Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo watu wana kariri....Hahaha yaani mtu ana passion ya Vipodozi halafu anapelekwa kwenye nafaka [emoji3]
Acha kukariri....Wekeza katika mazao ya kilimo mkuu
Ukikamatwa na vipodozi feki utajuta
Asisahau vile vi-sendle vya manyonya!!!Kasema yupo uswazi, sio bush, wadada wa kiswazi wanapenda kujisop sop
Safi sana mkuuUnatazamia kupata mtaji na kufikiria biashara ya kufanya au tayari umepata mtaji ila bado unaifikiria biashara ya vipodozi?
Leo nakuandikia wewe kwa ajili ya kukupa mwangaza kidogo wa namna ya kuanza na gharama zake.
Tusaidie na sisi mkuuNimefanya biashara nyingi ila kwenye vipodozi nimetia manga
Kuna kitu kinaleta faida mpaka ya 20K
Ni ujanja wako tu wa kusuka maneno
Cosmetics ni kabiashara katamu mno
Asante sana mkuu. Unaweza kutupa makadirio ya mtaji wa kuanzisha duka la kawaida la vipodozi na jinsi linavyozalisha? Natanguliza samahani kwa usumbufu lakiniVIPODOZI [emoji116][emoji116][emoji116]
Anzisha Biashara ya Vipodozi Kiulaini Kabisa:- Mwanzo huu hapo. Unapotaja biashara ambazo watu huendelea kupiga pesa hata kama uchumi umedorora basi lazima utataja vyakula,Nk kwanza lakini kama ukiambiwa uongeze bidhaa nyingine hapo basi ongezea na vipodozi, hasa vya wakina mama.
Nakazia kuhusu mtaji, natanguliza shukran, mtaji anzia n Tah ?!Asante sana mkuu. Unaweza kutupa makadirio ya mtaji wa kuanzisha duka la kawaida la vipodozi na jinsi linavyozalisha? Natanguliza samahani kwa usumbufu lakini
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Nilikua natafuta sana hilu chimbo!! Asante sana umemaliza kila kituVIPODOZI [emoji116][emoji116][emoji116]
Anzisha Biashara ya Vipodozi Kiulaini Kabisa:- Mwanzo huu hapo. Unapotaja biashara ambazo watu huendelea kupiga pesa hata kama uchumi umedorora basi lazima utataja vyakula,Nk kwanza lakini kama ukiambiwa uongeze bidhaa nyingine hapo basi ongezea na vipodozi, hasa vya wakina mama.