Wengi hununua kariakoo! Kwani wale wa kariakoo huagiza kwa makontena kutoka nje (dubai na sehemu) nyingine nyingi tu!
Oppst fill station ya big born, kuna maduka, il wewe ingia kwenye uchochoro mmoja utakaotokezea mtaa mwingine wa nyuma! Huo uchochoro ni maarufu kwa jina la sabasaba! Ukiumaliza tu, nedna duka la kwanza mkono wa kulia kwako....linamilikiwa na dada anayeitwa sharifa. Hata kama yeye hayupo, vijana wake watakusaidia hata mawazo vipodozi gani uanze navyo kununua!
Nunua kwnza mzigo wa 60% ya mtaji wako, kisha kavipange dukani kwko, with time utaua vipodozi gani hukuchukua (base on demand ya wateja katika eneo lako)! Ukiona umepata mahitaji ya kutosha, nenda kanunue mzigo wa 40% uliobakia!
Kuwa mwangalifu na expire date hasa isiwe ya mda mfupi ujao maana usipo uza itakuwa kwako!
Kuhusu vipodozi feki, sina jinsi ya kukushauri zaidi ya kukuambia. Kila aina ya kipodozi (mwazni) chukua kiasi kidgo kwanza. Taratibu utavizoea
Kila la kheri