Ufafanuzi mbovu wa Profesa Manyele, NEMC mko wapi? Waziri Jaffo huitendei haki wizara, JIUZULU

Ufafanuzi mbovu wa Profesa Manyele, NEMC mko wapi? Waziri Jaffo huitendei haki wizara, JIUZULU

Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely)

Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii.

Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!!

Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC?

Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira!

Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
Jaffo ni corrupt sana tangu alipokuwa TAMISEMI,ni mwizi sana
 
Nakumbuka mwaka 1990 ilipiga mvua ya kufa mtu maji pale mto Mara yalijaa, nikiwa natokea migori kuja Mwanza na nilipofika pale kwenye daraja la vyuma jirani na Magu tukakaa siku kadhaa kusubili daraja lipangwe upya, sehemu zote hizo sikuona takataka za mimea na kinyesi cha mifugo ikielea kuelekea ziwani.

Na kipindi hicho wasukuma, wakulya walikuwa wanashindana kufuga, unakuta mtu ana utitiri wa mifugo as 700+ siyo sasa mnawaambia wafuge kisasa ng'ombe wawili tena chumbani, alafu mnaleta taarifa za aina hii kweli!.
Niliposikia mtu anayeitwa profesa anatoa mifano ya Lake Kivu, kule kwenye volcano, nikajua ni tapeli in action! Sasa aibu tuliyonayo ni ndani yake kuwa na mkurugenzi wa NEMC ambaye ana wataalamu lakini anashindwa kutunga uongo unaoendana na ukweli. Tunaambiwa matope mengi sana! Yamesimama njiani, samaki wakakosa hewa, au sijui walijigonga?

Baada ya tukio la kwanza nilitegemea profesa huyu agome kutumwa tena kusema uongo wa hadithi mbovu kama hii kwa waandishi habari, lakini jamaa akaona sasa ana hadithi nzuri inayokubalika.
 
Bongo ukiweza kuzoataka na kufagia wewe n afisa mazingira Msaidiz

Ukijua lugha na vifaa vya maabara ya mazingira wewe n injinia wa mazingira

Tumewapa mazuzu kusimamia taaluma

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Yaani mafuta yanayoelea juu ya maji yameibuka kwenye mimea inayooza! Dah! Nimekumbuka jiografia ya darasa la 5 iliyotufundisha mafuta ardhini yavyotokana na viumbe waliokufa miaka milioni kadhaa. Leo hii kumbe haihitaji miaka milioni nyingi! Dah! Profesaaa.......
 
Huyo porofesa ripoti yake imejaa speculations, yaani vitu vya kuhisia hisia tu..........haina strong scientific backing. Siku nilipoenda kihonda viwandani manispaa ya morogoro na kukuta kuna viwanda vinatumia magogo ya miti kama nishati ya kuendesha mitambo huku msururu wa magari hadi ya tani 40 yako nje ya kiwanda yakisubiri kushusha vipande vya magogo ya miti, tangu siku hiyo hao NEMC nawaona kama aina fulani ya comedians wanaojinasibu kushughulika na swala la uhifadhi wa mazingira...
 
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely)

Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii.

Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!!

Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC?

Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira!

Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
Jafo, Makamba na Aweso wanalindwa na udini lakini siyo viongozi hata kidogo
 
Usitusingizie Lumumba as if hii ni issue ya Chama. This is an isolated individual case na mimi nilishauri, Professor achunguzwe tangu alipotoa ripoti ya mwanzo.

P
Lakini nyie ndio tumewaamini tukawapa mamlaka inakuwaje tena tume ichunguzwe na tume nyingine.. tukianza tume ichunguzwe na tume nyingine hii itakuwa sasa ni mchezo wa kupokezana vijiti na mwisho wasiku kijiti hatutajua nani anacho maana wachezaji ni wengi
 
Basi kwenye report angependekeza wizara ya nishati na bodi zake wapeleke wataalam wakaona namna ya kuyachimba hayo mafuta, maana inaonyesha pana base nzuri ya mafuta na haitahitaji gharama.
 
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely)

Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii.

Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!!

Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC?

Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira!

Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri

Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely)

Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii.

Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!!

Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC?

Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira!

Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
Acha kumsumbua msomi, PhD
 
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely)

Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii.

Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!!

Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC?

Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira!

Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
Kuweka rekodi sawa.
Madhara yapo hadi kwa mifugo, mimea na binadamu.
Hayaishii kwa samaki tu!
 
Huyo porofesa ripoti yake imejaa speculations, yaani vitu vya kuhisia hisia tu..........haina strong scientific backing. Siku nilipoenda kihonda viwandani manispaa ya morogoro na kukuta kuna viwanda vinatumia magogo ya miti kama nishati ya kuendesha mitambo huku msururu wa magari hadi ya tani 40 yako nje ya kiwanda yakisubiri kushusha vipande vya magogo ya miti, tangu siku hiyo hao NEMC nawaona kama aina fulani ya comedians wanaojinasibu kushughulika na swala la uhifadhi wa mazingira...
Hilo la magogo ya Kihonda nasikia kuna kipindi NEMC walitaka kuchukua hatua, Waziri mkuu Pinda akakinga kifua na hiyo mimi sioni ajabu ndo viongozi wetu hao. Viongozi wetu wana bei ndogo sana!
 
Yaani mafuta yanayoelea juu ya maji yameibuka kwenye mimea inayooza! Dah! Nimekumbuka jiografia ya darasa la 5 iliyotufundisha mafuta ardhini yavyotokana na viumbe waliokufa miaka milioni kadhaa. Leo hii kumbe haihitaji miaka milioni nyingi! Dah! Profesaaa.......
Watu wa jiolojia sijui wanasemaje juu ya ugunduzi wa huyu profesa mbombezi? Udhaifu wa maelezo yake na kumbukumbu kwamba aliwahi kuwa mkemia mkuu wa serikali, ni moja ya sababu ya nchi hizi kutoendelea. Kuna watu wa hovyo kabisa, lakini wamepewa nafasi kubwa za kiofisi.
 
Natoa wito Waziri Jaffo ajiuzulu.

Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema kichaa akichukua nguo zako, busara ni kuchutama (loosely)

Waziri Jaffo na watalaamu wake wa mto Mara wanagoma kuchutama, na kadri wanavyogeuza ripoti wizara inazidi kupoteza pesa kwa waandishi habari na kuanza kueleza mambo ambayo siyo sayansi ya dunia hii.

Kinachoendelea ni utapeli kwa watanzania. Aibu zaidi yumo hata mkurugenzi mkuu wa NEMC ambaye ana wataalamu kibao ofisini mwake lakini yaonekana uwezo ni mdogo!!!! Je, huo ndo utendaji wa kila siku wa NEMC? Au Waziri anaikanyaga NEMC?

Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!!

Mifano iliyotolewa huko duniani, haina uhusiano wowote na hili. Hii unalazimisha taarifa ya tume ieleweke kwa wa-TZ milioni 60! Btw., kwa nini uliteua Tume badala ya kuitumia NEMC?

Uhusiano wako na huyo mwenyekiti wa tume ni upi? Yaani injinia wa mitambo anageuka kuwa mtaalamu wa mazingira!

Je, baada ya kutoa taarifa hovyo, utamfanyaje wakati siyo mwajiliwa wako? Huo ni uzembe mkubwa kwako waziri.
Waziri Jaffo huitendei haki wizara yako! Sasa tume inasema maozea ya mimea yamesababisha mafuta kuelea juu ya maji!!! Na, mvua imeleta tope la kutisha na kuua samaki!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wa jiolojia sijui wanasemaje juu ya ugunduzi wa huyu profesa mbombezi? Udhaifu wa maelezo yake na kumbukumbu kwamba aliwahi kuwa mkemia mkuu wa serikali, ni moja ya sababu ya nchi hizi kutoendelea. Kuna watu wa hovyo kabisa, lakini wamepewa nafasi kubwa za kiofisi.
Hili taifa linapitia nyakati ngumu mno
 
Tatizo siasa zinaingilia Kazi za kitaaluma kulikuwa na huja gan wazir kuunda timu, wakati nemc ipo na inawataalamu wa kutosha. LKn kisiasa akaona akae front pagë za Magazeti kwa kuunda kamati
Tulipokosea ni pale tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma
 
Back
Top Bottom