#COVID19 Ufafanuzi: Muuguzi aliyemchoma chanjo Mhe. Rais Samia na viongozi wengine kutovaa mipira ya mikono (gloves)

#COVID19 Ufafanuzi: Muuguzi aliyemchoma chanjo Mhe. Rais Samia na viongozi wengine kutovaa mipira ya mikono (gloves)

NDIO MAANA WANASIASA WANAFANYA YALE WANAYOYATAKA WAO BILA KUWASHIRIKISHA KWA SABABU WAMEISHAONA WATANZANIA WENGI WANAJIFANYA WAJUAJI KUMBE NI MBUMBU MZUNGU WA RELI...
KUMBE HAWA WANASIASA NA MADAKTARI! 🙂 NDO UMENIJUZA NDUGU..
 
Yote tisa,kumi kiukweli corona inaua wandugu
 
Watanzania bado hawajapata habari za kutosha juu ya korona. Ushahidi mmoja wapo ni jinsi hii issue ya nurse aliyemchoma rais kutova gloves ilivyopokelewa kwa hisia tofauti.
Najua sababu ni kwamba hapo nyuma kidogo huenda ungeweza kuhojiwa kwa kusema tu unaumwa korona. So all informations za ukweli zikapigwa stop naturally na infos za uzushi zikaenea sana. Huwezi shangaa kuona uzushi wa gwajima unaaminika zaidi kuliko ushauri wa kisayansi uliotolewa na wataalam wa afya. Tulikaribisha uzushi tukauelewa na tukaukumbatia. Itachukua muda kidgo tena kuwafeed watanzania na right informations.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Serikali ya Tanzania.

"Inashauri watu wasikusanyike ....ila yenyewe inakusanyika"

"Inasisitiza watu wasivunje Sheria....ila yenyewe ni kinara wa kuvunja Sheria na katiba".


Nchi inanishangaza sana
 
Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.

Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.

#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatuaView attachment 1871870View attachment 1871871

PIA SOMA:

- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?
nakumbuka maneno ya gwajima, huenda ni chanjo feki
 
Back
Top Bottom