#COVID19 Ufafanuzi: Muuguzi aliyemchoma chanjo Mhe. Rais Samia na viongozi wengine kutovaa mipira ya mikono (gloves)

#COVID19 Ufafanuzi: Muuguzi aliyemchoma chanjo Mhe. Rais Samia na viongozi wengine kutovaa mipira ya mikono (gloves)

Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.

Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.

#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatuaView attachment 1871870View attachment 1871871

PIA SOMA:

- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?
Nyie wizara ya afya kumbe mna akaunti humu, ndio naiona leo.
 
Swala la gloves ni muhimu kuvaliwa, na mtoa huduma akimhudumia mgonjwa. Akitokea mtoa huduma katoa huduma kwa watu 20 bila kuvaa gloves huoni kwamba anaturudisha kulekule kwenye hatari yakuambukizwa ugonjwa hata kama umechanjwa chanjo ya Corona?
Mkuu kwani huyo mtoa huduma alikuwa anatoa huduma kwa wagonjwa? Wagonjwa wanapewa tiba na si chanjo
 
Unakumbuka awamu ilopita ilisemwa nini juu ya maswala ya chanjo na matumizi ya barakoa?

Badala ya kumhusudu huyo jamaa ungeshauri hamasa na elimu itolewe zaidi wananchi wapate kuelewa na kuwatoa kwenye kule kuamini walikoaminishwa awali awamu ile na kufanya waelewe usahihi ni upi.

Yani kuna watu bado hawatilii maanani kabisa swala la kuchukua tahadhari zidi ya huo ugonjwa.

Hata wakivaa barakoa hawavai kwa usahihi, mtu anavaa barakoa lakini mdomo nje , Pia nje!
hawanawi mikono kwa usahihi , social distancing n.k
Waziri mkuu leo nimeona kashika barakoa yake na kuivua kisha kaiweka kwenye meza.
 
Mi Tanzania huwaga sielewi wanatushauri tusikusanyike ila wao wanatukusanya [emoji1787][emoji1787] mfano leo kwenye uzinduzi sikuona umuhimu wa kujaza watu kuja kushuhudia uzinduzi, ivi kulikua haiwezekani mh Raisi akapata chanjo yeye na mumewe au watu wachache mbele ya kamera the anatoa hutuba kuhamasisha watu wengine wafuatilie kupitia media
[emoji854][emoji854][emoji854][emoji854][emoji854][emoji854][emoji854]
Wao wanakusanyika tu na wanakusanya watu pale inapowapa boost.
IMG_20210728_123441.jpg
 
Mwenye Bunge lenyewe anamkwepa Johnson & Johnson Mkuu si umeona hata Leo hakuonekana pale? Unaambiwa anapenda mno Kujifukiza kuliko Kitu kingine chochote kile.
Vipi yule jamaa mla dagaa wa Kigoma mwenye cheo kikubwa cha pili kutoka juu yeye ameshapata chanjo kipindi kile akiwa mahututi.? Mana sijamuona leo
 
Vipi yule jamaa mla dagaa wa Kigoma mwenye cheo kikubwa cha pili kutoka juu yeye ameshapata chanjo kipindi kile akiwa mahututi.? Mana sijamuona leo
Hiyo Ziara ya Mkoani Mtwara aliiomba Makusudi ili nae amkwepe Johnson & Johnson. Yeye kutokana pia na Kabila lake ( ambao pia ni Watani zangu ) Wanaabudu sana 'Ndumbaism' hivyo Chanjo ya Mizimu kutoka Mto Malagarasi aliyopewa baada ya Kukoswakoswa na Israeli Kipindi kile imemtosha na imemsaidia mno.
 
Vipi yule jamaa mla dagaa wa Kigoma mwenye cheo kikubwa cha pili kutoka juu yeye ameshapata chanjo kipindi kile akiwa mahututi.? Mana sijamuona leo
Yule hahitaji chanjo kwa sasa maana aliugua. Hivyo ana antibodies.
 
Nyie wizara ya afya kumbe mna akaunti humu, ndio naiona leo.
Huenda wameianzisha 'Maksudically' kabisa wape wanapata 'updates' za haraka kutoka Kwetu kwa Watu ambao huenda wataanza Kufa kama siyo Kufariki kwa UVIKO 19 baada ya Johnson & Johnson Kuwaonjesha Utamu wake kupitia Sindano yake.
 
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.

Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.

#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatuaView attachment 1871870View attachment 1871871

PIA SOMA:

- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?
Asante kwa ufafanuzi, msichoke kutuelimisha kwani ni kipindi cha mpito hivyo udadisi utakuwa kwa kila jambo hatakama kwenu wataalamu mtaliona la kijinga,
 
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.

Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.

#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatuaView attachment 1871870View attachment 1871871

PIA SOMA:

- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?
Kumbe na huku mpo? mbona huwa hamcomment kwenye nyuzi zingine kama zile za Kwa masilahi ya Taifa za Pascal Mayalla?
 
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.

Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.

#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatuaView attachment 1871870View attachment 1871871

PIA SOMA:

- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?
Tunaomba Kujuzwa Shaka Hamdu Shaka na Jokate wamechanja Kwa vigezo gani ?
Tulitegemea with 1M jabs, ukiacha wauguzi na walio frontline, priority ingekuwa ni Kwa Risk age, above 50
 
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.

Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.

#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatuaView attachment 1871870View attachment 1871871

PIA SOMA:

- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?
Wapi Chanjo inapatikana tukachome maana hamjasema vituo inapopatika na au mpaka Connection
 
Mwenye Bunge lenyewe anamkwepa Johnson & Johnson Mkuu si umeona hata Leo hakuonekana pale? Unaambiwa anapenda mno Kujifukiza kuliko Kitu kingine chochote kile.
Mhuni Sana yule Mzee na Msanii.
I can assure you kishachanjwa Kimya Kimya Hata Porn Master Gwajima huenda kishachanjwa, anapotosha watu tu
 
Back
Top Bottom