Yale Yale ya ngumbaruNgumbaru manake uondoe ujinga!!!...…kwa hiyo nimefuta ujinga kosa langu nini?? mtu kufuta ujinga yaani wewe unaamini ni dhambi Loool pole sana!. Lkn nani alikwambia kuwa ni dhambiii??? Madrasa au Msikikitini ...….sasa Gumbaru na Madrass wapi Zaidi!! nijibu faster....
Hakuna mwenye akili timamu aliye wahi kumkosoa Nyerere!! km yupo mtaje! mie ntakutajia weusi wachache tu na sababu zao pia hali zao zilizo wasibu kisaikolojia, lkn bado Nyerere akawasaidia ki hali;
1; Tuntemeke Sanga -Huyu alikuwa mgonjwa wa akili!! baada ya kuvuta Bangii saana! ili ashinde mitihani yake huko ughaibuni!! na kweli alipasua paper vibaya!! kwa ajili ya bangi alipo rudi nchini akaanza mizaa ya kibangi !!!! kifanya kwa Nyerere aibu tupi! yaani hata watoto wadogo watacheka!
Julius kwa hekima akampeleka kuhudhuria clinic ya Hospitali ya karibu na kwao, kamwe hakutaka kurudi mjini kwa aibu! na mkewe Mmarekani alimkimbia na watoto kamwe hawakurudi mpaka leo!
2; Kambona; huyu MUOGA, KIGEUGEU, bENDERA, fuata upepo, maskini wa Mungu hakujua anafanya nini!! so alitamani sana Maisha ya uzunguni kuliko ya kwao Bongo !! hadi ndoa alifungia uzunguni na Padre mzungu, bado akatamani kwenda kuishi huko, na kweli Maisha yake yooote!
kifupi hakupenda watu weusi! mpakaa alipo zeeka akajua alikosea kwenda kuishi uzunguni, na alijonea aibu kuomba msamaha sababu hakujua, basi akarudi amezeekaaa sana!! mpaka kifo! akazikwa kwao huko kusini huko!
3;Mohamedi Babuu; mawee sasa huyu Bangi zili muharibu! Hata nywele alikuwa hachani vizuri alikuwa km chizi! hapo ni kwa uchache tu!
Sasa hata km ni wewe Rais wa jamhuri utafanyaje kazi na mlevi? tena wa Bangi?? hata hotuba zake zilikuwa kibangi bangi tu nikikuwekea humu utachekaaa!! …
mwingine eti Mpenda makuu ya uzunguni?? haya nendaaa! sasa kwani mtu kupewa anachotaka kuna dhambi gani!....Bibi titi alitubu akasamehewa, akaishi tumemzika juzi tu,.....
4.Mzee Mwinyi alikubali yakaisha huyo hapoooo!! anaheshimika mbaya na mwanae ni Rais! hao wengine km siyo Bangi na umalaya ni nini sasa??? mnadanganywa danganywa mnakubali si mtumie akili kidogo tuuu!!
5.Uncle thom aliachiwa tu aende anakotaka!!
6, Tamimu kajiua! Kwa kuhisi usaliti wake tuu! huyo afadhali alijihukumu mwenyewe ni shujaa!
7; Mac ghee pamoja na madhaifu yake yooote alisamhehewa kafa Tajiri mkubwa sasa kilicho wasibu hao wengine nini? km siyo tamaa ya kwenda kuishi na wazungu?..tena kwa kutumia kodi zenu na mlivyo majuha mnashangilia watu ambao hawawapendi!! ...wange wapenda wange komaa na nyie humu humu!
…...mwingine asiye jali watanzania. je leo hii mngefika hapo mlipo??
They Might be in a proper truck!! tink about dem!….. An intelligent Man always embraces a learning Lesson terms from both! …...a Stupid flocks' always flush dem in the septic's
Yale Yale ya ngumbaru
Aaaah! Unasema kweli Mkuu??? ……. Satha unanionea wivu MKuu au???......Mbona rahisi tu!!! km ukiona vepe wee njoo INbox na nikuunganishe Baba!!…. weye sema na penda size ipi, kwa siri lkn!Hulaumiki Nina wasiwasi hata sauti yako imekuwa lakini kama ya Nyerere. mapadri wa kizungu wailikufanya hivyo?
Mapadri wa kizungu wailikufanya hivyo ? Jibu swali mbona unageuka Nyerere unakimbia maswali ?Aaaah! Unasema kweli Mkuu??? ……. Satha unanionea wivu MKuu au???......Mbona rahisi tu!!! km ukiona vepe wee njoo INbox na nikuunganishe Baba!!…. weye sema na penda size ipi, kwa siri lkn!
tena weye ndo utakuwa safi maana hujaguswa, Ngoma nswanooo!!...usiogope hayo mambo ya kawaida tu!! hakuna atakaye jua mbona!
walaa simwambiii ntu!! kwani una dhania ni kazi bassi?? waala!! ...si unaona km saa hivi nilivoandika hapa umesha maliza unachukua chako unasepa zako kula chips!
ndiyo nakwambia na wewe njoo mkuu usiogope!Mapadri wa kizungu wailikufanya hivyo ? Jibu swali mbona unageuka Nyerere unakimbia maswali ?
Mapadri wa kizungu wailikufanya hivyo ? Jibu swali mbona unageuka Nyerere unakimbia maswali ?ndiyo nakwambia na wewe njoo mkuu usiogope!
Mbona unarudia swali hilo hilo tyuuuuuu!...Kma unaoana aibu njoo In boxMapadri wa kizungu wailikufanya hivyo ? Jibu swali mbona unageuka Nyerere unakimbia maswali ?
LijibuMbona unarudia swali hilo hilo tyuuuuuu!...Kma unaoana aibu njoo In box
ASA mie hao sionani nao mie na mitume wazungu-Mabeberu-mabepari ni vitu viwili tofauti sana!..labda utumegee kidogo hao mashkhe walicho kufanya make si mnakutana misikitini humo lazima utakuwa na uzoefu!Lijibu
Mapadri wa kizungu wailikufanya hivyo ? Jibu swali mbona unageuka Nyerere unakimbia maswali ?
Mapadri wa kizungu wailikufanya hivyo ? Jibu swali mbona unageuka Nyerere unakimbia maswali ?ASA mie hao sionani nao mie na mitume wazungu-Mabeberu-mabepari ni vitu viwili tofauti sana!..labda utumegee kidogo hao mashkhe walicho kufanya make si mnakutana misikitini humo lazima utakuwa na uzoefu!
lisemwalo lipo tu!...na umelisema ajili yauzoefu wako…...na mtasema mengi siku ya kiama
Bwana Yesu alisema , By their fruits you will recognize them, Mti wa CCM ulipandwa na Laanatullahi Nyerere, matunda yake ndiyo haya tunayovuna sasa, kuuliwa watu, kubambikiziwa, kesi na kuiba kura, kufilisiwa, na kila uchafu,Kuendelea kumlaumu Nyerere for your shortcoming ni uzwazwa. Sawa na kumlaumu babu yako kwa umaskini wako.
kama wewe hujasoma wenzio wamesoma....pumbavuNa sijui kama Lissu alikuwa amezaliwa 1961.
Na hao wasomi '61 na wapiga kura kidemokrasia 1961-1971 sijui kama huko Ikungi walikuwepo.
Ni wajinga tu hawajui kuwa kina Lissu wamesoma baada ya shule nyingi za Mission kutaifishwa na hata shule za sekondari kusoma bure.
Leo mtu anatukana mamba baada ya kuvuka mto.
Lissu angekuwa ana lima vitunguu Singida leo.
We mlima vitunguu, mchango wako hauna usomi wowote!kama wewe hujasoma wenzio wamesoma....pumbavu
kumbe nyerere ndo aliyetufikisha katika matatizo haya ya sasa.alifanya mambo mabaya sana basi tutamkumbuka kwa mazuri yake.Kumbe Nyerere hakuwa na demokrasia, alikuwa dictator mkubwa, eti huyo ndiye anakuja kuwa Mtakatifu!
Sikiliza kwa makini:
View attachment 2320649
lissu anafundisha si kwamba anatukana.anasema ukweli wa mambo na kama unahoja mpinge kwa hoja.kusema kuwa lissu alisoma shule zilizotaishwa na serikali is ilogical.wengi umesoma shule hizo na kwa taarifa yako huenda humjui lissu vzr wengine tumesoma naye hivyo tunaweza kusema jambo kuhusu yeye.Na sijui kama Lissu alikuwa amezaliwa 1961.
Na hao wasomi '61 na wapiga kura kidemokrasia 1961-1971 sijui kama huko Ikungi walikuwepo.
Ni wajinga tu hawajui kuwa kina Lissu wamesoma baada ya shule nyingi za Mission kutaifishwa na hata shule za sekondari kusoma bure.
Leo mtu anatukana mamba baada ya kuvuka mto.
Lissu angekuwa ana lima vitunguu Singida leo.
Lissu ni kama mtu aliyevuka mto halafu anawatukana mamba waliomkosa kosa.lissu anafundisha si kwamba anatukana.anasema ukweli wa mambo na kama unahoja mpinge kwa hoja.kusema kuwa lissu alisoma shule zilizotaishwa na serikali is ilogical.wengi umesoma shule hizo na kwa taarifa yako huenda humjui lissu vzr wengine tumesoma naye hivyo tunaweza kusema jambo kuhusu yeye.
Hivi kina Nyerere na wenzao na wao walikuwa wanabambikiziwa kesi za ugaidi? Na wao walikuwa wanatekwa na miili kuokotwa baharini? Na wao walikuwa wanapambana na polisi kila kukichwa?Kuna watu waliamini bila machafuko Tanganyika isingepata Uhuru, ila Mwl Nyerere (RIP) proved them wrong....na hatimaye tulipata Uhuru kwa amani tu....hata wewe siku moja utagundua diplomasia ndio njia bora ya kumaliza sintofahamu na kupata mnachotaka
Simwelewi tundulissu mtoto wa juzi amshambulie Nyerere kwa kukomboa Nchi hii na kujenga Taifa kabla yeye lissu wala hajazaliwa. Mwaka 1961 Nyerere mwalimu kijana wa miaka 39 Puguseco akivaa kaptura - inakuingia akilini eti aliacha Uwaziri Mkuu ili ajitengenezee udikteta? Eti aligombana na Wabunge I assume walikuwa wanataka Sir Richard Turnbull azidi kuwa Gavana na tumehuru. Anatoa kashfa kwa sauti ya ukali hadi kwa Yesu Kristu na Askofu Samba wa Musoma (wakati huo), akiapiza kuwa Nyerere kamuua Hanga, kapoteza watu. H6ow does he know alikuwa hajazaliwa? Si rahisi kuamini tundulissu anajua dynamics za Utakatifu (nasikia ni Katoliki!). Anajua historia ya Mtume Paulo? Au Emperor Constantine? Au Mashahidi wa Uganda at least watatu walikuwa UPDF, wawili wakiwa Watemi? Ni masikitiko kuona mtu huyu anathubutu kudiriki anaweza kuitawala Nchi yetu kiulaini hivyo anatuonaje? Ilani yao 2030 sijui itasemaje baada yakumtukana almost kila mtu, mnyongwe wake Nyerere marehemu.Hivi kina Nyerere na wenzao na wao walikuwa wanabambikiziwa kesi za ugaidi? Na wao walikuwa wanatekwa na miili kuokotwa baharini? Na wao walikuwa wanapambana na polisi kila kukichwa?