matokeo ya msimu huu. Na isitoshe hiyo kubishana kwa mimi nawewe sio hilo bali ni swala la mashindano ya msimu huu seeding wanachukulia kwanzia msimu upi mpaka upi. Ila kikubwa nimejaribu kadri ya uwezo wangu kukuelewesha, haikuishia hapo wamekuja watu wengine kukufundisha ila uelewi. Basi mkuu baki na unachokijua.
Hapa tulikua tunatofautiana kwa kile ambacho mimi najua kinatumika nawewe ambacho unajua kinatumika,kama unakumbuka mwezi july ndio ilitoka iyo ranks ya Simba kuwa wa 7 ndio ni kawa natumia jinsi imekuaje kuaje,,,kutofautina ni jambo la kawaida embu mcheki huyu mchambuzi naye anaamini ninacho amini
View: https://youtu.be/fx_-bHVh-T8?si=kck1EbH2mENmXYwd

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama kuna sehemu nimetamka hivyo, labda ku assume kwako ndpo kuondoa credibility ni sawa. Ila nachojua wao wameweka rank ambayo haina matokeo ya msimu huu. Na isitoshe hiyo kubishana kwa mimi nawewe sio hilo bali ni swala la mashindano ya msimu huu seeding wanachukulia kwanzia msimu upi mpaka upi. Ila kikubwa nimejaribu kadri ya uwezo wangu kukuelewesha, haikuishia hapo wamekuja watu wengine kukufundisha ila uelewi. Basi mkuu baki na unachokijua.
Hapa tulikua tunatofautiana kwa kile ambacho mimi najua kinatumika nawewe ambacho unajua kinatumika,kama unakumbuka mwezi july ndio ilitoka iyo ranks ya Simba kuwa wa 7 ndio ni kawa natumia jinsi imekuaje kuaje,,,kutofautina ni jambo la kawaida embu mcheki huyu mchambuzi naye anaamini ninacho amini
View: https://youtu.be/fx_-bHVh-T8?si=kck1EbH2mENmXYwd

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama kuna sehemu nimetamka hivyo, labda ku assume kwako ndpo kuondoa credibility ni sawa. Ila nachojua wao wameweka rank ambayo haina matokeo ya msimu huu. Na isitoshe hiyo kubishana kwa mimi nawewe sio hilo bali ni swala la mashindano ya msimu huu seeding wanachukulia kwanzia msimu upi mpaka upi. Ila kikubwa nimejaribu kadri ya uwezo wangu kukuelewesha, haikuishia hapo wamekuja watu wengine kukufundisha ila uelewi. Basi mkuu baki na unachokijua.
Hapa tulikua tunatofautiana kwa kile ambacho mimi najua kinatumika nawewe ambacho unajua kinatumika,kama unakumbuka mwezi july ndio ilitoka iyo ranks ya Simba kuwa wa 7 ndio ni kawa natumia jinsi imekuaje kuaje,,,kutofautina ni jambo la kawaida embu mcheki huyu mchambuzi naye anaamini ninacho amini

View: https://youtu.be/fx_-bHVh-T8?si=kck1EbH2mENmXYwd

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama kuna sehemu nimetamka hivyo, labda ku assume kwako ndpo kuondoa credibility ni sawa. Ila nachojua wao wameweka rank ambayo haina matokeo ya msimu huu. Na isitoshe hiyo kubishana kwa mimi nawewe sio hilo bali ni swala la mashindano ya msimu huu seeding wanachukulia kwanzia msimu upi mpaka upi. Ila kikubwa nimejaribu kadri ya uwezo wangu kukuelewesha, haikuishia hapo wamekuja watu wengine kukufundisha ila uelewi. Basi mkuu baki na unachokijua.
Hapa tulikua tunatofautiana kwa kile ambacho mimi najua kinatumika nawewe ambacho unajua kinatumika,kama unakumbuka mwezi july ndio ilitoka iyo ranks ya Simba kuwa wa 7 ndio ni kawa natumia jinsi imekuaje kuaje,,,kutofautina ni jambo la kawaida embu mcheki huyu mchambuzi naye anaamini ninacho amini

View: https://youtu.be/fx_-bHVh-T8?si=kck1EbH2mENmXYwd

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama kuna sehemu nimetamka hivyo, labda ku assume kwako ndpo kuondoa credibility ni sawa. Ila nachojua wao wameweka rank ambayo haina matokeo ya msimu huu. Na isitoshe hiyo kubishana kwa mimi nawewe sio hilo bali ni swala la mashindano ya msimu huu seeding wanachukulia kwanzia msimu upi mpaka upi. Ila kikubwa nimejaribu kadri ya uwezo wangu kukuelewesha, haikuishia hapo wamekuja watu wengine kukufundisha ila uelewi. Basi mkuu baki na unachokijua.
Hapa tulikua tunatofautiana kwa kile ambacho mimi najua kinatumika nawewe ambacho unajua kinatumika,kama unakumbuka mwezi july ndio ilitoka iyo ranks ya Simba kuwa wa 7 ndio ni kawa natumia jinsi imekuaje kuaje,,,kutofautina ni jambo la kawaida embu mcheki huyu mchambuzi naye anaamini ninacho amini

View: https://youtu.be/fx_-bHVh-T8?si=kck1EbH2mENmXYwd

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama kuna sehemu nimetamka hivyo, labda ku assume kwako ndpo kuondoa credibility ni sawa. Ila nachojua wao wameweka rank ambayo haina matokeo ya msimu huu. Na isitoshe hiyo kubishana kwa mimi nawewe sio hilo bali ni swala la mashindano ya msimu huu seeding wanachukulia kwanzia msimu upi mpaka upi. Ila kikubwa nimejaribu kadri ya uwezo wangu kukuelewesha, haikuishia hapo wamekuja watu wengine kukufundisha ila uelewi. Basi mkuu baki na unachokijua.
Hapa tulikua tunatofautiana kwa kile ambacho mimi najua kinatumika nawewe ambacho unajua kinatumika,kama unakumbuka mwezi july ndio ilitoka iyo ranks ya Simba kuwa wa 7 ndio ni kawa natumia jinsi imekuaje kuaje,,,kutofautina ni jambo la kawaida embu mcheki huyu mchambuzi naye anaamini ninacho amini

View: https://youtu.be/fx_-bHVh-T8?si=kck1EbH2mENmXYwd


Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom