Unakumbuka awamu ilopita ilisemwa nini juu ya maswala ya chanjo na matumizi ya barakoa?
Badala ya kumhusudu huyo jamaa ungeshauri hamasa na elimu itolewe zaidi wananchi wapate kuelewa na kuwatoa kwenye kule kuamini walikoaminishwa awali awamu ile na kufanya waelewe usahihi ni upi.
Yani kuna watu bado hawatilii maanani kabisa swala la kuchukua tahadhari zidi ya huo ugonjwa.
Hata wakivaa barakoa hawavai kwa usahihi, mtu anavaa barakoa lakini mdomo nje , Pia nje!
hawanawi mikono kwa usahihi , social distancing n.k