Ufafanuzi: Kwanini tuliona Lissu anafaa urais 2020 na sasa hafai Uenyekiti?

Ufafanuzi: Kwanini tuliona Lissu anafaa urais 2020 na sasa hafai Uenyekiti?

Ipo hoja inaendelezwa kutoka kwenye Makala yangu ya juzi licha ya kuijibu vizuri katika makala ile ya kwanini Tundu Lissu hana sifa ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema taifa,

Wanajenga hoja ya kujirudia Kwamba Lissu chama kilionw anafaa kuwa Rais wa Jamhuri yenye Majeshi JWTZ, Usalama wa Taifa, TRA, TPA n.k ila mimi Yericko naona atapwaya kuwa Mwenyekiti wa chama chenye kanda 10 na majimbo kadhaa?

Wajibu wangu ni kutoa shule ya siasa na utawala bure kabisa, Narudia kuwajibu nikisema,

“Exactly, I can say, the methods za kuongoza chama cha upinzani Afrika ni tofauti kabisa na kugombea Urais kupitia chama cha upinzani Afrika ndio maana chadema imedumu licha ya vyama 28 vilivyosajiliwa kuanzia 1992 vimekufa vyote ikiwemo vyama vya juzi kama ACT kimeshindwa kujiendesha kimeamua kujisalimisha mikononi mwa Dola.

Urais kwa chama cha upinzani Afrika ni unpredictable kuupata ni 50/50 na ni tukio la siku 60 tu baada yapo mnarudi kujenga chama kwaajili ya miaka mitano ijayo, Hivyo uhakika wa uimara wa chama unatakiwa usijaribiwe, Ukuu wa chama ulindwe for Unlimited and Unwaveringly high standards, So we will protect the party with a much higher strength than anything.

Kwamaoni yangu Lissu hana sifa na ubora wa kuongoza chama kulingana na mapungufu yake mengi sana ambapo mengine niliyaeleza katika makala ile, Anayo nafasi ya kukua huko mbele akabadilika na kufaa kukiongoza chama cha siasa kinachokaribia kushika madaraka kama Chadema! Niwape siri, ndiomaana Chama kilikuwa tayari kumpa Lowasa kugombea Urais lakini KAMWE kisingeweza kumpa Lowasa uenyekiti wa Chama abadani…., Now i can tell you, Sir Mbowe will lead this party until CCM comes out of power and then its mission will be completed….

Mwezi August mwaka huu wa 2024 Lissu alitangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Mwezi October mwaka huu 2024 Lissu akatangaza kuwa atagombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Mwezi wa 12 mwaka huuhuu 2024 Lissu katangaza kugombea nafasi na Mwenyekiti wa Chadema na kuondoa nia yake ya kugombea Umakamu Mwenyekiti wa Chadema, yaani hajui hata anataka nini?

Soma Pia: Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

Tumejifunza makosa ya vyama vilivyokuwa na viongozi imara lakini vikaingia kwenye mtengo wa wanaharakati uchwara wakishirikiana na wapambe wa dola walioanzisha nyimbo za kuweka ukomo wa uongozi, Sasa vimekufa, Chama cha Morgan Tvangirai Zimbabwe kimekufa, Chama cha Besyge Uganda kimekufa kwasababu ya ujinga wa mitego kwamba kiongozi huyu kakaa sana aondoke aje mwingine, bila kuangalia uimara wa kiongozi huyo namna anavyopamba na dola!

Dola inatulazimisha tufanye kosa la karne kwa kumuondoa Mbowe ili wao wanywe mvinyo kwa furaha pale Mbweni na Viunga vyake! Hatutafanya kosa hilo, sahauni kabisa!

Kisu hakionjwi kwa ulimi!

View attachment 3178483
Muache Mbwembwe na uchwa wa kujitekenya na kujicheka.

Mbowe Hana strategies zozote zile za kuitikisa CCM Wala kuipa Upinzani wowote Kwa sababu Mbowe ana

Knowledge iliyo limited.

Mbowe Sio Innovative.

Ana koswa sifa ya MVUTO Kwa Wengi .

Na zaidi Mbowe sio Strategist, Kwa miaka 20 madarakan, Ukitembelea Ofisi za chama Wilaya au Kata utachekaaaaa !!.


SIASA zinahitaji watu machachari, werevu, wenye mipango ya kisayansi, majasiri, wenye Amsha amsha, akiongea sauti Ina Mamlaka ,akisema na iwe hivi kweli iwe.

Mmeona wenyewe, Ni mpaka yalipoanza ,ndipo mkaona Muingie kwenye Maneno ya LISSU japo Kwa kuyabeba na kuyafanya ni yenu, ila Kwa Visionary kama LISSU aliona na akasema LAAAAAAAHH ,huo ni mtegooooo!!.



Hoja ya miaka 28 ya CDM, ni ya kijinga sana , Kwan CUF ,TLP,NCCR zinamiaka mingapi? Zipo au hazipo???

Unahisi Mbowe ndio kaifanya CDM ikae miaka 28?? Ni shamra shamra za Akina Chacha Wangwe, LISSU, Dr Silaa, Zitto, Hawa ndio wameitia pumzi CDM Kwa Ground .
 
Bora huyu anaandika. Nilimsikia Boni Yai akizungumza hadi nikastaajabu nikasema huyu kumbe nae ana mawazo kama hay ya ajabu kiasi hiki kama wakina Lucas.
 
Uongozi sio katiba bali ni dira ya kiongozi.

Dira ya kiongozi ni ilani ya chama chake kwenye uchaguzi.

Tunaposema asilimia kubwa ya wachangiaji wa jukwaa la siasa hata siasa zenyewe hawazijui we mean.

Katiba ndio dira ya nchi; hata unaweza sema ni vipi Magufuli alivunja katiba zaidi ya hadithi.

Embu sema lini Magufuli hakuheshimu katiba zaidi ya hadithu tu (huna huo uthibitisho).
Kwa kuanzia tu manaa uliingia upofu wa mahaba kwenye utawala wake. Jeshi limetengwa rasmi kikatiba na masuala ya siasa. Lakini Magufuli aliweza kupokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi huko Arusha. Jambo hili alilifanya mchana kweupe bila kujali katiba inasema nini, huku CDF akitabasamu! Na unajua kwanini alifanya vile? Huu utakuwa mjadala mwingine.

Unaposema uongozi si katiba, bali uongozi ni nini? Yeye alipata madaraka ya urais kupitia njia ipi nje ya katiba? Hapo ndio ninapoona kwanini unatumia maneno ya kiingereza kujionyesha ni msomi na mwenye akili, na yoyote asiyefanya hivyo ama kumsifia Magufuli basi huyo hana akili, ama hajui siasa! Sasa sijui nani kakuteua ww kuwa ndio mjuzi sana wa mambo na hasa siasa. Ww ni mjivuni mwenye uwezo wa kawaida kabisa, huenda kuna wanaokuona ni bora sana, lakini kwa bahati mbaya hapa ww ni wa kawaida mno.
 
Ipo hoja inaendelezwa kutoka kwenye Makala yangu ya juzi licha ya kuijibu vizuri katika makala ile ya kwanini Tundu Lissu hana sifa ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema taifa,

Wanajenga hoja ya kujirudia Kwamba Lissu chama kilionw anafaa kuwa Rais wa Jamhuri yenye Majeshi JWTZ, Usalama wa Taifa, TRA, TPA n.k ila mimi Yericko naona atapwaya kuwa Mwenyekiti wa chama chenye kanda 10 na majimbo kadhaa?

Wajibu wangu ni kutoa shule ya siasa na utawala bure kabisa, Narudia kuwajibu nikisema,

“Exactly, I can say, the methods za kuongoza chama cha upinzani Afrika ni tofauti kabisa na kugombea Urais kupitia chama cha upinzani Afrika ndio maana chadema imedumu licha ya vyama 28 vilivyosajiliwa kuanzia 1992 vimekufa vyote ikiwemo vyama vya juzi kama ACT kimeshindwa kujiendesha kimeamua kujisalimisha mikononi mwa Dola.

Urais kwa chama cha upinzani Afrika ni unpredictable kuupata ni 50/50 na ni tukio la siku 60 tu baada yapo mnarudi kujenga chama kwaajili ya miaka mitano ijayo, Hivyo uhakika wa uimara wa chama unatakiwa usijaribiwe, Ukuu wa chama ulindwe for Unlimited and Unwaveringly high standards, So we will protect the party with a much higher strength than anything.

Kwamaoni yangu Lissu hana sifa na ubora wa kuongoza chama kulingana na mapungufu yake mengi sana ambapo mengine niliyaeleza katika makala ile, Anayo nafasi ya kukua huko mbele akabadilika na kufaa kukiongoza chama cha siasa kinachokaribia kushika madaraka kama Chadema! Niwape siri, ndiomaana Chama kilikuwa tayari kumpa Lowasa kugombea Urais lakini KAMWE kisingeweza kumpa Lowasa uenyekiti wa Chama abadani…., Now i can tell you, Sir Mbowe will lead this party until CCM comes out of power and then its mission will be completed….

Mwezi August mwaka huu wa 2024 Lissu alitangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Mwezi October mwaka huu 2024 Lissu akatangaza kuwa atagombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Mwezi wa 12 mwaka huuhuu 2024 Lissu katangaza kugombea nafasi na Mwenyekiti wa Chadema na kuondoa nia yake ya kugombea Umakamu Mwenyekiti wa Chadema, yaani hajui hata anataka nini?

Soma Pia: Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

Tumejifunza makosa ya vyama vilivyokuwa na viongozi imara lakini vikaingia kwenye mtengo wa wanaharakati uchwara wakishirikiana na wapambe wa dola walioanzisha nyimbo za kuweka ukomo wa uongozi, Sasa vimekufa, Chama cha Morgan Tvangirai Zimbabwe kimekufa, Chama cha Besyge Uganda kimekufa kwasababu ya ujinga wa mitego kwamba kiongozi huyu kakaa sana aondoke aje mwingine, bila kuangalia uimara wa kiongozi huyo namna anavyopamba na dola!

Dola inatulazimisha tufanye kosa la karne kwa kumuondoa Mbowe ili wao wanywe mvinyo kwa furaha pale Mbweni na Viunga vyake! Hatutafanya kosa hilo, sahauni kabisa!

Kisu hakionjwi kwa ulimi!

View attachment 3178483
Wewe na huyo ndg yako wote majizi na wapumbafu wa karne
 
Kwa kuanzia tu manaa uliingia upofu wa mahaba kwenye utawala wake. Jeshi limetengwa rasmi kikatiba na masuala ya siasa. Lakini Magufuli aliweza kupokea wanaccm kwenye kamisheni ya jeshi huko Arusha. Jambo hili alilifanya mchana kweupe bila kujali katiba inasema nini, huku CDF akitabasamu! Na unajua kwanini alifanya vile? Huu utakuwa mjadala mwingine.

Unaposema uongozi si katiba, bali uongozi ni nini? Yeye alipata madaraka ya urais kupitia njia ipi nje ya katiba? Hapo ndio ninapoona kwanini unatumia maneno ya kiingereza kujionyesha ni msomi na mwenye akili, na yoyote asiyefanya hivyo ama kumsifia Magufuli basi huyo hana akili, ama hajui siasa! Sasa sijui nani kakuteua ww kuwa ndio mjuzi sana wa mambo na hasa siasa. Ww ni mjivuni mwenye uwezo wa kawaida kabisa, huenda kuna wanaokuona ni bora sana, lakini kwa bahati mbaya hapa ww ni wa kawaida mno.
Huna hoja zaidi ya kuandika vitu kutoka kichwani kwako tu.

Raisi wa Tanzania ni amiri jeshi mkuu pia. Ndio mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama Tanzania sijui unaongea vitu gani.

Shida yenu hamjui mamlaka ya raisi kikatiba, uhuru wa mandate yake ya kuongoza nchi na usimamizi wake wa civil servants.

90% ya wachangiaji wa jukwaa la siasa hamjui siasa na wala hamjawi kusoma ata kitabu cha O’level cha siasa.

Ni kubwabwaja tu humu.

Kwetu kumekucha

👋
 
This is my take home message! Kama kuna mtu hatakuelewa, then huyo ni mpuuzi na ni sawa na Lisu!
Lisu hafai kuwa kiongozi wa chama, anahitaji mtu mmoja kuwa juu yake kumpiga kichwani kuwa huko siko. Sawa na Lyatonga Mrema, alihitaji mtu wa kumpiga stop anapokuwa anakwenda nje ya malengo kwa kutafuta umaarufu.
Mbowe kafanya nini special hadi umhofie Lissu, tuna mbunge mmoja tu and the same will happen next year kama tutaendelea kuwachekea CCM. Sasa kama hatuna chochote Lissu cannot be worse than Mbowe!! Unadhani mathalani Lissu asipogombea huyo Mbowe anaweza leta kura gani za majimboni na urais mwakani?

Ni ajabu sana tunakumbatia mediocrity,
 
Huna hoja zaidi ya kuandika vitu kutoka kichwani kwako tu.

Raisi wa Tanzania ni amiri jeshi mkuu pia. Ndio mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama Tanzania sijui unaongea vitu gani.

Shida yenu hamjui mamlaka ya raisi kikatiba, uhuru wa mandate yake ya kuongoza nchi na usimamizi wake wa civil servants.

90% ya wachangiaji wa jukwaa la siasa hamjui siasa na wala hamjawi kusoma ata kitabu cha O’level cha siasa.

Ni kubwabwaja tu humu.

Kwetu kumekucha

👋
Nimecheka kwa nguvu vibaya. Kwamba rais ni amiri jeshi mkuu, hivyo anaweza kufanya shughuli za kisiasa kwenye jeshi? Hivi unaongea utoto gani boss?
 
Nimecheka kwa nguvu vibaya. Kwamba rais ni amiri jeshi mkuu, hivyo anaweza kufanya shughuli za kisiasa kwenye jeshi? Hivi unaongea utoto gani boss?
Uongo usio na kichwa wala miguu.

Nitathibitisha baadae
 
Kwenye uchumi you know uwezi kukopa private banks kama IFM/WB wanaona cash flow yako sio nzuri.
Mama Samia kakopa zaidi ya JPM kumbe Samia uchumi wake ni bora kuliko wa enzi za JPM?
Lakini Lissu hatoshi hata kwenye kiganja cha mkono wa Magufuli.
Vipi ulimpa nafasi akashindwa? Au ndio speculation tu?. Yaani opposition leader ana access ya Hazina ili naye ajenge SGR??
Magufuli alikuwa kiongozi na zaidi.
Hakua kiongozi tuache kudanganyana. Angekua kiongoz ange focus kujenga nchi sio kuua upinzani. Mfano aliondoa pesa yote private sector, alipandisha reserve ratio requirement ya commercial banks, tender za ujenzi huko akawapa TBA, akaiua fast jet ili kuipa nguvu ATCL yote ili pesa ibaki serikalini. Na najua unafahamu currency in circulation pamoja na Broad money (M3) zilipungua sana enzi za JPM. Sasa ambao hawajaenda shule walikua wanashabikia kwamba "ananyoosha mafisadi", "tunaheshimiana", na "hakuna pesa ya bure" bila kujua private sector ndio muajiri mkubwa zaidi Tanzania.

Kwa hili tu itoshe kuonyesha JPM hakua kiongoz mzuri bali alikua mtendaji yaani ukimpa kazi na maelekezo anaweza ifanya kikamilifu ila matamshi, haiba, maamuzi ya kukurupuka n.k hayakuonyesha uongozi
 
Ipo hoja inaendelezwa kutoka kwenye Makala yangu ya juzi licha ya kuijibu vizuri katika makala ile ya kwanini Tundu Lissu hana sifa ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema taifa,

Wanajenga hoja ya kujirudia Kwamba Lissu chama kilionw anafaa kuwa Rais wa Jamhuri yenye Majeshi JWTZ, Usalama wa Taifa, TRA, TPA n.k ila mimi Yericko naona atapwaya kuwa Mwenyekiti wa chama chenye kanda 10 na majimbo kadhaa?

Wajibu wangu ni kutoa shule ya siasa na utawala bure kabisa, Narudia kuwajibu nikisema,

“Exactly, I can say, the methods za kuongoza chama cha upinzani Afrika ni tofauti kabisa na kugombea Urais kupitia chama cha upinzani Afrika ndio maana chadema imedumu licha ya vyama 28 vilivyosajiliwa kuanzia 1992 vimekufa vyote ikiwemo vyama vya juzi kama ACT kimeshindwa kujiendesha kimeamua kujisalimisha mikononi mwa Dola.

Urais kwa chama cha upinzani Afrika ni unpredictable kuupata ni 50/50 na ni tukio la siku 60 tu baada yapo mnarudi kujenga chama kwaajili ya miaka mitano ijayo, Hivyo uhakika wa uimara wa chama unatakiwa usijaribiwe, Ukuu wa chama ulindwe for Unlimited and Unwaveringly high standards, So we will protect the party with a much higher strength than anything.

Kwamaoni yangu Lissu hana sifa na ubora wa kuongoza chama kulingana na mapungufu yake mengi sana ambapo mengine niliyaeleza katika makala ile, Anayo nafasi ya kukua huko mbele akabadilika na kufaa kukiongoza chama cha siasa kinachokaribia kushika madaraka kama Chadema! Niwape siri, ndiomaana Chama kilikuwa tayari kumpa Lowasa kugombea Urais lakini KAMWE kisingeweza kumpa Lowasa uenyekiti wa Chama abadani…., Now i can tell you, Sir Mbowe will lead this party until CCM comes out of power and then its mission will be completed….

Mwezi August mwaka huu wa 2024 Lissu alitangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Mwezi October mwaka huu 2024 Lissu akatangaza kuwa atagombea Urais kwa tiketi ya Chadema, Mwezi wa 12 mwaka huuhuu 2024 Lissu katangaza kugombea nafasi na Mwenyekiti wa Chadema na kuondoa nia yake ya kugombea Umakamu Mwenyekiti wa Chadema, yaani hajui hata anataka nini?

Soma Pia: Tundu Lissu: Nimewasilisha kusudio la kugombea nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA

Tumejifunza makosa ya vyama vilivyokuwa na viongozi imara lakini vikaingia kwenye mtengo wa wanaharakati uchwara wakishirikiana na wapambe wa dola walioanzisha nyimbo za kuweka ukomo wa uongozi, Sasa vimekufa, Chama cha Morgan Tvangirai Zimbabwe kimekufa, Chama cha Besyge Uganda kimekufa kwasababu ya ujinga wa mitego kwamba kiongozi huyu kakaa sana aondoke aje mwingine, bila kuangalia uimara wa kiongozi huyo namna anavyopamba na dola!

Dola inatulazimisha tufanye kosa la karne kwa kumuondoa Mbowe ili wao wanywe mvinyo kwa furaha pale Mbweni na Viunga vyake! Hatutafanya kosa hilo, sahauni kabisa!

Kisu hakionjwi kwa ulimi!

View attachment 3178483
Umejibu hoja vizuri sana hata Mimi naungana na wewe kwenye hili Lissu sio mwajibikaji, unapokuwa kiongozi pia unahitajika uwe na hekima na busara katika kuunganisha watu hili pia Lissu Hana watakupinga lakini the end muda utaongea
 
Kwahiyo ina maana Mbowe ataishi milele? Yaani unaamini hakuna chadema bila Mbowe? Succession plan ikoje? Hivi leo Mbowe akifariki (God forbid) huoni power struggle itakua kubwa sana maana kutakua na vacuum kubwa.

Hapana, Tsvangirai hakuandaa successor alipofariki kukatokea vita ya madaraka hadi kusababisha Chamisa kuhama na wafuasi wengi na hivyo kuiua MDC-T. Same will happen Mbowe akifariki ghafla. Kuhusu Besigye, nguvu ya Bobi wine ndio ilikiua. Kumbuka Besigye ni jamii moja na Museveni ila Bobi Wine ni mugganda hivyo kura zikapigwa kikabila na ndio unaona Bobi wine akaizoa central yote ambayo zamani ilikua ngome ya Besigye. Nilitegemea unajua siasa za kimataifa kumbe upo shallow kiasi hiki!!

Kwamba dola Inamuogopa Mbowe ambaye yupo moderate? Unachekesha. Kama kuna chochote basi dola itafanya kila kitu kumdhoofisha Lissu ili kiendelee kuiburuza chadema maana wanajua Mbowe ni moderate sio radical kama Lissu ambaye ataleta serious opposition.

Nadhani mkuu ungekaa kimya tu, the more unaropoka unashusha credibility yako. Nilikua nakuheshimu sana ila tokea Lissu achukue fomu nimekushusha sana heshima yako. Acheni demokrasia iamue lissu akifeli si mtamtoa kwa kura 2029 why umuite anatumika na dola kisa kachukua fomu?
Umeongea fact aisee kumbe hii ina watu wako vizuri upstairs hivi? Hongera mkuu
 
Mbowe kafanya nini special hadi umhofie Lissu, tuna mbunge mmoja tu and the same will happen next year kama tutaendelea kuwachekea CCM. Sasa kama hatuna chochote Lissu cannot be worse than Mbowe!! Unadhani mathalani Lissu asipogombea huyo Mbowe anaweza leta kura gani za majimboni na urais mwakani?

Ni ajabu sana tunakumbatia mediocrity,
Lisu anafaa, lakini ana mapungufu ya kuropka na kutokuona lini pa kuleta mgawanyiko na lini pa kutulia! Mna maadui wengi akina TISS, POLICE CCM na JW (ingawa hawa sia sana), sasa unaleta kitu kikubwa ambacho kitaleta mgawanyiko at the advantage of CCM...una akili kweli?
 
Wacha usitubebe ufala wewe, in Kenyan's voice😀😀. Kama ayatollah Bado hajatangaza Nia lakini uko busy kuchafua wengine. Unatuonaje watz Kwa mfano?
Sijaelewa hata ulichoandika ni kitu gani.
 
Madaraka Nyerere amepiga marufuku watu wasio na ukoo wa Nyerere kutumia Jina la Nyerere...

Jina la Nyerere lina wamiliki wake tayari....
kwahiyo wewe kujiita Yericko Nyerere unawakwaza watu.. Tafuta username nyingine.
 
Lisu kugombea nafasi yoyote ndani ya chadema ni haki yake, sioni kwanini ionekani hawezi kuwa mwenyekiti wa chadema.

Tatizo langu, sitaki apite bila kupingwa kama wafuasi wake wanavyotaka.

Wanajitahidi kumuhukumu Mbowe, wana muita dhaifu, mara hana ushawishi, lakini hao hao hawataki mtu dhaifu asiye na ushawishi agombee na Lisu shujaa na mwenye ushawishi.

Hoja yangu nataka Mbowe, Lisu, na yeyote mwenye nia ya kuwa mwenyekiti chadema, waingie na WAGOMNEE, kila siku tunapiga kelele hatutaki watu kuenguliwa, na kuwaachia waliodhaifu kupita bila kupingwa, eti leo sisi wale wale anapokuja mgombea wetu, tunamsafishia njia apite bila kupingwa.

Kila mwenye sifa huko chadema awanie, iogombee hiyo ndiyo demokrasia, na haki kwa wanachama.

Kura ziamue mshindi. CHADEMA siyo CCM.
Wafuasi wa lisu ndo wanataka hivyo
 
CHADEMA ni urithi wa familia ya Mbowe, na akitoka yeye atakuja mtoto wake ...
 
Nisome kwakuwa anaendana na utashi wako?
MIMI NI MPENZI WA LISU, TENA SANA. LAKINI KITENDO CHA KULETA ISSUE AMBAYO ANAJUA FIKA ITALETA MGAWANYIKO.....
I HAVE TO BE CAUTIOUS WITH HIS DEALINGS! SAS HIVI CHADEMA, MY FAVORITE PARTY IS IN A BLINK OF DISINTERGRATION.......
 
Unaweza tofautisha uongozi na utendaji?

Kipimo cha uongozi ni utendaji.

Nyongeza nafasi ya raisi sio ya utendaji, ni decision making.

Ukiona vision zake zinaenda ina maana ana mechanism nzuri za strategic planning and supervision.

Unadhani mafanikio utokea tu kwa Kudra za mungu.

Hata hujui unachoandika, umesharudi kwenye akili zako hovyo za kila siku
Shida na huyo anaendeshwa na chuki binafsi kwa Magufuli ndio maana anapwaya kwenye hoja
 
Nadhani Bwana Yerico akiangalia idadi ya watu waliosapoti hoja yake na wale waliopinga hoja yake anaweza kuchukua kamba na kujining'iniza kabisa. Idadi kubwa ya wanachama wanamtaka TL na si vinginevyo
Mama Samia kakopa zaidi ya JPM kumbe Samia uchumi wake ni bora kuliko wa enzi za JPM?

Vipi ulimpa nafasi akashindwa? Au ndio speculation tu?. Yaani opposition leader ana access ya Hazina ili naye ajenge SGR??
Hakua kiongozi tuache kudanganyana. Angekua kiongoz ange focus kujenga nchi sio kuua upinzani. Mfano aliondoa pesa yote private sector, alipandisha reserve ratio requirement ya commercial banks, tender za ujenzi huko akawapa TBA, akaiua fast jet ili kuipa nguvu ATCL yote ili pesa ibaki serikalini. Na najua unafahamu currency in circulation pamoja na Broad money (M3) zilipungua sana enzi za JPM. Sasa ambao hawajaenda shule walikua wanashabikia kwamba "ananyoosha mafisadi", "tunaheshimiana", na "hakuna pesa ya bure" bila kujua private sector ndio muajiri mkubwa zaidi Tanzania.

Kwa hili tu itoshe kuonyesha JPM hakua kiongoz mzuri bali alikua mtendaji yaani ukimpa kazi na maelekezo anaweza ifanya kikamilifu ila matamshi, haiba, maamuzi ya kukurupuka n.k hayakuonyesha uongozi
 
Back
Top Bottom