Ufafanuzi kwa wale Wavivu wa Kufikiri ( wana Yanga SC ) kwanini jana hawakuona Refa akienda kuangalia Screen ya VAR ili Kuamua Matukio

Kwani Jwaneng Galaxy waliowatoa kwenye club bingwa Africa mlicheza nao uwanja upi? Na Fiston Mayele alitetema wapi kwenye ngao ya jamii? Au unajitowa tu akili ingawa akili zenyewe huna.
Wewe ungekuwa na Akili ungeishabikia Yanga SC yako ambayo hata Msukule Wenu ulishakaririwa ukisema kuwa Yanga SC nzima wenye Akili ni Rais Mstaafu Kikwete na Baba yake Mzazi tu ila mliobakia wote ni Matahaira wakiongozwa nawe?
 
Ukiwa na Ubongo uliojaa Funza ni Kero.
 
Where do you get this time to argue with that authentic Moron redio?
Umechunga Ng'ombe mbaka ukiwa na umri mkubwa sana, Aya mambo ya mpira wewe bado mchanga. Ingekua inahusiana na ukamuaji maziwa ya Ngo'mbe kidogo eneo Ilo uko vizuri.
 
Utasubiri sana uto. Mpira ni mchezo wa wazi na kama umejipanga hata ukiwa mgeni kwa Mkapa utashinda tu kama Jwaneng.Au unafikiri simba haikupenda kuendelea kushiriki champions mpaka wasitumie hiyo janja janja kama ipo dhidi ya Jwaneng?
 
Unaumia ukiwa wapi ndugu
 
Jibu lipo hapa kama unajua kiinglish

Huyo atasikilizwa na Wapumbavu na Wendawazimu Wenzake kama Wewe na wale Wachunga Ng'ombe wenye Kwashakoo wanaofugwa pale Mafurikoni Jangwani.
 
Yaani CAF walete Tanzania Vifaa vibovu vya VAR? Hivi kwanini Wapumbavu wengi wamerundikana sana Yanga SC?
 
Unaumia ukiwa wapi ndugu
Zizini Jangwani akijiandaa na Ratiba yake ya kuwatoa Ng'ombe wenye Kwashakoo wa Mayele ili akawalishe Nyasi za Jangwani zenye Vyura wengi katika Vidimbwi vya Jirani.
 
Umechunga Ng'ombe mbaka ukiwa na umri mkubwa sana, Aya mambo ya mpira wewe bado mchanga. Ingekua inahusiana na ukamuaji maziwa ya Ngo'mbe kidogo eneo Ilo uko vizuri.
Unaenda lini Hospitali za Vichaa Wenzako za Mirembe Dodoma na Lutindi Tanga ukaanze Matibabu yako ya awali?
 
😀 Hii inawaume japo mmeshinda ila kwa mchongo!
Sasa kama leo Wewe na Matahaira Wenzako wa Jangwani ( Yanga SC ) mnasema kuwa Simba SC jana imeshinda na huwa inashinda kwa Michongo nyie Yanga SC mlikuwa wapi au mlishindwa nini nanyi Kutumia Michongo katika Mechi yenu na wale Wanaijeria hatimaye Wakawakojolea Kimoko Tanzania na Kimoko kingine Kwao Nigeria?

Ni matumaini yangu makubwa pia kuwa umemsikiliza na hata Kuyasoma Maelezo ya aliyewahi kuwa Msemaji wenu Yanga SC na aliyewahi pia kuwa Kiongozi Mwandamizi Yanga SC Dismas Ten aliposema Juzi kuwa Simba SC ndiyo Klabu pekee nchini Tanzania iliyo set Standards kwa Soka la Tanzania na kuitaka Klabu yake ( yako ) iwaige na kamwe isione Aibu kufanya hivyo?
 
Kwani Jwaneng Galaxy waliowatoa kwenye club bingwa Africa mlicheza nao uwanja upi? Na Fiston Mayele alitetema wapi kwenye ngao ya jamii? Au unajitowa tu akili ingawa akili zenyewe huna.
Anatetemesha nini hiko?
 
Huyo Ten akisema wewe ni shoga basi wewe ni shoga??. Kwani yeye anamsemea mtu??.
 
Yaani CAF walete Tanzania Vifaa vibovu vya VAR? Hivi kwanini Wapumbavu wengi wamerundikana sana Yanga SC?
Wewe ndiye mpumbavu lakini pia ni mjinga na mshenzi kwa pamoja na you are also a fanatic...Soma vizuri hiyo mbovu imeandikwa 'mbovu' kwa maana ipo kwenye mabano...halafu ujinga wako na upumbavu na hata ushenzi ni pale unapokataa ukweli kuwa VAR Jana haikutumika...je unajua sababu zake...ndiyo maana una sifa nyingine ya fanatic...
 
Huyo Ten akisema wewe ni shoga basi wewe ni shoga??. Kwani yeye anamsemea mtu??.
Mfano wako uko both out of Content and Context hivyo jitahidi Kwanza ujiimarishe Kiakili na ukiona angalau unazo kidogo njoo ubishane nami kwa Hoja zenye Mantiki sawa?
 
Rubbish.
 
Kwa hiyo wenye akili timamu yanga wawili tu. Hii hatari sana. Hata msemaji wao Manara sio miongoni mwa hao wawili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…