Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

Wewe miaka yako ya Experience wala hata haitutishi Bwashee swali langu ni kwa nini Serikali yenu inakopa fedha kwenye hyo mifuko ya wanachama kununulia Ma V8 7th Generation alafu unatetea Ujinga kabisa hapa kama hyo paragraph yako inavyojieleza kuwa wanachaka waishauri serikali iongeze asilimia 15 mpka 20 hivi wewe kweli mtu kama polisi aambulie mil 18 kwa utumishi wa miaka 30 mtu anajitoa maisha yake alafu eti nyie ndo mmetumwa kuitetea serikali kwa ukandamizaji huu?🐷🐷🐷
 
Saiv iyo mifuko siyo imeunganishwa imekuwa NSSF Doc.?
 
Uko sahihi mkuu.
Mifuko ya jamii ni kama KIBUBU kwanini unipangie kuchukua hela zangu tena.
 
Uko sahihi mkuu.
Mifuko ya jamii ni kama KIBUBU kwanini unipangie kuchukua hela zangu tena.
Hapana mifuko hii ni kama BIMA kuhakikisha uzeeni unapata kitu mpaka siku unafariki ili usiwe mzigo na kero kwa jamii
 
Mkuu ahsante kwa somo murua!

Sasa tucomment nini kwa wanasiasa wanaoprovoke utaratibu huu?

Kwamba wameona Serikali haijatoa elimu hii ya kikokotoo kwa wastaafu na kuons ni fursa yao kuwin akili za raia waonekane ni watetezi?

Hata hivyo nanyi mmechelewa sana kutoa makala kama hizi kwa manufaa ya umma, maana habari ya kikokotoo imeleta taharuki sana.

Halafu kosa jingine katika makala yako hii ni kule kutoa takwimu za ma namba 1/580..?, sasa hizo formula nani anayezielewa?

Wewe ungelitolea mfano wa mtu anayestaafu na mshahara wa let say 1000,000/= ategemee mkupuo wake utakuwa sh ngapi na pensheni kwa mwezi sh ngapi.
 
Next post nitaeleza hili🤝🏿
 
Nimeelewa kitu...Safiiiii
 
Vitu viwili vinanafanya pensheni ya uzee kuwa kubwa au ndogo ni:-
1. Kiwango cha Mshaara.
2. Miezi ya uchangiaji katika mfuko.

Serikali iongeze ( Mishaara ) maslai kwa watumishi, huyo milioni 17 kalipwa kutokana na uchangiaji wake.
 
Hili nimesha liongea, na kutoa uo ufafanuzi fuatilia post za nyuma.
 
Vitu viwili vinanafanya pensheni ya uzee kuwa kubwa au ndogo ni:-
1. Kiwango cha Mshaara.
2. Miezi ya uchangiaji katika mfuko.

Serikali iongeze ( Mishaara ) maslai kwa watumishi, huyo milioni 17 kalipwa kutokana na uchangiaji wake.
Hayo ndio maelezo ya kuwaambia watu,sio mtu anakuja hapa kujaribu kusema namna gani vikokotoo ni vitu vya maana ilhali ni wizi na utapeli mtupu.

Ongeza mshahara,ongeza makato.
 
Baada ya malipo ya awali ( Kiinua mgongo ) hakuna pesa ya mwanachama inabaki kwenye mfuko.
 
Tuambie mtu akifariki mwaka mmoja baada ya kustaafu pesa zake za kila mwezi zinayeyukia wapi ndugu Mwanazuoni.
Tegemezi wanapewa ×36 ya kile alicho kuwa analipwa kila mwezi ( MP )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…