Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

Naombeni kufahamu ni wapi naweza kununua vipodozi vya UK na US etc vile original kwa Bei ya JUMLA. Natamani kuanza hata na bidhaa chache lakini kweli ziwe ni genuine products.

#NoFake ZoneProducts#
 
VIPODOZI [emoji116][emoji116][emoji116]

Anzisha Biashara ya Vipodozi Kiulaini Kabisa:- Mwanzo huu hapo. Unapotaja biashara ambazo watu huendelea kupiga pesa hata kama uchumi umedorora basi lazima utataja vyakula,Nk kwanza lakini kama ukiambiwa uongeze bidhaa nyingine hapo basi ongezea na vipodozi, hasa vya wakina mama.

Mwanamke lazima asuke, apake mafuta na ajipulizie perfyumu ndio atajiona yupo tayali kutoka kwenda ibadani, kazini, kutembea au hata kujibrand tu. Hivyo basi mahitaji ya vipodozi siku zote yapo juu na ukianzisha biashara hii ukiwa na malengo, uvumilivu na displini basi itakutoa na mchakato wake ni mwepesi kabisa. Endelea kusoma.

Ukifika Bigbon ya Kariakoo kama unatokea fire, vuka barabara, hayo majengo ya mbele yako ukiyazunguka au ukiingia ndani kupitia uchochoro wowote unatokea kwenye himaya ya vipodozi. Ingia kwenye hilohilo jengo la mbele yako. Eneo hilo zamani yalikuwa yanapaki madaladala ya kwenda Sinza na Ubungo na sasa hivi kuna kituo cha mwendo kasi pia.

Kwa kulia kuna mtaa wa Mafia ukishuka nao pia utaanza kukutana na maduka ya vipodozi. Kwa kushoto kuna barabara ya (Pemba) na Jangwani pia hayo ni maeneo ya vipodozi na nywele

Lakini sio tu nywele dizaini zote na vipodozi utavikuta hapa kwa bei ya jumla na rejareja lakini mazagazaga yote ya urembo utayakuta hapa, lipstick, rangi za kucha, perfyume, body freshener, mafuta ya lotion, ya mgando, ya nywele, scrub na kila kitu kinachohusiana na urembo na mambo ya saluni za wanawake.

Kama unamtaji wako na unandoto ya kuanzisha biashara ya vipodozi basi kabla hujafikiria kwenda china au dubai au Zambia anzia hapa. Kupata nywele za Brazilian sio lazima uende Brazil, utazitkuta hapa pia.

Ukiwa na pesa ya mtaji mdogo tu wa kawaida unaweza kufunga mzigo wa maana tu na kurudi nao kwenu kufungua biashara ya ndoto zako sababu hapa yamejaa maduka yanayouza jumla na rejareja. Kama umenunua nywele au mafuta mtaani kwako kuna uwezekanao mkubwa nywele au mafuta hayo yamenunuliwa hapa na muuzaji mwingine wa duka la jumla ambae kamuuzia aliyekuuzia wewe.

Kuuliza bei na ku bargain ni kitu muhimu sana hapa, usinunue vitu kwenye duka la kwanza utakalokutana nalo, utatakiwa uwe mjasiri wa kuuliza bei na kuondoka bila aibu ukiwa mkavu kabisa na kuuliza duka linalofuatia na linalofuatia. Usiishie kwenye maduka ya nje ingia na frame za ndani uone na kuuliza. Mfano, Mafuta ya American dream ambayo mitaani yanauzwa elfu 40 na zaidi kwenye hili soko la vipodozi yanaazia elfu 25, ingawa maduka mengi watakuambia elfu 30.

Hii inamaanisha kuwa kuna wenye maduka hapo wanauza jumla nao wananunua kwa wenzao hapohapo wanaongeza cha juu kidogo na wao pia wanauza kwa bei ya jumla. Mfano nywele zinaitwa coco ambazo mtaani huuzwa 1,500 humo utazikuta kwa 800 mpaka 1,350, na cha kufurahisha zaidi wadada wanaokimbia gharama za kusuka saluni za mitaani huenda kusukia hapo hapo. Ndio, wasusi ni wengi sana pia mitaa hiyo, unanunua nywele kwa bei ya jumla na kusukwa hapo hapo.

Kukupa uhakika kuwa hauingii chaka utaona kwenye maduka makubwa kuna mafurushi mengi na makubwa ya mizigo ya vipodozi inayonunuliwa na kufungwa kwenye mabox na viroba kwa ajili ya kutuma mikoani na maeneo mengine ya mji wa Dar. Kwahiyo wakati wewe utabaki unajiuliza maswali ninunue au nisinunue utaona wenzio wanafungasha na kupeleka kwenye malori.

Wauzaji wa hapa wanapataje hivyo vipodozi na nywele? Kwa mfanya biashara mdogo usijipe hii presha subiri mpaka ukue kwanza lakini kwa mfanyabiashara mkubwa ni kua kuna wachina wana magodown ambapo unatakiwa uweze kuchukua kiwango kikubwa sana kwa wakati mmoja.. [emoji1666]
Naombeni kufahamu ni wapi naweza kununua vipodozi vya UK na US etc vile original kwa Bei ya JUMLA. Natamani kuanza hata na bidhaa chache lakini kweli ziwe ni genuine products.

#NoFake ZoneProducts#
 
Naombeni kufahamu ni wapi naweza kununua vipodozi vya UK na US etc vile original kwa Bei ya JUMLA. Natamani kuanza hata na bidhaa chache lakini kweli ziwe ni genuine products.

#NoFake ZoneProducts#

Mtafute mtu anaitwa Faiz yupo kkoo
 
Mal_more_care

Angalia products huko Ila bei mwombe FAIZ

wana maduka mawili bei ya insta ni bei za Duka la Sinza


Inbox nikupe namba yake
Ndugu nami nahitaji sana kupata sehem ntapata bidhas kwa bei nzuri, naifanya hii biashara kwa zaidi ya miezi sita ila tatizo sijapata sehem nayoweza kupata mzigo kwa bei nzuri, pls assist ..[emoji120][emoji120][emoji120]
 
VIPODOZI [emoji116][emoji116][emoji116]

Anzisha Biashara ya Vipodozi Kiulaini Kabisa:- Mwanzo huu hapo. Unapotaja biashara ambazo watu huendelea kupiga pesa hata kama uchumi umedorora basi lazima utataja vyakula,Nk kwanza lakini kama ukiambiwa uongeze bidhaa nyingine hapo basi ongezea na vipodozi, hasa vya wakina mama.

Mwanamke lazima asuke, apake mafuta na ajipulizie perfyumu ndio atajiona yupo tayali kutoka kwenda ibadani, kazini, kutembea au hata kujibrand tu. Hivyo basi mahitaji ya vipodozi siku zote yapo juu na ukianzisha biashara hii ukiwa na malengo, uvumilivu na displini basi itakutoa na mchakato wake ni mwepesi kabisa. Endelea kusoma.

Ukifika Bigbon ya Kariakoo kama unatokea fire, vuka barabara, hayo majengo ya mbele yako ukiyazunguka au ukiingia ndani kupitia uchochoro wowote unatokea kwenye himaya ya vipodozi. Ingia kwenye hilohilo jengo la mbele yako. Eneo hilo zamani yalikuwa yanapaki madaladala ya kwenda Sinza na Ubungo na sasa hivi kuna kituo cha mwendo kasi pia.

Kwa kulia kuna mtaa wa Mafia ukishuka nao pia utaanza kukutana na maduka ya vipodozi. Kwa kushoto kuna barabara ya (Pemba) na Jangwani pia hayo ni maeneo ya vipodozi na nywele

Lakini sio tu nywele dizaini zote na vipodozi utavikuta hapa kwa bei ya jumla na rejareja lakini mazagazaga yote ya urembo utayakuta hapa, lipstick, rangi za kucha, perfyume, body freshener, mafuta ya lotion, ya mgando, ya nywele, scrub na kila kitu kinachohusiana na urembo na mambo ya saluni za wanawake.

Kama unamtaji wako na unandoto ya kuanzisha biashara ya vipodozi basi kabla hujafikiria kwenda china au dubai au Zambia anzia hapa. Kupata nywele za Brazilian sio lazima uende Brazil, utazitkuta hapa pia.

Ukiwa na pesa ya mtaji mdogo tu wa kawaida unaweza kufunga mzigo wa maana tu na kurudi nao kwenu kufungua biashara ya ndoto zako sababu hapa yamejaa maduka yanayouza jumla na rejareja. Kama umenunua nywele au mafuta mtaani kwako kuna uwezekanao mkubwa nywele au mafuta hayo yamenunuliwa hapa na muuzaji mwingine wa duka la jumla ambae kamuuzia aliyekuuzia wewe.

Kuuliza bei na ku bargain ni kitu muhimu sana hapa, usinunue vitu kwenye duka la kwanza utakalokutana nalo, utatakiwa uwe mjasiri wa kuuliza bei na kuondoka bila aibu ukiwa mkavu kabisa na kuuliza duka linalofuatia na linalofuatia. Usiishie kwenye maduka ya nje ingia na frame za ndani uone na kuuliza. Mfano, Mafuta ya American dream ambayo mitaani yanauzwa elfu 40 na zaidi kwenye hili soko la vipodozi yanaazia elfu 25, ingawa maduka mengi watakuambia elfu 30.

Hii inamaanisha kuwa kuna wenye maduka hapo wanauza jumla nao wananunua kwa wenzao hapohapo wanaongeza cha juu kidogo na wao pia wanauza kwa bei ya jumla. Mfano nywele zinaitwa coco ambazo mtaani huuzwa 1,500 humo utazikuta kwa 800 mpaka 1,350, na cha kufurahisha zaidi wadada wanaokimbia gharama za kusuka saluni za mitaani huenda kusukia hapo hapo. Ndio, wasusi ni wengi sana pia mitaa hiyo, unanunua nywele kwa bei ya jumla na kusukwa hapo hapo.

Kukupa uhakika kuwa hauingii chaka utaona kwenye maduka makubwa kuna mafurushi mengi na makubwa ya mizigo ya vipodozi inayonunuliwa na kufungwa kwenye mabox na viroba kwa ajili ya kutuma mikoani na maeneo mengine ya mji wa Dar. Kwahiyo wakati wewe utabaki unajiuliza maswali ninunue au nisinunue utaona wenzio wanafungasha na kupeleka kwenye malori.

Wauzaji wa hapa wanapataje hivyo vipodozi na nywele? Kwa mfanya biashara mdogo usijipe hii presha subiri mpaka ukue kwanza lakini kwa mfanyabiashara mkubwa ni kua kuna wachina wana magodown ambapo unatakiwa uweze kuchukua kiwango kikubwa sana kwa wakati mmoja.. [emoji1666]
MKuuu ubarikiwe sana hii ni moja ya post Muhimu sana kwangu....Safi sana
 
Ndugu nami nahitaji sana kupata sehem ntapata bidhas kwa bei nzuri, naifanya hii biashara kwa zaidi ya miezi sita ila tatizo sijapata sehem nayoweza kupata mzigo kwa bei nzuri, pls assist ..[emoji120][emoji120][emoji120]
Boss ulianza na mtaji wa bei gani?

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Boss ulianza na mtaji wa bei gani?

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app

Nilianza na Mtaji wa kama 8M ila niko mkoani so changamoto kubwa nayokutana nayo ni upatikanaji wa Bidhaa kutoka kwa wauzajo wakubwa, ujue unapoanza biashara unaweza kupigwa pia, na changamoto kubwa zaidi ni kukuuziwa bidhaa zisizo original, yaan copy ya original, au unaweza kua nazo original ila competitor wako anazo copy so anauza kwa bei ndogo kuliko wewe,
 
VIPODOZI [emoji116][emoji116][emoji116]

Anzisha Biashara ya Vipodozi Kiulaini Kabisa:- Mwanzo huu hapo. Unapotaja biashara ambazo watu huendelea kupiga pesa hata kama uchumi umedorora basi lazima utataja vyakula,Nk kwanza lakini kama ukiambiwa uongeze bidhaa nyingine hapo basi ongezea na vipodozi, hasa vya wakina mama.

Mwanamke lazima asuke, apake mafuta na ajipulizie perfyumu ndio atajiona yupo tayali kutoka kwenda ibadani, kazini, kutembea au hata kujibrand tu. Hivyo basi mahitaji ya vipodozi siku zote yapo juu na ukianzisha biashara hii ukiwa na malengo, uvumilivu na displini basi itakutoa na mchakato wake ni mwepesi kabisa. Endelea kusoma.

Ukifika Bigbon ya Kariakoo kama unatokea fire, vuka barabara, hayo majengo ya mbele yako ukiyazunguka au ukiingia ndani kupitia uchochoro wowote unatokea kwenye himaya ya vipodozi. Ingia kwenye hilohilo jengo la mbele yako. Eneo hilo zamani yalikuwa yanapaki madaladala ya kwenda Sinza na Ubungo na sasa hivi kuna kituo cha mwendo kasi pia.

Kwa kulia kuna mtaa wa Mafia ukishuka nao pia utaanza kukutana na maduka ya vipodozi. Kwa kushoto kuna barabara ya (Pemba) na Jangwani pia hayo ni maeneo ya vipodozi na nywele

Lakini sio tu nywele dizaini zote na vipodozi utavikuta hapa kwa bei ya jumla na rejareja lakini mazagazaga yote ya urembo utayakuta hapa, lipstick, rangi za kucha, perfyume, body freshener, mafuta ya lotion, ya mgando, ya nywele, scrub na kila kitu kinachohusiana na urembo na mambo ya saluni za wanawake.

Kama unamtaji wako na unandoto ya kuanzisha biashara ya vipodozi basi kabla hujafikiria kwenda china au dubai au Zambia anzia hapa. Kupata nywele za Brazilian sio lazima uende Brazil, utazitkuta hapa pia.

Ukiwa na pesa ya mtaji mdogo tu wa kawaida unaweza kufunga mzigo wa maana tu na kurudi nao kwenu kufungua biashara ya ndoto zako sababu hapa yamejaa maduka yanayouza jumla na rejareja. Kama umenunua nywele au mafuta mtaani kwako kuna uwezekanao mkubwa nywele au mafuta hayo yamenunuliwa hapa na muuzaji mwingine wa duka la jumla ambae kamuuzia aliyekuuzia wewe.

Kuuliza bei na ku bargain ni kitu muhimu sana hapa, usinunue vitu kwenye duka la kwanza utakalokutana nalo, utatakiwa uwe mjasiri wa kuuliza bei na kuondoka bila aibu ukiwa mkavu kabisa na kuuliza duka linalofuatia na linalofuatia. Usiishie kwenye maduka ya nje ingia na frame za ndani uone na kuuliza. Mfano, Mafuta ya American dream ambayo mitaani yanauzwa elfu 40 na zaidi kwenye hili soko la vipodozi yanaazia elfu 25, ingawa maduka mengi watakuambia elfu 30.

Hii inamaanisha kuwa kuna wenye maduka hapo wanauza jumla nao wananunua kwa wenzao hapohapo wanaongeza cha juu kidogo na wao pia wanauza kwa bei ya jumla. Mfano nywele zinaitwa coco ambazo mtaani huuzwa 1,500 humo utazikuta kwa 800 mpaka 1,350, na cha kufurahisha zaidi wadada wanaokimbia gharama za kusuka saluni za mitaani huenda kusukia hapo hapo. Ndio, wasusi ni wengi sana pia mitaa hiyo, unanunua nywele kwa bei ya jumla na kusukwa hapo hapo.

Kukupa uhakika kuwa hauingii chaka utaona kwenye maduka makubwa kuna mafurushi mengi na makubwa ya mizigo ya vipodozi inayonunuliwa na kufungwa kwenye mabox na viroba kwa ajili ya kutuma mikoani na maeneo mengine ya mji wa Dar. Kwahiyo wakati wewe utabaki unajiuliza maswali ninunue au nisinunue utaona wenzio wanafungasha na kupeleka kwenye malori.

Wauzaji wa hapa wanapataje hivyo vipodozi na nywele? Kwa mfanya biashara mdogo usijipe hii presha subiri mpaka ukue kwanza lakini kwa mfanyabiashara mkubwa ni kua kuna wachina wana magodown ambapo unatakiwa uweze kuchukua kiwango kikubwa sana kwa wakati mmoja.. [emoji1666]
Madini kama haya ya kuondokana na umasikini kwa kupeana michongo kama hii ni jambo jema sana, hakika umetoa elimu toshelezi mkuu, safi sana na ubarikiwe.
 
Ahsante kwa taarifa inapendeza...

Ila hapo bei zao zipo juu kiasi...
Ukienda kwa wale wanaowauzia hao ndiyo unakuta bei ipo chini zaidi sema wanataka uwe unachukua mzigo mkubwa...
Ni wapi huko please naomba unielekeze
Ahsante kwa taarifa inapendeza...

Ila hapo bei zao zipo juu kiasi...
Ukienda kwa wale wanaowauzia hao ndiyo unakuta bei ipo chini zaidi sema wanataka uwe unachukua mzigo mkubwa...
 
Biashara ya vipodozi minimum uwe na hata 1.5 ili uwe na sort angalau mbalimbali za vipodozi.
Kutaka angalau kujaza jaza duka. Atleast uwe na 3milion.
Chimbo hilo jamaa kalitoa zuri sana.
Kwa vipodozi vinavyotrend
1. Wix za director joan.( yupo kinondoni, na tandale)
2. Esta dalali (sinza madukani)
3. Sacques “sachko” ( sinza mabatini/kijitonyama)
Ukiweka hizi utapata sana, changanya. Kwa mtaji wowote. Hawa wana vitu. Na arrangement zao zitakufanya ujue biashara ya vipodozi inataka nini zaidi na wanatoa ushauri. Maana wao ni wauzaji wa jumla na rejareja.

Sasa wale watu wa mambo mengi. Wa kuanzia 4-10m akili mtu wangu. Tafuta mzigo kwa ushauri ili upate kitu kizuri na chenye faida ila bila hivo. Utabaki unauza kila siku, ila upo pale pale. Alafu wenye walianza na mitaji midogo wanakufikia chap.(akili mtu wangu)
 
Vigezo ni
Leseni
Tin number
Kibali cha TFDA


Mtaji inategemea na layout ya Duka lako unataka lionekane vipi
Maximum ukiwa na Milion 5
But hata ukiwa na Milion 3 kwa kuanzia sio mbaya.
Hii 3/5 million ni ununue bongo au nje?
 
Back
Top Bottom