Ufafanuzi: Kwanini tuliona Lissu anafaa urais 2020 na sasa hafai Uenyekiti?

Ufafanuzi: Kwanini tuliona Lissu anafaa urais 2020 na sasa hafai Uenyekiti?

You can’t compare the two.

Magufuli alikuwa kiongozi na zaidi.

For starters he was a visionary ya Tanzania anayoitaka; kiuchumi na mwenendo wa civil services.

Kwenye uchumi you know uwezi kukopa private banks kama IFM/WB wanaona cash flow yako sio nzuri.

Na miradi aliyoanza Magufuli lengo kubwa ilikuwa ni kufungua access za maeneo ya uzalishaji ambayo aijachangamka. Wakati watu hawana hela ya kununua kilo ya mchele Dar, Ruvuma wakulima mchele ulikuwa unawaozea kwa sababu wafanyabiashara wanataka kununua Morogoro tu.

Sasa you can not do that bila ya infrastructure.

Same haya mabazazi ya civil services, acha tu (ndio wananyofoa kucha wenyewe) utaki kuwaongelea.

Magufuli was special, kazi ya kuwabadili watu tabia sio rahisi (it’s the reason wazungu wanafundisha module ya ‘change management’) people don’t like changes hiko ndio kisiki cha Magufuli. He did not make his work easy maana na yeye nae alikuwa na ushamba wake.

Lakini Lissu hatoshi hata kwenye kiganja cha mkono wa Magufuli. Tanzania ilikuendelea eventually lazima apatikane Magufuli mwengine au civil services ipate katibu mkuu na DGIS imara.

Vinginevyo hadithi.
Mkuu soma andiko lako vizuri umejichanganya sana. Tukubaliane kuwa kila mtu anastahili haki ya kuongoza akiamua.

Tusiongopeane kuwa kuna watu wenye haki hata ya kukaa milele kwenye uongozi kuliko wengine.

Lissu apewe nafasi, apimwe na wapiga kura!!!
 
Mkuu hujatoa hoja za maana kwa nini kusiwe na mabadiliko ya Uongozi ndani ya Chama! Labda unachotaka kutuambia hata kama kuna haja ya kufanya mabadiliko ya Uongozi,Lissu asigombee bafasi ya Uenyekiti.
Sasa nani mwingine anayefaa kujaza nafasi ya Mwenyekiti ndani ya Chama?
MABADILIKO YANAHITAJIKA!
 
Mkuu soma andiko lako vizuri umejichanganya sana. Tukubaliane kuwa kila mtu anastahili haki ya kuongoza akiamua.

Tusiongopeane kuwa kuna watu wenye haki hata ya kukaa milele kwenye uongozi kuliko wengine.

Lissu apewe nafasi, apimwe na wapiga kura!!!
Haki ya kuongoza na sifa ya kuongoza ni vitu viwili.

Kila mwanachama wa CDM ana haki ya kugombea nafasi yoyote ndani ya chama. Lakini si kila mwanachama ana competence skills ya kuongoza kila nafasi.

Lissu hana sifa ya kuwa mwenyekiti wa chama. Hivi ni siri kweli Lissu is too emotional kushika hiyo nafasi.
 
ndiomaana Chama kilikuwa tayari kumpa Lowasa kugombea Urais lakini KAMWE kisingeweza kumpa Lowasa uenyekiti wa Chama abadani…
This is my take home message! Kama kuna mtu hatakuelewa, then huyo ni mpuuzi na ni sawa na Lisu!
Lisu hafai kuwa kiongozi wa chama, anahitaji mtu mmoja kuwa juu yake kumpiga kichwani kuwa huko siko. Sawa na Lyatonga Mrema, alihitaji mtu wa kumpiga stop anapokuwa anakwenda nje ya malengo kwa kutafuta umaarufu.
 
Haki ya kuongoza na sifa ya kuongoza ni vitu viwili.

Kila mwanachama wa CDM ana haki ya kugombea nafasi yoyote ndani ya chama. Lakini si kila mwanachama ana competence skills ya kuongoza kila nafasi.

Lissu hana sifa ya kuwa mwenyekiti wa chama. Hivi ni siri kweli Lissu is too emotional kushika hiyo nafasi.
Mbowe usikubali kumkabidhi Lisu chama! kama mbaya mbaya!
 
Haki ya kuongoza na sifa ya kuongoza ni vitu viwili.

Kila mwanachama wa CDM ana haki ya kugombea nafasi yoyote ndani ya chama. Lakini si kila mwanachama ana competence skills ya kuongoza kila nafasi.

Lissu hana sifa ya kuwa mwenyekiti wa chama. Hivi ni siri kweli Lissu is too emotional kushika hiyo nafasi.
Mkuu ni kweli kila mtu ana tabia yake na mapungufu yake ndio maana nikasema tusimkatae, tuwaachie wapiga kura waamue kwa kura zao.
 
Mkuu ni kweli kila mtu ana tabia yake na mapungufu yake ndio maana nikasema tusimkatae, tuwaachie wapiga kura waamue kwa kura zao.

Kuna maamuzi mengine unajua madhara yake.

CDM inahitaji leadership change ila sio Lissu kwa ustawi wa CDM.

Mengine ni democracy kama wapiga kura wanadhani anafaa, wengi wape.

Personal opinion Lissu hafai kwa hiyo nafasi.
 
Mkuu ni kweli kila mtu ana tabia yake na mapungufu yake ndio maana nikasema tusimkatae, tuwaachie wapiga kura waamue kwa kura zao.
WAPIGA KURA HAPANA, MAJORITY OF THEM COULD BE OF "LOW IQ" particularly in this aspect, I say specifically in this aspect
 
Ni kwann mtu akiutaka uenyekiti wa CHADEMA ndio mapungufu yake nayo yanagundulika...kwa mujibu wa chawa wa Mbowe?.
Zitto kadhalika naye ilikuwa hivyo hivyo.
Kwamba wasingeutaka huo uenyekiti wangeendelea kuhesabiwa ni watakatifu eti
Kwa maneno yako pia unajaribu kutuambia bila Mbowe hakuna CHADEMA!.
Zito si kaanzisha chama chase kiko wapi sasa?
 
WAPIGA KURA HAPANA, MAJORITY OF THEM COULD BE OF "LOW IQ" particularly in this aspect, I say specifically in this aspect
Mkuu huo ndio utaratibu, na ndio demokrasia, hakuna namna nyingine.
 
Kwahiyo Mbowe akifa usiku huu na CHADEMA ndio inakuwa imekufa?!

Chama gani sasa cha hivyo?! Si bora tukalime tu.

Alamsiki.
Akina Mtei na Bob Makani wangewaza hivyo Mbowe asingekuwa mwenyekiti.
Wao walimuandaa Mbowe.

Sasa tunauliza kama kweli Mbowe kiongozi bora kiasi tunacho aminishwa amemuandaa nani kukiendeleza chama akiondoka yeye ghafla?
Kiongozi gani bora anakosa succession plan au contingency plan?
 
Kuna maamuzi mengine unajua madhara yake.

CDM inahitaji leadership change ila sio Lissu kwa ustawi wa CDM.

Mengine ni democracy kama wapiga kura wanadhani anafaa, wengi wape.

Personal opinion Lissu hafai kwa hiyo nafasi.
Mkuu you could be right or wrong respectful ila ni lazima Chadema ijitofautishe na wapinzani wake kwa kusimamia demokrasia na haki ya kila mwanachama kikamilifu.

Huu ni mtego wa kujimaliza, decision ya kumchukua Lowassa ili wa damage sana na hata kuwaondolea audacity ya kukemea ufisadi. Maamuzi yale yanawatafuna mpaka leo.

Mkuu wakijichanganya sasa hivi, it will be history!! The only way to bounce back strong ni kusimamia demokrasia na haki to the letter.

Mtu akishindwa asipate kisingizio.
 
WAPIGA KURA HAPANA, MAJORITY OF THEM COULD BE OF "LOW IQ" particularly in this aspect, I say specifically in this aspect
Kwa hivyo watu wenye dhamana wasiruhusu tupate raisi wa nchi kwa kupitia wapiga kura sababu majority could be of low IQ?
Tunawalaumu nini CCM na 'TIISIII' wanapo hakikisha raisi anakuwa alieteuliwa na elites wachache kati ya deep state?
Utter nonsense!
 
Mkuu you could be right or wrong respectful ika ni lazima Chadema ijitofautishe na wapinzani wake kwa kusimamia demokrasia na haki ya kila mwanachama kikamilifu.

Huu ni mtego wa kujimaliza, Decision ya kumchukua Lowassa ili wa damage sana na kuwaondolea audacity ya kukemea ufisadi. Maamuzi yale yanawatafuna mpaka leo.

Mkuu wakijichanganya sasa hivi, it will be history!! The only way to bounce back strong ni kusimamia demokrasia na haki to the letter.

Mtu akishindwa asipate kisingizio.
Kama umemsikiliza Mbowe na Mnyika wana-promote democracy.

Baada ya press ya Lissu mwenyekiti na katibu mkuu wote wamekemea wanachama wao kuwashambulia watu wenye mitazamo tofauti.

Kwenye press ya Lissu pia nili sikiliza wanachama kabla ya press kuanza waliokuwa wanahojiwa na Star TV.

Japo wengi kwenye press walikuwa wanamuunga mkono Lissu Iła wanatambua taratibu za uchaguzi lazima ziwe na upande. Pamoja na hayo wengi wanatambua mshindi akipatikana wanajukumu la kuheshimu maamuzi na kumuunga mkono mshindi.

Kwa hivyo swala la ushindani wa CDM ni lao wenyewe.

Nani atatoka kidedea ni mbinu zao wagombea kusaka kura.

Mengine ni opinion tu, and mine Lissu bado kwa nafasi ya uenyekiti. Kushinda au kushindwa sina influence hiyo.
 
Kuna maamuzi mengine unajua madhara yake.

CDM inahitaji leadership change ila sio Lissu kwa ustawi wa CDM.

Mengine ni democracy kama wapiga kura wanadhani anafaa, wengi wape.

Personal opinion Lissu hafai kwa hiyo nafasi.
Kama Magufuli aliweza kuwa mwenyekiti wa ccm na uwezo mdogo vile wa kiutawala, Lisu anashindwaje?
 
Back
Top Bottom