Uelewa wa Ulimwengu unatisha Maajabu ya Jua (Sun) nilichoona 5-march-2018 huenda kuna mabadiliko makubwa kila uchao.

Uelewa wa Ulimwengu unatisha Maajabu ya Jua (Sun) nilichoona 5-march-2018 huenda kuna mabadiliko makubwa kila uchao.

Kuna muda unaweza kuonekana mpuuzi/mwongo wakati unaloongea ni muhim sana na ni la ukweli,mtu anasema alikuwa na camera lakini picha anayoambatisha kachukua mtandaoni!
Mkuu nimeambatanisha picha hiyo kwa sababu ya kuonyesha Jua lilivyo halina kidoti kikubwa wala tundu.
Nilichoandika ndio ukweli wa nilichoona
 
Ki ukweli hiki kitu nishakisikia na kuona picha yake, ambaye dada angu alikua geita alipiga simu na kuniambia ameona kitu kama hicho lakini cha ajabu mimi huku sikuona kitu kama hicho. Na picha alinitumia.
Mkuu Mimi nilishuhudia kwa macho yangu na tulikuwa wengi sikuwa peke yangu.
 
Hahaha ila we mtunzi mzuri nmekumbuka ile hadithi yko ya kuchungulia kuzimu
Mkuu ile haikuwa hadith ni ukweli mtupu
Hata hii ya juzi ni kweli labda tatizo ni maisha yangu na mikasa ninayokutana nayo imenifanya nionekane wa ajabu.
 
Mkuu nilichoandika ni ukweli sina haja ya kudanganya umma Mimi ni mtu ninaye jitambua ingekuwa joke ningepeleka majukwaa husika nisingeleta huku.
Mimi naamini umeona hiyo kitu, lakini kuungua kamera ya kidigitali hadi memory Card hapo kisayansi inahitaji maelezo ya kutosha.

Peleka Camera kwa wanasayansi pale DIT au UDSM au UDOM waifanyie uchunguzi wa kisayansi.
 
Iwe umetoa sehemu au umetunga haijalishi,kule kuchochea fikra inatosha kuthamini.

Ulichosema si kigeni,kipo na bado kina mkanganyiko.

Na kwa kuwa ni ngumu kuthibitisha inakuwa ngumu kuelewa na kuamini.

Na si kwa jua Tu, hata na dunia ina kitu kama hicho.

Hata mimi nina imani ya kuwa Magimba ya angani ikiwemo Dunia yetu ni milango (portal),Kuwezesha kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Ila kuna wahuni fulani duniani wanaficha ukweli, Ila nikiri tu sijafahamu kama ni kwa nia Mbaya au Njema.

Ila usitegemee watoto wachanga wakakuelewa.ubarikiwe
Asante sana mkuu
Maana nilichosema ni ukweli mtupu
 
Iwe umetoa sehemu au umetunga haijalishi,kule kuchochea fikra inatosha kuthamini.

Ulichosema si kigeni,kipo na bado kina mkanganyiko.

Na kwa kuwa ni ngumu kuthibitisha inakuwa ngumu kuelewa na kuamini.

Na si kwa jua Tu, hata na dunia ina kitu kama hicho.

Hata mimi nina imani ya kuwa Magimba ya angani ikiwemo Dunia yetu ni milango (portal),Kuwezesha kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Ila kuna wahuni fulani duniani wanaficha ukweli, Ila nikiri tu sijafahamu kama ni kwa nia Mbaya au Njema.

Ila usitegemee watoto wachanga wakakuelewa.ubarikiwe
Ni kweli hawa Serengeti boys kukuelewa ni ngumu
 
Back
Top Bottom