Wewe stagliptin kwa sababu ni mgonjwa wa sukari, unaweza pia kuwa na changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume. Lakini kwa vijana wengi ambao kazi zao ni za bodaboda, wengi huja na hili tatizo!
Nikisaidie kwa ufupi sina na haijawahi na kwenye familia hatuna historia ya sukar
Pili swala nguvu kuwa nazo au sina leta mkeo atakusimulia kama zipo au hazipo
Nimekupa elimu ya kawaida sana kuhusu logic ya nguvu za kiume
Na nimekupa mifano ya mimi binafsi kuhusu pikipiki na basikeli
Lakini kuna watu wamekueleza kuhusu watu wa kanda ya ziwa ambao usafir wao mkubwa baiskeli tena za phonex
Wake kwa waume lakini kanda ya ziwa ndio wanaongoza kwa kuzaliana
Njoo tabora bodaboda zetu 70% ni baiskel
Sasa labda uje utumbie dalili za kukosa nguvu za kiume ni zipi ili wale waendesha basikel wakuthibitishie
Vijiji mwtu.wazaz wmetumia sana baskel
Magari tanzania miakanya 90 unatafuta kwa tochi mpaka 2005 ndo umiliki wa watu umekuja kwa kasi sana nyumba moja gari 4 skuiz sasa wale wa nyuma manake baislel ndo alikiwa mkombozi wao
Vipi wanamatatizo ya nguvu?
Zipo sababu kadhaa za kibaologia kabisa za kumfanya mtu akose hamu ya tendo au nguvu za kiume
Leo nakupa baadhi
1. Mtindo wa maisha (vyakula) mfano vyakula vya makopo vya kusindika
Watuamiaji wa vile wengi watakosa nguvu za kiume baada ya muda, wahanga ni wanaume waishio mijini ukiwamo wewe
2. Maradhi sugu
Hapa napo utakutana na tatizo mfano wagonjwa wa presha na sukar type 2 na mengineyo mengi tu homa ya ini kansa
3. Nature ya kazi
Mfano watu wa shughuri za viwandani hasa vya kemikali au mionzi nk wanakumbana na hilo tatizo moja kwa moja kama hawatachukua tahadhari
Na hata madreva wa masafa marefu ambao wanakaa muda.mrefu kwenye kiti nao pia wahanga
Haya ni baadhi
Ila kamwe baiskeli haijawahi kuwa tatizo
Zaid inaweza kuwa tiba kwa uimarishaji wa misuli
Nikupe mfano mwepesi kijana
Tufanye research ndogo ya kugharim miez miwili au mitatu
Mchukue ashura uwe unampiga mara 1 kwa wiki au mbili kwa mwezi
Na mchukur amina piga kila siku
Katika hao
Yupo utambiwa unanguvu sana kama nyati