Ufafanuzi wa Tundu Lissu juu ya Mamlaka makubwa ya Kikatiba aliyonayo Rais wa Tanzania yalitoka wapi. Nyerere hakuwa kama tunavyohubiriwa!

Ufafanuzi wa Tundu Lissu juu ya Mamlaka makubwa ya Kikatiba aliyonayo Rais wa Tanzania yalitoka wapi. Nyerere hakuwa kama tunavyohubiriwa!

Bila machafuko hakuna mabadiliko yanayotakiwa kutokea yatatokea. Najua hukubaliani na ukweli huu, lakini ili mabadiliko halisi yatokee, machafuko ndio njia pekee. Hizi porojo za kukaa mezani watu wakiwa wamevaa suti na sio kuwa na bandeji, tutaendelea kuchezeana.
Hadi unakufa hutaona machafuko unayoyatamani.
 
Na sijui kama Lissu alikuwa amezaliwa 1961.
Na hao wasomi '61 na wapiga kura kidemokrasia 1961-1971 sijui kama huko Ikungi walikuwepo.
Ni wajinga tu hawajui kuwa kina Lissu wamesoma baada ya shule nyingi za Missiin kutaifishwa na hata shule za sekondari kusoma bure.
Leo mtu aatukana mamba baada ya kuvuka to.
Lissu angekuwa ana lima vitynguu Singida leo.
Una mawazo ya kijima na very primitive. Kwa hiyo yasisemwe maovu kwa vile serikali hiyo ilijenga na kutaifisha shule?
Kwani wananchi walikuwa wanalipa kodi ili iweje? Nyie ndio hata mkiibiwa na watumishi wa umma mnaona ni stahili yao.
 
Kuna watu waliamini bila machafuko Tanganyika isingepata Uhuru, ila Mwl Nyerere (RIP) proved them wrong....na hatimaye tulipata Uhuru kwa amani tu....hata wewe siku moja utagundua diplomasia ndio njia bora ya kumaliza sintofahamu na kupata mnachotaka

Uhuru wa Tanganyika haukupaswa kupiganiwa maana tulikabidhiwa kwa waingereza chini ya umoja wa mataifa. Sisi tulikuwa koloni la wajerumani ambao walishindwa kwenye vita kuu ya dunia 2018. Ilitakiwa tu mtu wa kusema tunaweza kujitawala. Kama hujui ukweli huo ni vyema uujue sasa.

Kama kweli diplomasia ndio ilitakiwa kuleta uhuru, Nyerere na wenzake walipeleka msaada wa kijeshi kwa Renamo ili iwe nini? Je walipowasaidia weusi wa Afrika kusini kupambana na makaburu, ni kwanini hakwenda kuongea na Kaburu Pieter Botha?
 
Kama unategemea kila kitu kuhusiana na siasa akichambue lissu Ili ujue uzuri na ubaya wake basi unaakili ndogo sana na by the way Nyerere alikuwa Kiongozi bora kabisa tuliyepata kuwa naye.

Alikuwa bora kabisa kwakuwa una viongozi wabovu sana, lakini sio kiongozi bora kwa maana ya ubora. Historia ya Tanzania inakufundisha kuwa Nyerere ni kiongozi bora kabisa. Ila chini ya Nyerere ndio watu walivaa viraka, na kuishia kuwa masikini wa kutupwa, huku wakivikwa ukondoo wa ajabu.
 
Hata kama alikuwa Dikteta aliwakomboa waafrica wengi kusini mwa Africa! na africa! kuliko Baba yako Mobutu mla Bata!....ata ivo Lisu anajeuri leo sababu alisoma bure!! msingi mpaka chou kikuu! anyamaze tu!

hao wakoloni walio mtuma anaishi nao kwao mbona walituchapa viboko/wakatuuza km mbuzi wa kafara/wanatupiga pin madini yetu na ukoloni Mambo leo lkn mbona hana jeuri ya kuwasema?? na hamsemi.

Miafrica inatafuta kick kwa kusemana yenyewe kwa yenyewe ili yapate safari tu ya kwenda Ulaya na kuishi!

Kakomboa wengine, kavamia wengine. Kwa mfano Zanzibar ndiye Nyerere alivamia.
 
Bila machafuko hakuna mabadiliko yanayotakiwa kutokea yatatokea. Najua hukubaliani na ukweli huu, lakini ili mabadiliko halisi yatokee, machafuko ndio njia pekee. Hizi porojo za kukaa mezani watu wakiwa wamevaa suti na sio kuwa na bandeji, tutaendelea kuchezeana.
Machafuko yapi unaongea mkuu mimi niko Juba uku wewe una type ukiwa MlMllagomeni sehemu gan?
 
Kuna watu waliamini bila machafuko Tanganyika isingepata Uhuru, ila Mwl Nyerere (RIP) proved them wrong....na hatimaye tulipata Uhuru kwa amani tu....hata wewe siku moja utagundua diplomasia ndio njia bora ya kumaliza sintofahamu na kupata mnachotaka
Diplomasia inaweza kuwa suluhu kama una deal na mtu mwenye busara na utu. Ila diplomasia haifanyi kazi kwenye mtu anaeamini falsafa za ubepari haiwezi kuwa na jibu muafaka.

Bepari yeyote anaamini katika vita ili ahodhi madaraka na mali wala hana huruma na wewe hata kama ni mnyonge kiasi gani. Tena anafurahia uzidi kuwa mnyonge ili yeye afaidi matunda ya unyonyaji.

This is what we are going through as a nation. Ujinga wa kufikiri suluhu itapatikana kwa kumbembeleza aliyeshiba asiendelee kujikusanyia magunia ya nafaka sababu wewe una njaa utaishia kufedheeka na kushangaa na roho yako Mzee.
 
Stop that, we were a protectorate not a colony. We were destined for independence once we are capable of managing our own affairs!
Nonsense.....Namibia too was a protectorate under South Africa but it was only through armed struggle she achieved her independence in 1990.....

achieving our independence peacefully was one of Mwl Nyerere's best achievements for this country.
 
Kakomboa wengine, kavamia wengine. Kwa mfano Zanzibar ndiye Nyerere alivamia.
Sababu za mapinduzi huko ni ubaguzi uliokuwepo huko uliotoa fursa kwa wanasiasa wa Tanganyika wa enzi hizo kuingilia mambo ya huko.
 
Sababu za mapinduzi huko ni ubaguzi uliokuwepo huko uliotoa fursa kwa wanasiasa wa Tanganyika wa enzi hizo kuingilia mambo ya huko.

Siyo kweli. Watanganyika na wengine wengi walikuja Zanzibar kama walowezi ndiyo hao Nyerere alitaka wapewe uraia wa Zanzibar halafu kura. Walivyokataliwa ndiyo uhasama ulianza.
 
Back
Top Bottom