Ufafanuzi wa Diamond kuhusu kilichotokea jana uwanja wa ndege Mwanza

Hivi wewe na Mange mlichukuliana bwana na Domo?
 
Hakuna kitu kinakera kama. Mpo kwenye Tukio la maana alafu kuna Mtu ana ki TECNO.. Alafu ndio ana KIHEREHERE CHA KUPIGA PICHA KILA SAA.. Hapo wenye IPhone X unakuta tumekausha tu.
Kwaio mwenye iphone X akipiga simu kwa mtu anaetumia Tecno salio halikatwi au?
 
Taasisi zetu hazina ufanisi kwenye kazi zao sijui nini tatizo
 
Kwani unateseka?
 
we ndo mpuuzi sana,unajua alikua na crew ya watu wangapi? unajua gharama ya kuwalaza hotel na chakula? unajua ameharibiwa ratiba yake kiasi gani? ndio maana kaandika na kusisitoliza "akiwa na akili timamu" this dude ana exposure ya mambo ya ndege kuliko wewe na ukoo wako wote ye sio.mjinga mpk areact kias kile coz anajua jinsi gan angeingia hasara kwa kusitishiwa ratiba yake ya safari....WTF you boy talking....!!!
 
Achana nae huyo atakupotezea muda na nguvu,she is a piece of garbage...
 
Mshambuliaji Mbwana Samatta na klabu yake ya Genk wapangwa na Slavia Prague wakati Arsenal akipewa BATE Borisov na Chelsea ikitupwa kwa Malmo katika hatua ya 32 bora ya Europa Ligi.

Samatta aliiongoza Genk kumaliza wakiwa vinara wa kundi lake hivyo mechi hiyo ya mtoano wataanzia ugenini kati ya Februari 14-21, 2019.

Katika msimu huu Samatta amecheza mechi 23 za mashindano yote na kufunga mabao 15, kati hayo magoli matatu amefunga katika Europa Ligi.
Kwani unateseka?
 
Arsenal watakuwa wageni wa BATE Borisov kama itakavyokuwa kwa Chelsea wakuwa Sweden kuivaa Malmo.

Celtic inakibarua kizito zaidi baada ya kupagwa na Valencia ambayo imetolewa katika Ligi ya Mabingwa na Manchester United.

Mechi nyingine za kuvutia katika ratiba hiyo ya Februari mwakani ni Lazio ya Italia itakapowavaa mabingwa mara tano Sevilla.
Achana nae huyo atakupotezea muda na nguvu,she is a piece of garbage...
 
Galatasaray itawakaribisha Benfica wakati Inter Milan itakuwa na kibarua na Rapid Vienna, huku Napoli itaonyeshana kazi na Zurich.
 
Haahaa nasubiri wale watakaosema clouds wanahusika
 
RATIBA KAMILI

Slavia Prague vs Genk

BATE Borisov vs Arsenal

Malmo vs Chelsea

Viktoria Plzen vs Dinamo Zagreb

Brugge vs Salzburg

Rapid Vienna vs Inter Milan

Krasnodar vs Bayer Leverkusen

Zurich vs Napoli

Shakhtar Donetsk vs Eintracht Frankfurt

Celtic vs Valencia

Rennes vs Real Betis

Olympiacos vs Dinamo Kiev

Lazio vs Sevilla

Fenerbahce vs Zenit St Petersburg

Sporting Lisbon vs Villarreal

Galatasaray vs Benfica
Wewe mdadangaji wa jf panda ndege kwanza ndio uje kuchonga mdomo wako mchafu kama mnduku wako.
 
Kwani Diamond hana private jet?
 

He should address the issue kwa wahusika, kuja kwenye mitandao and start public shaming kampuni kubwa na changa kama ile , it's an insult kwa government, before opening his dirty mouth , inatakiwa aangalie who is he and the impact he has on society .

Do you know kwa kiasi gan amechafua image ya kampuni? , mi nataka tu aseme sehemu kuwa alishatuma complaints but wakampuuza ndo akaamua ku publicize his complaints .


No matter how much you have , if you are intellectually dumb , I rate you 0%, diamond is one of those stupid ass nigga , he is trying to battle with government while his emotionally intelligence is fucked up

Aangalie wenzie akina joh makin hoja zao wanavyojielezea, akina fid Q to mention the few . Sio yeye akili hana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…