Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maafisa wote wa TRA tubuni na wekeni mambo yenu sawa na Mungu. Narudia tena, maafisa wa TRA wote tubuni na wekeni mambo yenu sawa na Mungu.
Okay. Sawa mkuu.nadhani ndugu huajelewa. Kwa taarifa iliyotolewa walikuwa wapo katika kudhibiti magendo na ndipo walikutana na gari ambalo walihsii kabisa ni moja ya gari zilizoingia kinyemela na inaonekana nia yao ni kutaka kuthibitisha ndipo walipofikiriwa vingine. Haya magari unaweza kuta hata namba siyo zake na wanabadili ili kutojulikana kama ni gari zilizoingia kinyemela na pengine walitumia mitambo yao na kuona usajili haukuwa sawa wa gari ndipo walipoamua kulifata.Sheria nimesoma wanayo ya kukamata kwa makosa kama hayo
Unapomjibu Tlaatlaah hutakiwi kutumia akili joh, ukimuelekeza kama unavyofanya utachosha vidoleHujui lolote kuhusu uzalendo wala kinachoendelea kunduchi beach na ununi na kawe. Nakushauri ufike hapo ujionee. Unanishauri kitu ninachokipna na kukijua kila siku?
walitakiwa wawaue maaneener zao hao wanaojiita kikosi kazi wanajikuta sana TRA ni mila rushwa mikubwa sasa kama gari i;liingia kinyemela na wao ndio wanaosajili hayo magari nani wa kulaumiwa? hii ndio inatakiwa kuwa spirit kwa wananchi maana nchi imekua ya kifala sana.Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasikitika kuutarifu Umma kwamba gari yake yenye namba za usajili STL 9923, ikiwa na Watumishi watatu katika doria za kawaida za udhibiti na ukamataji wa magendo na magari yaliyoingia nchini kinyume na taratibu za Forodha na kutolipiwa ushuru, imeshambuliwa na watumishi kuumizwa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu, tarehe 05 Disemba, 2024, usiku.
Kadhia hii imetokea baada ya watumishi wa TRA kubaini kwamba gari namba T229 DHZ aina ya BMW X6 ilioingizwa nchini kinyemela bila kulipa kodi za serikali stahiki kwa mujibu wa sheria na kuifuatilia kwa lengo la kuikamata ili kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa sheria za kodi.
Wakati Watumishi wa TRA wanatimiza wajibu wao, walihusishwa na kitendo cha utekaji, kilichopelekea wao na gari kushambuliwa.
Mamlaka ya Mapato Tanzania, inawapa pole watumishi wake waliojeruhiwa wakiwa wanatimiza wajibu wao, pamoja na wengine wote waliojeruhiwa katika kadhia hii, na kuwaombea wapone kwa haraka.
Mamlaka ya Mapato Tanzania inauhakikishia umma kuendelea kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria.
"Pamoja Tunajenga Taifa Letu"
Imetolewa na;
IDARA YA ELIMU KWA MLIPAKODI NA MAWASILIANO
Pia Soma: Tegeta, Dar: ‘Wasiojulikana’ washambuliwa na wananchi kwa mawe
Gari inaingizwa kinyemela na kupata usajili utadhani ilikuwa pipi mfukoni mwa mtu.Mpaka wana plate namba ni kinyemela kweli? Au kuna jambo lililojificha
Hao ni waongo, ndio maana wamekimbilia kutoka tamko usiku na asubuhi wameamkia kulaaniGari inaingizwa kinyemela na kupata usajili utadhani ilikuwa pipi mfukoni mwa mtu.
Kwa mzee Ali kimbao walisema trafic akaenda kuuwawa Leo nani hata amini ni kweli ni tra. Wakibanagwa watatoa kila Aina ya vitambulishoUnajua watu wengi wanajua TRA ni makadirio tu ya biashara, saa 12 jioni wamefunga ofisi.
Kumbe kuna upande mwingine wana deal hadi na magendo na wanakesha, ila kwa escort ya vyombo vya usalama. Kama hawakuwa na polisi basi wamejitakia, pole yao.
Nyakati zimebadilika,haya mambo ya kukamatakamata watu kwa njia zinazonekana kihuhalifu hazifai,sahv watu wanatekwa ovyo ovyo watu hawaaminianiMamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inasikitika kuutarifu Umma kwamba gari yake yenye namba za usajili STL 9923, ikiwa na Watumishi watatu katika doria za kawaida za udhibiti na ukamataji wa magendo na magari yaliyoingia nchini kinyume na taratibu za Forodha na kutolipiwa ushuru, imeshambuliwa na watumishi kuumizwa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu, tarehe 05 Disemba, 2024, usiku.
Kadhia hii imetokea baada ya watumishi wa TRA kubaini kwamba gari namba T229 DHZ aina ya BMW X6 ilioingizwa nchini kinyemela bila kulipa kodi za serikali stahiki kwa mujibu wa sheria na kuifuatilia kwa lengo la kuikamata ili kuchukua hatua stahiki kwa mujibu wa sheria za kodi.
Wakati Watumishi wa TRA wanatimiza wajibu wao, walihusishwa na kitendo cha utekaji, kilichopelekea wao na gari kushambuliwa.
Mamlaka ya Mapato Tanzania, inawapa pole watumishi wake waliojeruhiwa wakiwa wanatimiza wajibu wao, pamoja na wengine wote waliojeruhiwa katika kadhia hii, na kuwaombea wapone kwa haraka.
Mamlaka ya Mapato Tanzania inauhakikishia umma kuendelea kutimiza wajibu wake kwa mujibu wa sheria.
"Pamoja Tunajenga Taifa Letu"
Imetolewa na;
IDARA YA ELIMU KWA MLIPAKODI NA MAWASILIANO
Pia Soma: Tegeta, Dar: ‘Wasiojulikana’ washambuliwa na wananchi kwa mawe
Tena wakitokea kwenye magendo polisi wenyewe hukimbia 😄Kumbe TRA nao hukamata kama polisi?
Nyakati zimebadilika,haya mambo ya kukamatakamata watu kwa njia zinazonekana kihuhalifu hazifai,sahv watu wanatekwa ovyo ovyo watu hawaaminiani
Kamateni watu kwa kufata utaratibu
Haya je kama huyo mwenye BMW angekuwa na bunduki angejihami sahv si mngekuwa mnazungumza mengine
Operation zenu nyingi mnafanya kiholela holela tu mnaonekana hata nyie wahalifu kumbe mko kwenye majukumu yenu
Ova
Nakubaliana na wewe maana ilimkuta mtu wangu yeye sasa gari yake ilikamatwa na kuja fatilia kumbe kuna gari kama yake ilikuwa na namba zake ikadakwa nayo yeye akaachiwa sababu alikuwa na nyaraka halali akaendelea. Watu wanatengeneza namba bandia na kuvisha kwenye magari yaoSikia,
Ipo gari Ingine iliyoingia hiyo miaka 8 iliyopita lakin sio hiyo BMW. Sasa hiyo gari Ingine labda ilipata ajali ikawa "Written -Off" ndio number plate zake (plate number) zikahamishiwa kwenye hiyo BMW iliyoingia juzi tu kimagendo.
Angalia hapa chini usajili wa bima hizo number unasoma ni gari ya aina gani
View attachment 3170139