Uelewa wa Ulimwengu unatisha Maajabu ya Jua (Sun) nilichoona 5-march-2018 huenda kuna mabadiliko makubwa kila uchao.

Uelewa wa Ulimwengu unatisha Maajabu ya Jua (Sun) nilichoona 5-march-2018 huenda kuna mabadiliko makubwa kila uchao.

Mkuu camera iliungua ila ukihitaji ushahidi zaidi itabidi nim record mtu aliyekuwepo shambani aeleze alichokiona ili tufananishe na maelezo yangu
Ulimwengu una mambo mengi ya maajabu,sio kila kitu kwa ajili yetu, ndio maana wengine hufa instantly baada ya kukutana na maajabu.
 
Kuna mchawi anakuwinda kuwa makini
Hakuna mchawi uchawi ni vile unavyoishi
Mimi mwenyewe mchawi siwezi logwa na mchawi labda mchawi wangu Mungu anaye ua roho.
 
Ulimwengu una mambo mengi ya maajabu,sio kila kitu kwa ajili yetu, ndio maana wengine hufa instantly baada ya kukutana na maajabu.
Mkuu ni kweli kabisa unachosema maana hichi nilichoona ni kitu cha kutisha ambacho unaweza kufa unawaza na usipate majibu maisha yako yote
 
Mkuu, Mungu ndiye muumbaji wa kila kitu hata miungu ameumba yeye kwa maana hiyo Mungu ni Mwanzo na Mwisho
Hiyo ni imani yako!
Si unaona watu tulivyo tofauti?
 
Ila huyu mtu ni kichwa sana na ni muelewa mzuri sana. Mimi nilijua wanga na wachawi ni watu ambao hawajaelimika kumbe nilikuwa nakosea sana. Jana nimemuuliza kitu mahali kaamua kunipotezea.

CC: mshana jr

Mshana Jr. Ni hatari JF kila mtu anamwogopa sana ktk mambo ya kichawi
 
Pole ndugu yangu!
Mara nyingine comments za watu ni sawa na comedy!
Samahani jamani usichukie!
Mkuu siwezi kuchukia binafsi huwa sioni kipya hapa duniani cha kunichukiza.
 
Hiyo ni imani yako!
Si unaona watu tulivyo tofauti?
Mkuu ni kweli ni imani yangu lakini kwa yeyote mwenye akili timamu roho yake inaamini uwepo wa Mungu inje ya pazia ndio huleta uongo kuwa hakuna Mungu ili apotoshe wapumbavu.
 
Ila huyu mtu ni kichwa sana na ni muelewa mzuri sana. Mimi nilijua wanga na wachawi ni watu ambao hawajaelimika kumbe nilikuwa nakosea sana. Jana nimemuuliza kitu mahali kaamua kunipotezea.

CC: mshana jr
Mshana ni kichwa hakutakiwa kuwa mchawi wa tz alitakiwa awe mchawi wa ulaya maana ni jichawi lisomi la machawi
 
haloo vipi unatumia sigara flani

labda ndio iliyoharibu mpangilio wa mfumo wa mawazo
Mkuu asante lakini hiki nilichokiandika ndio nilichokiona na sijawahi kuvuta bangi,sigala wala kutumia kilevi chochote
 
Back
Top Bottom