Ufafanuzi kwa wale Wavivu wa Kufikiri ( wana Yanga SC ) kwanini jana hawakuona Refa akienda kuangalia Screen ya VAR ili Kuamua Matukio

Ufafanuzi kwa wale Wavivu wa Kufikiri ( wana Yanga SC ) kwanini jana hawakuona Refa akienda kuangalia Screen ya VAR ili Kuamua Matukio

Tukiwa tunasema kuwa wana Yanga SC mna matatizo ya Kufikiri msiwe mnakataa au mnatuona kuwa tunawadhihaki bali muwe mnakubali na mjitathmini mbadilike upesi.

Nimepitia Kurasa nyingi sana za Mitandao ya Klabu Mbovu na yenye Nuksi duniani ya Yanga SC na hata Kusoma baadhi ya Comments za wana Yanga SC katika Mtandao huu na Kujiridhisha kuwa Jangwani kuna Mazuzu (Majuha) wengi na ndiyo maana hata Msemaji wa Yanga SC Haji Manara aliwahi Kunukuliwa (Ushahidi wa Sauti na Picha upo YouTube) akisema kuwa Yanga SC nzima wenye Akili ni Watu Wawili tu Rais Mstaafu Kikwete na Baba yake Mzazi Mzee Manara ila wengine Wote hawana Akili ( yaani Majuha ) tupu kwa hapa Jamvini wakiongozwa na redio, FRESHMAN, Interlacustrine R na Frank Wanjiru

Kwa Watu makini ( wenye Akili Kubwa ) kama wana Simba SC na Mimi MINOCYCLINE ambao Jana tulianza kufuatilia Matangazo ya Azam Tv kupitia Channel ya ZBC2 mtakubaliana nami kuwa walitolea Ufafanuzi wa Kutosha juu ya Matumizi ya VAR hivyo leo hii nawashangaa Majuha (Mazuzu) wa Jangwani (Yanga SC) wanavyohangaika Kulalamika matumizi ya VAR wakati Kwanza hata Mechi haiwahusu na pia bado wana safari ndefu ya kuyafikia Mafanikio waliyoyafikia Simba SC.

Ni kwamba Jana kupitia ZBC2 kulitolewa Ufafanuzi juu ya VAR ambao ulitoka CAF uliosema kuwa katika Chumba cha Mitambo ya VAR kumeongezwa Mtu mwingine aitwae AVAR ( yaani Assistant Video Assistant Referee ) ambaye ndiyo atakuwa akimpa Maelekezo yote Mwamuzi wa Mchezo pale kukitokea Tukio la Kiufafanuzi.

Maelekezo hayo kuhusu VAR yakaenda mbele zaidi kusema kuwa kukitokea Tukio lolote la Utata Uwanjani kwakuwa tayari yuko AVAR basi Mwamuzi hatokuwa na Ulazima wa kwenda katika Screen ya VAR ili Kujiridhisha Kimaamuzi ( japo hajakatazwa kufanya hivyo ) ila atamsikiliza AVAR ambaye ni Msaidizi wake mkubwa wa Matukio yote ya Kimchezo tena Yeye akiwa na Faida Kubwa kwakuwa anautizama Mpira katika Television ambapo ana Faida Kubwa ya Kuyarejea Matukio kwa haraka kuliko hata Mwamuzi ( Referee ) wa Mchezo aliyeko Uwanjani.

Hata hivyo tukiachana na matumizi ya VAR ukiwa na Akili Timamu na Umeucheza Mpira na pia ni Mfuatiliaji halafu ni Mchambuzi makini wa Mpira ( Soka ) hutobisha kuwa ile ilikuwa ni Clear Penalty isipokuwa kuna Watu Jana walishakariri kuwa Simba SC itafungwa na Orlando Pirates FC wakiamini kuwa Kuwapokea Kwao, kuwasaidia Kwao Kuroga na CEO Wao kuwapa Mbinu zote kuihusu Simba SC zingewasaidia, ila wakasahau kuwa Kwa Mkapa huwa hatoki Mtu na kwamba Uwanja wa Benjamin Mkapa ulijengwa Maalum kwa ajili ya Simba Sports Club tu na siyo kwa Takataka zingine za Jangwani.

Mwisho namalizia na huu Ushauri hasa kwa Majuha ( Mazuzu ) wa Jangwani kuwa jitahidini sana Siku zingine kukiwa na Mechi muwe mnaanza Kufuatilia Matangazo ya Tv ( hasa Uchambuzi ) wake wa mapema ili muwe mnapata Taarifa za Kutosha juu ya Mchezo husika na Maelekezo yake ili msiendelee kuwa Wapuuzi hivyo kama mlivyobarikiwa na kuanza kutupotezea muda kama hivi wa Kuwaelimisheni, Kuwachambulia na Kuwafafanulia Masuala ( Matukio ) ambayo kama nanyi mngekuwa makini ( Werevu ) kama wana Simba SC mngeshayajua ( mngeshajua ) mapema tu.

Asanteni Simba SC kwa Ushindi mzuri.
3Eti kwa Mkapa hatoki mtu umesahau mlivyotobolewa na Kagera sugar mbele ya magu halafu na yanga mbele ya mama. Halafu unabana pua eti hatoki mtu kwa Mkapa. Shem on you
 
Wenye Akili tunajua kuwa Simba SC jana imeshinda Kihalali na kama nawe unadhani imeshinda kwa Kupendelewa ungana na hao Majuha ( Mazuzu ) ya Jangwani ( Yanga SC ) sawa Ndugu?
Hivi Wewe umesahau kuna Kiongozi wenu alivyowaambia kuwa Simba ni MAMBUMBU
 
Kwani Jwaneng Galaxy waliowatoa kwenye club bingwa Africa mlicheza nao uwanja upi? Na Fiston Mayele alitetema wapi kwenye ngao ya jamii? Au unajitowa tu akili ingawa akili zenyewe huna.
Galaxy na mayele kwa sasa wako hatua gani kwenye mashindano ya CAF na simba wako hatua gani?
 
Refa alikua akishinikizwa na wachezaji wa Orando akahakiki kupitia VAR na alijitahidi kufanya mawasiliano lakini hakupewa video za tukio, alichopewa ni maelekezo ya kubaki na msimamo wake.
Kwa ufupi mfumo wa VAR haukutumika na Moja ya Sababu walikua wakitumia camera za Azam tv. Camera za Azam zipo 8, VAR Ina camera zaidi ya 33 basi jamaa waka amua wapuyange.
Maelezo Aya ni Kwa mujibu wa mtaalamu wa Azam pale uwanjani baada ya mchezo.
Kata rufaa CAS . Kama huwezi ,kaa kimya kuliko kutupigia makelele .Mbona kwa morisson mlikata rufaa , hili linawashinda vipi?
 
Minocylin & Gentalmycine hizi ID za MTU mmoja?? Anaejua tafadhali anijuze.
 
Yes...mfumo wa VAR haukutjmika Jana...zipo habari kuwa ulikuwa 'mbovu'...
Hofu yangu ni kuongezeka malalamiko dhidi ya Simba kila inapocheza na timu za nje kwenye Mkapa au happy nyumbani...Kuna Jambo litatokea...let us wait and see...ujanja meingi ukizidi huleta mauti....
huyo kocha lazima apewe azabu kwa kauli kama hii, ukifahamu VAR inavyofanya kazi huwezi kuja na hoja kama hii. ikiwa ON sio tanzania peke yake inakuwa monitored mzee!
 
Tukiwa tunasema kuwa wana Yanga SC mna matatizo ya Kufikiri msiwe mnakataa au mnatuona kuwa tunawadhihaki bali muwe mnakubali na mjitathmini mbadilike upesi.

Nimepitia Kurasa nyingi sana za Mitandao ya Klabu Mbovu na yenye Nuksi duniani ya Yanga SC na hata Kusoma baadhi ya Comments za wana Yanga SC katika Mtandao huu na Kujiridhisha kuwa Jangwani kuna Mazuzu (Majuha) wengi na ndiyo maana hata Msemaji wa Yanga SC Haji Manara aliwahi Kunukuliwa (Ushahidi wa Sauti na Picha upo YouTube) akisema kuwa Yanga SC nzima wenye Akili ni Watu Wawili tu Rais Mstaafu Kikwete na Baba yake Mzazi Mzee Manara ila wengine Wote hawana Akili ( yaani Majuha ) tupu kwa hapa Jamvini wakiongozwa na redio, FRESHMAN, Interlacustrine R na Frank Wanjiru

Kwa Watu makini ( wenye Akili Kubwa ) kama wana Simba SC na Mimi MINOCYCLINE ambao Jana tulianza kufuatilia Matangazo ya Azam Tv kupitia Channel ya ZBC2 mtakubaliana nami kuwa walitolea Ufafanuzi wa Kutosha juu ya Matumizi ya VAR hivyo leo hii nawashangaa Majuha (Mazuzu) wa Jangwani (Yanga SC) wanavyohangaika Kulalamika matumizi ya VAR wakati Kwanza hata Mechi haiwahusu na pia bado wana safari ndefu ya kuyafikia Mafanikio waliyoyafikia Simba SC.

Ni kwamba Jana kupitia ZBC2 kulitolewa Ufafanuzi juu ya VAR ambao ulitoka CAF uliosema kuwa katika Chumba cha Mitambo ya VAR kumeongezwa Mtu mwingine aitwae AVAR ( yaani Assistant Video Assistant Referee ) ambaye ndiyo atakuwa akimpa Maelekezo yote Mwamuzi wa Mchezo pale kukitokea Tukio la Kiufafanuzi.

Maelekezo hayo kuhusu VAR yakaenda mbele zaidi kusema kuwa kukitokea Tukio lolote la Utata Uwanjani kwakuwa tayari yuko AVAR basi Mwamuzi hatokuwa na Ulazima wa kwenda katika Screen ya VAR ili Kujiridhisha Kimaamuzi ( japo hajakatazwa kufanya hivyo ) ila atamsikiliza AVAR ambaye ni Msaidizi wake mkubwa wa Matukio yote ya Kimchezo tena Yeye akiwa na Faida Kubwa kwakuwa anautizama Mpira katika Television ambapo ana Faida Kubwa ya Kuyarejea Matukio kwa haraka kuliko hata Mwamuzi ( Referee ) wa Mchezo aliyeko Uwanjani.

Hata hivyo tukiachana na matumizi ya VAR ukiwa na Akili Timamu na Umeucheza Mpira na pia ni Mfuatiliaji halafu ni Mchambuzi makini wa Mpira ( Soka ) hutobisha kuwa ile ilikuwa ni Clear Penalty isipokuwa kuna Watu Jana walishakariri kuwa Simba SC itafungwa na Orlando Pirates FC wakiamini kuwa Kuwapokea Kwao, kuwasaidia Kwao Kuroga na CEO Wao kuwapa Mbinu zote kuihusu Simba SC zingewasaidia, ila wakasahau kuwa Kwa Mkapa huwa hatoki Mtu na kwamba Uwanja wa Benjamin Mkapa ulijengwa Maalum kwa ajili ya Simba Sports Club tu na siyo kwa Takataka zingine za Jangwani.

Mwisho namalizia na huu Ushauri hasa kwa Majuha ( Mazuzu ) wa Jangwani kuwa jitahidini sana Siku zingine kukiwa na Mechi muwe mnaanza Kufuatilia Matangazo ya Tv ( hasa Uchambuzi ) wake wa mapema ili muwe mnapata Taarifa za Kutosha juu ya Mchezo husika na Maelekezo yake ili msiendelee kuwa Wapuuzi hivyo kama mlivyobarikiwa na kuanza kutupotezea muda kama hivi wa Kuwaelimisheni, Kuwachambulia na Kuwafafanulia Masuala ( Matukio ) ambayo kama nanyi mngekuwa makini ( Werevu ) kama wana Simba SC mngeshayajua ( mngeshajua ) mapema tu.

Asanteni Simba SC kwa Ushindi mzuri.
Dadeeeki umewakomesha manara akisoma hii lazima ajifungie chooni!
 
Mh

IMG-20220418-WA0007.jpg
 
Huyo atasikilizwa na Wapumbavu na Wendawazimu Wenzake kama Wewe na wale Wachunga Ng'ombe wenye Kwashakoo wanaofugwa pale Mafurikoni Jangwani.
Jifunze kujenga Hoja matusi hayana faida katika kuwasilisha Hoja!
 
Jibu lipo hapa kama unajua kiinglish



Unategemea asemeje baada ya kuangukia pua? Mashabiki wa timu yake waliuona mchezo live na hawamtaki téna kocha huyo! Penati ya wazi iliyothibitishwa na VAR bado analalamika!! Mlinzi wa mwisho anachezea faulo ndani ya box unategemea Nini!!
Sawa Yanga wao ndio walishinda kihalali nyumbani na ugenini huko Nigeria, tunawasubiri watuletee kikombe!
 
3Eti kwa Mkapa hatoki mtu umesahau mlivyotobolewa na Kagera sugar mbele ya magu halafu na yanga mbele ya mama. Halafu unabana pua eti hatoki mtu kwa Mkapa. Shem on you
Tunazungumzia mechi za kimataifa wewe unatuletea habari ya mechi za mchangani!! Mlichokifanya Yanga mechi yenu na wale River plates ya Nigeria mnakijua wenyewe!! Mnanajisi uwanja wa Mkapa!! Itabidi muwe mnachezea uwanja wa Azam complex maana si aibu hiyo!!
 
Back
Top Bottom