Ufafanuzi mbovu wa Profesa Manyele, NEMC mko wapi? Waziri Jaffo huitendei haki wizara, JIUZULU

Ufafanuzi mbovu wa Profesa Manyele, NEMC mko wapi? Waziri Jaffo huitendei haki wizara, JIUZULU

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely)

Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii.

Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!!

Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC?

Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira!

Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
 
Tatizo siasa zinaingilia Kazi za kitaaluma kulikuwa na huja gan wazir kuunda timu, wakati nemc ipo na inawataalamu wa kutosha. LKn kisiasa akaona akae front pagë za Magazeti kwa kuunda kamati
 
Majibu yote, la kwanza na la ufafanuzi ni ya kijinga sana.

Eneo lote linalozunguka ziwa Victoria ni wafugaji, na mito karibu yote inayoingiza maji kwenye hilo ziwa inatokea kwenye maeneo ya wafugaji, ingekuwa ni rahisi hivyo mbona samaki wote ziwani wangeshakufa zamani!

Hivi kuna mvua kubwa imenyesha kupita wakati ule wa El Nino? Wakati huo ndiyo ardhi tepetepe kupita kiasi, mbona hayo maozea ya mimea na wanyama hayakuleta madhara?

Tanzania kwa kweli tunaenda kimungu na mungu, kama wasomi wetu wenyewe ndiyo hawa.
 
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely). Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii. Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!! Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC? Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira! Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
NEMC wapo na Mkurugenzi Mkuu NEMC yupo na ndiye aliyekuwa Katibu wa Tume iliyogundua kuwa mavi na mikojo ya ng'ombe ndio chanzo kikuu cha tatizo husika.
 
Pascal Mayalla wana lumumba ndio wametufikisha hapa na maprofesa mlio nao...
Usitusingizie Lumumba as if hii ni issue ya Chama. This is an isolated individual case na mimi nilishauri, Professor achunguzwe tangu alipotoa ripoti ya mwanzo.

P
 
Jiuzuru = Jiuzulu

Jaffo toka ameteuliwa hajafanya la maana wizara hiyo kwani uharibifu wa mazingira umeshamiri kwenye mito Dar kwa watu kulima kwenye kingo za mito na madaraja hali itakayopelekea serikali kutumia fedha nyingi za matengenezo hapo baadae.
 
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely). Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii. Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!! Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC? Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira! Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
Jiulize kwanza uyu waziri wa mazingira ana elimu ya field ipi mpk akachaguliwa waziri wa mazingira. Utagundua alipewa wadhifa huo kwasababu tu ya uzoefu wake kwny kuendesha mambo ya kiserikali na siasa ila sio kwa taaluma yake. Jafo ni mtaalamu mzuri wa masuala ya uchumi wa maendeleo, kumbuka uchumi na mazingira ni vitu ambavyo haviezi kukua kwa pamoja.
 
Nakumbuka mwaka 1990 ilipiga mvua ya kufa mtu maji pale mto Mara yalijaa, nikiwa natokea migori kuja Mwanza na nilipofika pale kwenye daraja la vyuma jirani na Magu tukakaa siku kadhaa kusubili daraja lipangwe upya, sehemu zote hizo sikuona takataka za mimea na kinyesi cha mifugo ikielea kuelekea ziwani.

Na kipindi hicho wasukuma, wakulya walikuwa wanashindana kufuga, unakuta mtu ana utitiri wa mifugo as 700+ siyo sasa mnawaambia wafuge kisasa ng'ombe wawili tena chumbani, alafu mnaleta taarifa za aina hii kweli!.
 
Huyo prof. Kaaibisha taaluma yake. Chuo anachofundisha na Taifa zima kwa ujumla.

Tunaonekana wajinga tu.
 
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely). Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii. Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!! Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC? Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira! Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
Huyo Profesa Mnyele ana exposure ya chekechea , na waziri ana mbeba.
Harufu ya upangaji matokeo, mpunga umetembea hapo.
 
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely). Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii. Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!! Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC? Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira! Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
Hatuna utamaduni mkuu!!
 
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely)

Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii.

Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!!

Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC?

Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira!

Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
Enzi za magu isingekuwepo report moja kama ya huyo profesa. Lakini mama ndio hivyo tena anataka tuaminishwe hizo sababu kweli? Ingekuwa hivyo ina maana mto ungekuwa unachafuka kila mwaka.
 
Back
Top Bottom