zamani1116
Member
- Oct 24, 2017
- 28
- 6
Habari wana jamii,kuna jambo naomba muongozo kidogo wa kisheria kwa mwenye ufahamu nalo.Tuna mali tumerithi toka kwa baba yetu na tuko watatu lakini kwa bahati mbaya mwenzetu mmoja amefariki na kuacha watoto wawili ambao ni wakubwa (above 18).
Baada ya msiba tulikaa kama familia na sehemu ya mali ya marehemu tukaigawa kwa watoto wake(kiukweli baada ya kufuata taratibu zote za mirathi kimahakama tulikabidhiwa mali za marehemu mzee lakini tulikubaliana kutokuuza kwa maana tulikuwa tunaendelea kuzisimamia na kugawana mapato tunayopata kwa usawa).
Lakini ikaja shida kwa mtoto mmoja wa marehemu ndugu yetu anaanza kusumbua anataka apewe pesa kwa maana tuuze tuwape fungu lao wakae pembeni mimi nikawa tayari kwa hilo kwa kuamini kuwa wana haki na sehemu ya mirathi ya mama yao lakini mwenzangu akasema hawapaswi kurthi na wala hawana haki ambapo ilileta tafaruku kubwa sana.S
WALI LANGU SASA, JE, HAWA WATOTO WANA HAKI KWENYE HILI AU LA!?NA MUONGOZO WAKE UKO VIPI!?
Baada ya msiba tulikaa kama familia na sehemu ya mali ya marehemu tukaigawa kwa watoto wake(kiukweli baada ya kufuata taratibu zote za mirathi kimahakama tulikabidhiwa mali za marehemu mzee lakini tulikubaliana kutokuuza kwa maana tulikuwa tunaendelea kuzisimamia na kugawana mapato tunayopata kwa usawa).
Lakini ikaja shida kwa mtoto mmoja wa marehemu ndugu yetu anaanza kusumbua anataka apewe pesa kwa maana tuuze tuwape fungu lao wakae pembeni mimi nikawa tayari kwa hilo kwa kuamini kuwa wana haki na sehemu ya mirathi ya mama yao lakini mwenzangu akasema hawapaswi kurthi na wala hawana haki ambapo ilileta tafaruku kubwa sana.S
WALI LANGU SASA, JE, HAWA WATOTO WANA HAKI KWENYE HILI AU LA!?NA MUONGOZO WAKE UKO VIPI!?