UFAFANUZI: Rais kuingia na kiti chake Kanisani Mkoani Kagera

Angekalia cha kawaida ingekuwaje
 
Kanisa katoliki halinaga matabaka.
Ila katika hili kuna tatizo la kiufundi sehemu.
 
Ndo maana walivyoenda kwa kwini wakapakizwa kwenye bus la king msukuma.mwanza to bariadi. Mzungu aliona mbali.
 
Mkuu kama umesoma vizuri nimejaribu kueleza maana ya kuingia na kiti.

Rais hakwenda yeye binafsi, alikwenda kwa kofia ya Urais. Na hilo limetanabaishwa na uwepo wa kiti cha Rais.
Mbona unajichanganya? So mtu kama jpm alipokuwa akienda sehemu kama hizo na kutumia viti alivyovikuta mamlaka ya kiti chake alikuwa akiyaacha wapi? Usitundandanye hapo haikuwa sawa.
 
Ukitaka kujua hii nchi ni ngumu muulize Shabani Kaoneka yule bondia.
 
Hamna hoja hapa. Ufafanuzi wako hauna mashiko Bro. Kajiandae upya uje na uchambuzi wa masuala mengine tu, sio lazima ya hizi Mamlaka
 
Viongozi wa sasa wanachanganya mambo tu. Hakuna haja ya Rais mwislamu kuingia kanisani wala Rais Mkristo kuingia msikitini.
Hasa hasa kusali. Hayo ni madhehebu tofauti na imani tofauti. Mkatoliki akisali msikitini anakiuka Kanuni ya Imani ya Kanisa Katoliki.
Kama ni shughuli ya kiserikali inayohitaji sala inafanyika eneo la wazi au ukumbi wa wazi bila kuhusisha msikiti au kanisa.
Kwenye tukio la Bukoba Mama Samia angeenda kusali msikitini ambako pia waislamu walisali kumuombea Hayati Nyerere, sala yake ingepokelewa Mbinguni kwa kuwa ndio imani yake.
 
Na hata angebadili utaratibu kwa siku moja tusingekubali utaratibu wake ,Kila kitu kisivuke mipaka ,yeye niraisi lakini hawezi kupaswa kuingilia taratibu za dini za watu,tungekataa kwa herufi KUBWA,madam atujabreak the law tungekataaaaa
 
Basi aache kujikweza kila mtu anajua yeye ni rais hata akikaa kwenye mkeka
Kwamba vile vitu vya kanisani sio stahiki yeyey kukalia ndo mana akabeba kiti,Yani uyu bibi sijui anajikuta nani jaman......kwaiyo ametuonaje sisi Christianity of low status au?
 
Hamna hoja hapa. Ufafanuzi wako hauna mashiko Bro. Kajiandae upya uje na uchambuzi wa masuala mengine tu, sio lazima ya hizi Mamlaka
little things ,lakini vina make sense a lot....tunagundua vitu kwaishara ndogo ndogo kama hizi...
 
Mbona unajichanganya? So mtu kama jpm alipokuwa akienda sehemu kama hizo na kutumia viti alivyovikuta mamlaka ya kiti chake alikuwa akiyaacha wapi? Usitundandanye hapo haikuwa sawa.
Hayati alikwenda kuabudu, Samia hakwenda fanya hivyo.

Tofauti ni dhahiri.
 
Hamna hoja hapa. Ufafanuzi wako hauna mashiko Bro. Kajiandae upya uje na uchambuzi wa masuala mengine tu, sio lazima ya hizi Mamlaka
Una hoja mbadala? Ziweke hapa tujifunze Mkuu.

Sio mbaya kukosoa ila inasaidia kama utakosoa na kuleta hoja mbadala kama alivyofanya Countrywide na bwana Congo
 
Empty headed, yaani unasema kiti ni ishara ya mamlaka na kuweka urasmi wa shughuli halafu hapohapo unasema msikitini hamna viti ndio maana haendi nacho.
Anachomaamnisha ni kwamba kama msikitini kungelikuwa na viti, basi Rais angekuwa anapelekewa kiti chake huko. Kwa sababu hamna viti msikitini, hawezi kupelekewa kiti. Au uliatka wampelekee kiti akakae kwrnye kiti yeye peke yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…