Ufafanuzi: Kwanini tuliona Lissu anafaa urais 2020 na sasa hafai Uenyekiti?

Ufafanuzi: Kwanini tuliona Lissu anafaa urais 2020 na sasa hafai Uenyekiti?

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,005
Reaction score
20,425
Ipo hoja inaendelezwa kutoka kwenye Makala yangu ya juzi licha ya kuijibu vizuri katika makala ile ya kwanini Tundu Lissu hana sifa ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema taifa,

Wanajenga hoja ya kujirudia Kwamba Lissu chama kilionw anafaa kuwa Rais wa Jamhuri yenye Majeshi JWTZ, Usalama wa Taifa, TRA, TPA n.k ila mimi Yericko naona atapwaya kuwa Mwenyekiti wa chama chenye kanda 10 na majimbo kadhaa?

Wajibu wangu ni kutoa shule ya siasa na utawala bure kabisa, Narudia kuwajibu nikisema,

“Exactly, I can say, the methods za kuongoza chama cha upinzani Afrika ni tofauti kabisa na kugombea Urais kupitia chama cha upinzani Afrika ndio maana chadema imedumu licha ya vyama 28 vilivyosajiliwa kuanzia 1992 vimekufa vyote ikiwemo vyama vya juzi kama ACT kimeshindwa kujiendesha kimeamua kujisalimisha mikononi mwa Dola.

Urais kwa chama cha upinzani Afrika ni unpredictable kuupata ni 50/50 na ni tukio la siku 60 tu baada yapo mnarudi kujenga chama kwaajili ya miaka mitano ijayo, Hivyo uhakika wa uimara wa chama unatakiwa usijaribiwe, Ukuu wa chama ulindwe for Unlimited and Unwaveringly high standards, So we will protect the party with a much higher strength than anything.

Kwamaoni yangu Lissu hana sifa na ubora wa kuongoza chama kulingana na mapungufu yake mengi sana ambapo mengine niliyaeleza katika makala ile, Anayo nafasi ya kukua huko mbele akabadilika na kufaa kukiongoza chama cha siasa kinachokaribia kushika madaraka kama Chadema! Niwape siri, ndiomaana Chama kilikuwa tayari kumpa Lowasa kugombea Urais lakini KAMWE kisingeweza kumpa Lowasa uenyekiti wa Chama abadani…., Now i can tell you, Sir Mbowe will lead this party until CCM comes out of power and then its mission will be completed….

Mwezi August mwaka huu wa 2024 Lissu alitangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Mwezi October mwaka huu 2024 Lissu akatangaza kuwa atagombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Mwezi wa 12 mwaka huuhuu 2024 Lissu katangaza kugombea nafasi na Mwenyekiti wa Chadema na kuondoa nia yake ya kugombea Umakamu Mwenyekiti wa Chadema, yaani hajui hata anataka nini?

Soma Pia: Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

Tumejifunza makosa ya vyama vilivyokuwa na viongozi imara lakini vikaingia kwenye mtengo wa wanaharakati uchwara wakishirikiana na wapambe wa dola walioanzisha nyimbo za kuweka ukomo wa uongozi, Sasa vimekufa, Chama cha Morgan Tvangirai Zimbabwe kimekufa, Chama cha Besyge Uganda kimekufa kwasababu ya ujinga wa mitego kwamba kiongozi huyu kakaa sana aondoke aje mwingine, bila kuangalia uimara wa kiongozi huyo namna anavyopamba na dola!

Dola inatulazimisha tufanye kosa la karne kwa kumuondoa Mbowe ili wao wanywe mvinyo kwa furaha pale Mbweni na Viunga vyake! Hatutafanya kosa hilo, sahauni kabisa!

Kisu hakionjwi kwa ulimi!

AED51119-CFBE-4AA2-BCC1-315ABA3F6D71.jpeg
 
Ipo hoja inaendelezwa kutoka kwenye Makala yangu ya juzi licha ya kuijibu vizuri katika makala ile ya kwanini Tundu Lissu hana sifa ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema taifa,

Wanajenga hoja ya kujirudia Kwamba Lissu chama kilionw anafaa kuwa Rais wa Jamhuri yenye Majeshi JWTZ, Usalama wa Taifa, TRA, TPA n.k ila mimi Yericko naona atapwaya kuwa Mwenyekiti wa chama chenye kanda 10 na majimbo kadhaa?

Wajibu wangu ni kutoa shule ya siasa na utawala bure kabisa, Narudia kuwajibu nikisema,

“Exactly, I can say, the methods za kuongoza chama cha upinzani Afrika ni tofauti kabisa na kugombea Urais kupitia chama cha upinzani Afrika ndio maana chadema imedumu licha ya vyama 28 vilivyosajiliwa kuanzia 1992 vimekufa vyote ikiwemo vyama vya juzi kama ACT kimeshindwa kujiendesha kimeamua kujisalimisha mikononi mwa Dola.

Urais kwa chama cha upinzani Afrika ni unpredictable kuupata ni 50/50 na ni tukio la siku 60 tu baada yapo mnarudi kujenga chama kwaajili ya miaka mitano ijayo, Hivyo uhakika wa uimara wa chama unatakiwa usijaribiwe, Ukuu wa chama ulindwe for Unlimited and Unwaveringly high standards, So we will protect the party with a much higher strength than anything.

Kwamaoni yangu Lissu hana sifa na ubora wa kuongoza chama kulingana na mapungufu yake mengi sana ambapo mengine niliyaeleza katika makala ile, Anayo nafasi ya kukua huko mbele akabadilika na kufaa kukiongoza chama cha siasa kinachokaribia kushika madaraka kama Chadema! Niwape siri, ndiomaana Chama kilikuwa tayari kumpa Lowasa kugombea Urais lakini KAMWE kisingeweza kumpa Lowasa uenyekiti wa Chama abadani…., Now i can tell you, Sir Mbowe will lead this party until CCM comes out of power and then its mission will be completed….

Mwezi August mwaka huu wa 2024 Lissu alitangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Mwezi October mwaka huu 2024 Lissu akatangaza kuwa atagombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Mwezi wa 12 mwaka huuhuu 2024 Lissu katangaza kugombea nafasi na Mwenyekiti wa Chadema na kuondoa nia yake ya kugombea Umakamu Mwenyekiti wa Chadema, yaani hajui hata anataka nini?

Soma Pia: Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

Tumejifunza makosa ya vyama vilivyokuwa na viongozi imara lakini vikaingia kwenye mtengo wa wanaharakati uchwara wakishirikiana na wapambe wa dola walioanzisha nyimbo za kuweka ukomo wa uongozi, Sasa vimekufa, Chama cha Morgan Tvangirai Zimbabwe kimekufa, Chama cha Besyge Uganda kimekufa kwasababu ya ujinga wa mitego kwamba kiongozi huyu kakaa sana aondoke aje mwingine, bila kuangalia uimara wa kiongozi huyo namna anavyopamba na dola!

Dola inatulazimisha tufanye kosa la karne kwa kumuondoa Mbowe ili wao wanywe mvinyo kwa furaha pale Mbweni na Viunga vyake! Hatutafanya kosa hilo, sahauni kabisa!

Kisu hakionjwi kwa ulimi!

View attachment 3178483
Mlichojifunza nyie wana-Chadema kuhusu uongozi wa vyama pinzani Afrika, Tundu Lissu, ambaye pia ni mwana-Chadema, mlimzuia asijifunze?
 
Ipo hoja inaendelezwa kutoka kwenye Makala yangu ya juzi licha ya kuijibu vizuri katika makala ile ya kwanini Tundu Lissu hana sifa ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema taifa,

Wanajenga hoja ya kujirudia Kwamba Lissu chama kilionw anafaa kuwa Rais wa Jamhuri yenye Majeshi JWTZ, Usalama wa Taifa, TRA, TPA n.k ila mimi Yericko naona atapwaya kuwa Mwenyekiti wa chama chenye kanda 10 na majimbo kadhaa?

Wajibu wangu ni kutoa shule ya siasa na utawala bure kabisa, Narudia kuwajibu nikisema,

“Exactly, I can say, the methods za kuongoza chama cha upinzani Afrika ni tofauti kabisa na kugombea Urais kupitia chama cha upinzani Afrika ndio maana chadema imedumu licha ya vyama 28 vilivyosajiliwa kuanzia 1992 vimekufa vyote ikiwemo vyama vya juzi kama ACT kimeshindwa kujiendesha kimeamua kujisalimisha mikononi mwa Dola.

Urais kwa chama cha upinzani Afrika ni unpredictable kuupata ni 50/50 na ni tukio la siku 60 tu baada yapo mnarudi kujenga chama kwaajili ya miaka mitano ijayo, Hivyo uhakika wa uimara wa chama unatakiwa usijaribiwe, Ukuu wa chama ulindwe for Unlimited and Unwaveringly high standards, So we will protect the party with a much higher strength than anything.

Kwamaoni yangu Lissu hana sifa na ubora wa kuongoza chama kulingana na mapungufu yake mengi sana ambapo mengine niliyaeleza katika makala ile, Anayo nafasi ya kukua huko mbele akabadilika na kufaa kukiongoza chama cha siasa kinachokaribia kushika madaraka kama Chadema! Niwape siri, ndiomaana Chama kilikuwa tayari kumpa Lowasa kugombea Urais lakini KAMWE kisingeweza kumpa Lowasa uenyekiti wa Chama abadani…., Now i can tell you, Sir Mbowe will lead this party until CCM comes out of power and then its mission will be completed….

Mwezi August mwaka huu wa 2024 Lissu alitangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Mwezi October mwaka huu 2024 Lissu akatangaza kuwa atagombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Mwezi wa 12 mwaka huuhuu 2024 Lissu katangaza kugombea nafasi na Mwenyekiti wa Chadema na kuondoa nia yake ya kugombea Umakamu Mwenyekiti wa Chadema, yaani hajui hata anataka nini?

Soma Pia: Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

Tumejifunza makosa ya vyama vilivyokuwa na viongozi imara lakini vikaingia kwenye mtengo wa wanaharakati uchwara wakishirikiana na wapambe wa dola walioanzisha nyimbo za kuweka ukomo wa uongozi, Sasa vimekufa, Chama cha Morgan Tvangirai Zimbabwe kimekufa, Chama cha Besyge Uganda kimekufa kwasababu ya ujinga wa mitego kwamba kiongozi huyu kakaa sana aondoke aje mwingine, bila kuangalia uimara wa kiongozi huyo namna anavyopamba na dola!

Dola inatulazimisha tufanye kosa la karne kwa kumuondoa Mbowe ili wao wanywe mvinyo kwa furaha pale Mbweni na Viunga vyake! Hatutafanya kosa hilo, sahauni kabisa!

Kisu hakionjwi kwa ulimi!

View attachment 3178483
Yericko Nyerere busara kubwa ni kukaa kimya kwenye hili. Akina Malisa GJ sio wajinga.
 
Lisu kugombea nafasi yoyote ndani ya chadema ni haki yake, sioni kwanini ionekani hawezi kuwa mwenyekiti wa chadema.

Tatizo langu, sitaki apite bila kupingwa kama wafuasi wake wanavyotaka.

Wanajitahidi kumuhukumu Mbowe, wana muita dhaifu, mara hana ushawishi, lakini hao hao hawataki mtu dhaifu asiye na ushawishi agombee na Lisu shujaa na mwenye ushawishi.

Hoja yangu nataka Mbowe, Lisu, na yeyote mwenye nia ya kuwa mwenyekiti chadema, waingie na WAGOMNEE, kila siku tunapiga kelele hatutaki watu kuenguliwa, na kuwaachia waliodhaifu kupita bila kupingwa, eti leo sisi wale wale anapokuja mgombea wetu, tunamsafishia njia apite bila kupingwa.

Kila mwenye sifa huko chadema awanie, iogombee hiyo ndiyo demokrasia, na haki kwa wanachama.

Kura ziamue mshindi. CHADEMA siyo CCM.
 
Ni kwann mtu akiutaka uenyekiti wa CHADEMA ndio mapungufu yake nayo yanagundulika...kwa mujibu wa chawa wa Mbowe?.
Zitto kadhalika naye ilikuwa hivyo hivyo.
Kwamba wasingeutaka huo uenyekiti wangeendelea kuhesabiwa ni watakatifu eti
Kwa maneno yako pia unajaribu kutuambia bila Mbowe hakuna CHADEMA!.
 
Vita mbinu we umeona Mbowe na Mnyika wame-panic.

Ndio kwanza wanashawishi na wengine wenye nią kwenda kuchukua form.

Sana-sana Mbowe anawaasa wanachama wao kutowashambulia wagombea waliopotoka kama Lissu wanao shambulia wenzao.

Lissu mchanga kwenye siasa
 
Now i can tell you, Sir Mbowe will lead this party until CCM comes out of power and then its mission will be completed….
Kwahiyo ina maana Mbowe ataishi milele? Yaani unaamini hakuna chadema bila Mbowe? Succession plan ikoje? Hivi leo Mbowe akifariki (God forbid) huoni power struggle itakua kubwa sana maana kutakua na vacuum kubwa.
Chama cha Morgan Tvangirai Zimbabwe kimekufa
Hapana, Tsvangirai hakuandaa successor alipofariki kukatokea vita ya madaraka hadi kusababisha Chamisa kuhama na wafuasi wengi na hivyo kuiua MDC-T. Same will happen Mbowe akifariki ghafla. Kuhusu Besigye, nguvu ya Bobi wine ndio ilikiua. Kumbuka Besigye ni jamii moja na Museveni ila Bobi Wine ni mugganda hivyo kura zikapigwa kikabila na ndio unaona Bobi wine akaizoa central yote ambayo zamani ilikua ngome ya Besigye. Nilitegemea unajua siasa za kimataifa kumbe upo shallow kiasi hiki!!
Dola inatulazimisha tufanye kosa la karne kwa kumuondoa Mbowe ili wao wanywe mvinyo kwa furaha pale Mbweni na Viunga vyake! Hatutafanya kosa hilo, sahauni kabisa!
Kwamba dola Inamuogopa Mbowe ambaye yupo moderate? Unachekesha. Kama kuna chochote basi dola itafanya kila kitu kumdhoofisha Lissu ili kiendelee kuiburuza chadema maana wanajua Mbowe ni moderate sio radical kama Lissu ambaye ataleta serious opposition.

Nadhani mkuu ungekaa kimya tu, the more unaropoka unashusha credibility yako. Nilikua nakuheshimu sana ila tokea Lissu achukue fomu nimekushusha sana heshima yako. Acheni demokrasia iamue lissu akifeli si mtamtoa kwa kura 2029 why umuite anatumika na dola kisa kachukua fomu?
 
Mbowe na MAGENGE yake ni wanufaika wa utawala huu wa ccm, chawa wake wamedhihilisha kuwa chadema ni SACCOS na Mbowe ni ALFA NA OMEGA huko.

Watanzania bado tunayo safari ndefu sana ili kupata chama cha demokrasia ya kweli.
 
Vita mbinu we umeona Mbowe na Mnyika wame-panic.

Ndio kwanza wanashawishi na wengine wenye nią kwenda kuchukua form.

Sana Mbowe anawaasa wanachama wao kutowashambulia wagombea waliopotoka kama Lissu wanao shambulia wenzao.

Lissu mchanga kwenye siasa
Hamna chochote, wanajua Lissu ni sharp shooter kama Trump; kwahiyo wakimjibu anaweza weka ushahidi wote mezani wakakimbiana.

Lissu hana unafiki akiona mambo hayaendi sawa ananyoosha ruler sio kama Mnyika ambaye anachukia baadhi ya mambo ila anaogopa kupoteza kiti chake
 
Back
Top Bottom