Ufafanuzi: Kuvunjwa Halmashauri ya Jiji la Dar kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Jiji

Ufafanuzi: Kuvunjwa Halmashauri ya Jiji la Dar kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Jiji

Moja ya manufaa yake ni kulifanya Jiji la Dar es Salaam kuwa na sehemu yake mahsusi ya kiutawala tofauti na ilivyokuwa awali. Awali, jiji la Dar es Salaam ni kama lilikuwa likielea kuhusu eneo hasa la kiutawala.
Basi wafute wakuu wa mikoa Mana wakuu wa wilaya wapo pia. Au unaonaje. Na raisi afutwe pia maana Kuna wakuu wa mikoa Mana Hana kazi zaidi ya kuzurura kila kazi anafanya mkuu wa mkoa kwenye eneo lake. Halafu cheo Cha headmaster kifutwe Mana Kuna academic master, discipline master, n.k.

Baba wa nyumba anyongwe maana Kuna watoto wanweza kujitawala pia hakuna haha ya kuongeza mzigo.

Huo no uamuzi wa kipumbavu
 
Mi kwa ushauri wangu naona wangevunja halmashauri kama tatu hivi; Manispaa ya Ilala, Kinondoni na Ubungo ndo zikatengeneza halmashauri moja ya Dar es salaam. Eneo ni dogo lina maeneo ya kiutawala mengi sana.
 
Kwa hio kuna jiji LA ilala na jiji LA dar es salaam
Au dar es salaam ndiyo eneo lote LA ilala tu?
Jiji la Dar lina manispaa 6 lkn kiutawala ilala ndiyo Makao makuu ya jiji la Dar. Wengine wanabaki kuwa manispaa zinazojitegemea ndani ya jiji. Nilivyoelewa mm.
 
Petro E. Mselewa ,

..mara nyingi maamuzi ya hovyo-hovyo huwa hayaeleweki, na yanahitaji nguvu nyingi za ufafanuzi.

..kuna thread zaidi ya tatu hapa JF kujaribu kufafanua uamuzi uliofanywa na serikali, na hali hiyo hainipi hisia nzuri kuhusu uamuzi huu.
 
Petro E. Mselewa ,

..mara nyingi maamuzi ya hovyo-hovyo huwa hayaeleweki, na yanahitaji nguvu nyingi za ufafanuzi.

..kuna thread zaidi ya tatu hapa JF kujaribu kufafanua uamuzi uliofanywa na serikali, na hali hiyo hainipi hisia nzuri kuhusu uamuzi huu.
I agree with you brother...
 
Mi naona siasa tu, na kutafuatiana ulaji tu kwa wafu fulani, wameona ili kuwe na ulahisi wa kufanya mambo yao ndio wakafanya hayo waliyoyafanya, kama kweli wameona kuna gharama kubwa hakukuwa na haja ya kulundika halmashauri nyingi kwa kamkoa kadogo kama haka ka Dar, wakati mtatizo ya watu wa mbangara ndio hayo hayo ya watu wa bunju, anyway ila unategemea nini cha maana toka ccm aka gambas, garbage in garbage out.
 
Tangu Rais Dr. John Pombe Magufuli kuvunja Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Jiji la Dar es Salaam, kumekuwa na mijadala kemkem kuhusu jambo hilo runingani, redioni na hata mitandaoni. Mjadala hasa unajikita katika kuelewa kilichofanyika jana. Wapo wanaosema kuwa kwasasa Mamlaka tu ya lililokuwa Jiji la Dar es Salaam ndiyo yaliyowekwa chini ya Ilala na jiji liko vilevile na pale pale.

Wapo wanaosema kuwa kwasasa Ilala ndiyo jiji na wengine ni Manispaa ndani ya Jiji la Dar es Salaam. Katika kuelewa jambo hili kuna mambo ya kuyafahamu. Mosi, kabla ya jana, Dar es Salaam kama mkoa ulikuwa na Halmashauri za Manispaa tano: Ilala, Kinondoni, Ubungo, Temeke na Kigamboni. Halafu, kulikuwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambalo kinadharia lilijumuisha Manispaa zote hizo.

Pili, hadhi ya juu kabisa ya kihalmashauri ni Jiji. Tatu, jana likavunjwa lililokuwa Jiji la Dar es Salaam (kwa maaa ya kuondolewa kwa iliyokuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam). Zikabaki Halmashauri za Manispaa tano. Moja ya Manispaa hizo-ya Ilala ikapandishwa hadhi kuwa Halmashauri ya Jiji na 'kubatizwa' jina la Dar es Salaam. Sasa kuna Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambayo kimsingi ni iliyokuwa Hamlmashauri ya Manispaa ya Ilala.

Ndiyo kusema, Jiji la Dar es Salaam kwasasa ni sehemu yote ya Wilaya ya Ilala na si vinginevyo. Wilaya za Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kigamboni si sehemu ya jiji la Dar es Salaam. Hizo zimebaki kuwa Halmashauri za Manispaa. Katika kueleweka zaidi, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya sasa imepakana na Halmashauri za Manispaa za Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kigamboni. Kwahiyo, mtu wa Ubungo, Temeke, Kinondoni na Kigamboni hayupo ndani ya Jiji la Dar es Salaam.
Malizia basi kwa kusema kuwa sasa Mkoa wa Dar Salaam uunaundwa na/una:

1.
2.
3.
4.
5.
 
Kwa ufupi huyu mzee ana ubabe wa kijinga! Kwani sheria inamruhusu kuchagua jina la halmashauri ? Kuchagua Meya anaruhusiwa na sheria gani?
 
Tangu Rais Dr. John Pombe Magufuli kuvunja Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Jiji la Dar es Salaam, kumekuwa na mijadala kemkem kuhusu jambo hilo runingani, redioni na hata mitandaoni. Mjadala hasa unajikita katika kuelewa kilichofanyika jana. Wapo wanaosema kuwa kwasasa Mamlaka tu ya lililokuwa Jiji la Dar es Salaam ndiyo yaliyowekwa chini ya Ilala na jiji liko vilevile na pale pale.

Wapo wanaosema kuwa kwasasa Ilala ndiyo jiji na wengine ni Manispaa ndani ya Jiji la Dar es Salaam. Katika kuelewa jambo hili kuna mambo ya kuyafahamu. Mosi, kabla ya jana, Dar es Salaam kama mkoa ulikuwa na Halmashauri za Manispaa tano: Ilala, Kinondoni, Ubungo, Temeke na Kigamboni. Halafu, kulikuwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambalo kinadharia lilijumuisha Manispaa zote hizo.

Pili, hadhi ya juu kabisa ya kihalmashauri ni Jiji. Tatu, jana likavunjwa lililokuwa Jiji la Dar es Salaam (kwa maaa ya kuondolewa kwa iliyokuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam). Zikabaki Halmashauri za Manispaa tano. Moja ya Manispaa hizo-ya Ilala ikapandishwa hadhi kuwa Halmashauri ya Jiji na 'kubatizwa' jina la Dar es Salaam. Sasa kuna Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambayo kimsingi ni iliyokuwa Hamlmashauri ya Manispaa ya Ilala.

Ndiyo kusema, Jiji la Dar es Salaam kwasasa ni sehemu yote ya Wilaya ya Ilala na si vinginevyo. Wilaya za Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kigamboni si sehemu ya jiji la Dar es Salaam. Hizo zimebaki kuwa Halmashauri za Manispaa. Katika kueleweka zaidi, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya sasa imepakana na Halmashauri za Manispaa za Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kigamboni. Kwahiyo, mtu wa Ubungo, Temeke, Kinondoni na Kigamboni hayupo ndani ya Jiji la Dar es Salaam.
Ndugu ahsante kwa ufafanuzi
 
umewadanya watu. Sehemu yote ya Mkoa wa Dar es Salaam ni jiji. Ila majukumu ya uratibu yaliyokuwa yanafanywa na halmashauri ya jiji iliyovunjwa sasa yatasimamiwa na ilala. So pale halmashauri ya mpya ya jiji la DSM itasimamia eneo lote la ilala pamoja na kazi za uratibu wa jiji la dsm ambalo linaundwa na halmashauri zote tano
 
Sasa nimeelewa, kwahiyo mwanzo ilikuwa wale madiwani wa halmashauri za kinondoni, ubungo, kigamboni, Ilala na temeke walikuwa wanaingia kwenye vikao kama wajumbe (madiwani) katika halmashauri ya Dar Es Salaam wakijairi yaleyale waliyoyajadiri katika halmashauri zao.
Kama sijaelewa naomba kukosolewa
Umeelewa vema sana mkuu. Kwamba kwa mfano: Madiwani wa iliyokuwa halmashauri ya jiji la Dar (ambayo ilikuwa eneo lote la mkoa wa Dar) waliweza kukaa kikao cha kujadili mpango wa usafi wa maeneo ya Ilala.

Wakati huo huo, madiwani wa manispaa ya Ilala nao waliweza kukaa kikao cha kujadili mpango wa usafi kwenye eneo lao la Ilala. Sasa hapo kwa akili ya kawaida tu unaona kuna duplication ya majukumu. Hivyo lazima tu kuna mmoja atakula ugali wa bure.

Pia kwenye issue ya kodi na ushuru kuna ahueni mwananchi atapata kwa sasa. Zamani mfanyabiashara wa Ilala kwa mfano angeweza kutozwa ushuru na watu wa manispaa, na kisha akatozwa tena na watu wa Jiji wakati manufaa ya shughuli hayajizidishi kwa mpangilio huo.

Kwa sasa mfanyabiashara wa Ilala atalipa kodi moja tu kwa halmashauri ya jiji la Dar es Salaam ambayo zamani ilikuwa ikiitwa halmashauri ya manispaa ya Ilala. Kwa sasa hakuna tena manispaa ya Ilala.
 
Tangu Rais Dr. John Pombe Magufuli kuvunja Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Jiji la Dar es Salaam, kumekuwa na mijadala kemkem kuhusu jambo hilo runingani, redioni na hata mitandaoni. Mjadala hasa unajikita katika kuelewa kilichofanyika jana. Wapo wanaosema kuwa kwasasa Mamlaka tu ya lililokuwa Jiji la Dar es Salaam ndiyo yaliyowekwa chini ya Ilala na jiji liko vilevile na pale pale.

Wapo wanaosema kuwa kwasasa Ilala ndiyo jiji na wengine ni Manispaa ndani ya Jiji la Dar es Salaam. Katika kuelewa jambo hili kuna mambo ya kuyafahamu. Mosi, kabla ya jana, Dar es Salaam kama mkoa ulikuwa na Halmashauri za Manispaa tano: Ilala, Kinondoni, Ubungo, Temeke na Kigamboni. Halafu, kulikuwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambalo kinadharia lilijumuisha Manispaa zote hizo.

Pili, hadhi ya juu kabisa ya kihalmashauri ni Jiji. Tatu, jana likavunjwa lililokuwa Jiji la Dar es Salaam (kwa maaa ya kuondolewa kwa iliyokuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam). Zikabaki Halmashauri za Manispaa tano. Moja ya Manispaa hizo-ya Ilala ikapandishwa hadhi kuwa Halmashauri ya Jiji na 'kubatizwa' jina la Dar es Salaam. Sasa kuna Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ambayo kimsingi ni iliyokuwa Hamlmashauri ya Manispaa ya Ilala.

Ndiyo kusema, Jiji la Dar es Salaam kwasasa ni sehemu yote ya Wilaya ya Ilala na si vinginevyo. Wilaya za Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kigamboni si sehemu ya jiji la Dar es Salaam. Hizo zimebaki kuwa Halmashauri za Manispaa. Katika kueleweka zaidi, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ya sasa imepakana na Halmashauri za Manispaa za Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kigamboni. Kwahiyo, mtu wa Ubungo, Temeke, Kinondoni na Kigamboni hayupo ndani ya Jiji la Dar es Salaam.

Umeeleza vizuri sana.
Lakini, kwa mantiki hiyo ya kutafutia utawala ardhi yake. Kwa mbaaali kuna sauti inalia NYIKANI ya ardhi kutafuta utawala wake pia.
 
Back
Top Bottom