Uendeshaji wa Bandari zetu

Uendeshaji wa Bandari zetu

koro-boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2017
Posts
1,342
Reaction score
1,088
Je mkataba unaojadiliwa Bungeni kuhusu bandari zetu ni huo huo uliopo mitandaoni au mwingine? Je ni kosa kwa wananchi kujadili mkataba huu? Je wabunge wamejikita kiasi gani kwenye mada iliyopo mezani mfano vifungu vya mkataba na adhari ( + or -)zake kwa Taifa.
 
Back
Top Bottom