peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Wizara ya afya ipo Kwa neema ya mungu.Ndugu zangu!
Kauli hii ya wizara yetu ya afya imenitoa kamasi, kujifunza hakuna mwisho.
View attachment 1874889
View attachment 1874890
View attachment 1874892
Hebu tuelimishane tafadhali.
Ncha Kali.
Huyo aliyemchanja rais aliwachanja wangapi tena?Ninahitajika kuhesabu wote? La hasha!
Japo hakuwa mchanjaji mmoja, walikuwa wengi na wote hawakuvaa gloves…. waliochanjwa pia ni wengi kuanzia Rais hadi Kigwangalla.
Rejea YouTube ilikuwa mubashara.
HAKUNA MTU ALIYELAZIMISHWA NDUGU! ILA SISI TUNAJIFUNZA NA KUDADAVUA UKWELI ILI IFIKIE KICHANJA NA SISKwani mmelazimishwa mkachanjwe nyi mazumbukuku!!! Si endeleeni na msimamo wenu
Kila kitu mnageuza kuwa mjadala wa TaifaUnao uwezo wa kusoma kwa ufahamu?
HAPO SASA! INA MAANA HAPAKUWA NA CHANGAMOTO HTA YA JASHOHuyo aliyemchanja rais aliwachanja wangapi tena?
KWA NINI KISIJADILIWE KMA KINA MASHIKO?Kila kitu mnageuza kuwa mjadala wa Taifa
KUMBE HAWA WANASIASA NA MADAKTARI! 🙂 NDO UMENIJUZA NDUGU..NDIO MAANA WANASIASA WANAFANYA YALE WANAYOYATAKA WAO BILA KUWASHIRIKISHA KWA SABABU WAMEISHAONA WATANZANIA WENGI WANAJIFANYA WAJUAJI KUMBE NI MBUMBU MZUNGU WA RELI...
Ni ujinga ujinga mtupu. Na angevaa sijui wangetafuta sababu gani.Kila kitu mnageuza kuwa mjadala wa Taifa
Yule anayefufua lakini akashindwa kumfufua jiwe.Vizuri Wizara mko hapa. Je ni Gwajima yupi tumsikilize?
Wangepata kasoro nyingine, hawana jema kabisaNi ujinga ujinga mtupu. Na angevaa sijui wangetafuta sababu gani.
nakumbuka maneno ya gwajima, huenda ni chanjo fekiKwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.
Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.
#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatuaView attachment 1871870View attachment 1871871
PIA SOMA:
- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?