Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But angalau yeye hakuwa mlafi na alikuwa na maono makubwa
Na sijui kama Lissu alikuwa amezaliwa 1961.But angalau yeye hakuwa mlafi na alikuwa na maono makubwa
But a dictator anyway!But angalau yeye hakuwa mlafi na alikuwa na maono makubwa
whatever, lakini Nyerere ndiye somo la leoKama Mbowe alivyo dictator
Baada ya Nyerere wamepita marais watano (5), kuendelea kumlaumu yeye peke yake kana kwamba aliwafunga mikono kurekebisha makosa yake ni ujinga tu.
Kuna watu waliamini bila machafuko Tanganyika isingepata Uhuru, ila Mwl Nyerere (RIP) proved them wrong....na hatimaye tulipata Uhuru kwa amani tu....hata wewe siku moja utagundua diplomasia ndio njia bora ya kumaliza sintofahamu na kupata mnachotakaBila machafuko hakuna mabadiliko yanayotakiwa kutokea. Najua hukubaliani na ukweli huu, lakini ili mabadiliko halisi yatokee, machafuko ndio njia pekee. Hizi porojo za kukaa mezani watu wakiwa wamevaa suti na sio kuwa na bandeji, tutaendelea kuchezeana.
Let us go scientifically, does Mbowe have any of these characters?Kama Mbowe alivyo dictator
Let history prevail!Baada ya Nyerere wamepita marais watano (5), kuendelea kumlaumu yeye peke yake kana kwamba aliwafunga mikono kurekebisha makosa yake ni ujinga tu.
Stop that, we were a protectorate not a colony. We were destined for independence once we are capable of managing our own affairs!Kuna watu waliamini bila machafuko Tanganyika isingepata Uhuru, ila Mwl Nyerere (RIP) proved them wrong....na hatimaye tulipata Uhuru kwa amani tu....hata wewe siku moja utagundua diplomasia ndio njia bora ya kumaliza sintofahamu na kupata mnachotaka
akili ndogo ya utumwa, why alime vitunguu?Na sijui kama Lissu alikuwa amezaliwa 1961.
Na hao wasomi '61 na wapiga kura kidemokrasia 1961-1971 sijui kama huko Ikungi walikuwepo.
Ni wajinga tu hawajui kuwa kina Lissu wamesoma baada ya shule nyingi za Missiin kutaifishwa na hata shule za sekondari kusoma bure.
Leo mtu aatukana mamba baada ya kuvuka to.
Lissu angekuwa ana lima vitynguu Singida leo.
Kumbe Nyerere hakuwa na demokrasia, alikuwa dictator mkubwa, eti huyo ndiye anakuja kuwa Mtakatifu!
Sikiliza kwa makini:
Kama unategemea kila kitu kuhusiana na siasa akichambue lissu Ili ujue uzuri na ubaya wake basi unaakili ndogo sana na by the way Nyerere alikuwa Kiongozi bora kabisa tuliyepata kuwa naye.
Kumbe Nyerere hakuwa na demokrasia, alikuwa dictator mkubwa, eti huyo ndiye anakuja kuwa Mtakatifu!
Sikiliza kwa makini:
Acha kushiriki kusambaza ujinga! Lissu hana hata chembe ya akili ya kumzungumza Mwalimu Nyerere kirahisi. # Basi si mumheshimu Mwalimu kwa kujenga taifa moja la Tanzania!🙏🙏🙏
akili ya kufugwaAcha kushiriki kusambaza ujinga! Lissu hana hata chembe ya akili ya kumzungumza Mwalimu Nyerere kirahisi. # Basi si mumheshimu Mwalimu kwa kujenga taifa moja la Tanzania!🙏🙏🙏
Nyerere is iconic figure World Wide ever!! come what may! u' gel ma drift?this is rubbish.
acha matusi, akili ndogo ni tusi, Ukitukana nitakutukana, let me spare you for now!!Kama unategemea kila kitu kuhusiana na siasa akichambue lissu Ili ujue uzuri na ubaya wake basi unaakili ndogo sana na by the way Nyerere alikuwa Kiongozi bora kabisa tuliyepata kuwa naye.
kwa mliojazwa uongo .....Nyerere is iconic figure World Wide ever!! come what may! u' gel ma drift?