Yeye ndio chanzo cha matatizo tuliyonayo TZ e.g katuachia katiba mbovu,katuachia chama cha majambazi etc
Me' dhaifu woote ndo walivo kwa nini hukumpinga???...ulifungwa kamba au...walio shindwa km weye walitoroka siasa zake km Kambona mpaka walikufa kibudu au bebeeru alikukataa!! ulikuwa huna hela??…
kazi ya kumpinga Mkoloni afanye yeye kwa kuhatarisha uhai wake eti wewe Dume zima mla vihepe ufaidi matunda uhuru waake iv!hivi tuuu?? acha utani bana !!km vepe si ungeolewa ulikuwa wapi kudai uhuru na kuulinda!????
Mkoloni katamba humu Zaidi ya miaka mianne 400, aliwalimisha kawauza kama mbuzi hakuna aliye kuwa na uthubutu wa kumshika shati, isipokuwa Nyerere tu!!
na hata hao hao waliomjaribu wakashindwa mbaya, kaburu na jeuri yake yooote, pale kwa mchonga alikoma, sasa leo hii umejua kukaa nyuma ya key board kwa uhuru na kushiba unasema haya kweli??...
hata shetani anakushangaa mnoo! fikiria tu muuza watumwa kamshindwa pamoja na mipesa yake yooote weye ni nani mpaka uhoji! hiyo katiba ndo iliwafaa Mbuzi km nyie, situkani lkn mna stahili kuwa ivo,
Mna hoja hoja za level ya kihayawani kabisa! ambao hao wanaweza fugwa wakala na kunywa waka Shiba lkn wakaweza kunya popote hata sebureni kwako na uka zoa make hawajui kutofautisha sebure na pori!
Misimamo km hii ndo ilimfanya David Cameroon kuwaomba wanaume wa Bongo nyaa muolewe!! ili mpate misaada eti bila aibu mkalia weeee!! mpaka akajiuzuru tena hakutaka hata kuomba msamaha!!
sema ukweli wako ni wapi David Cameroon aliomba msamaha mpaka leo lile neon ni hai….....kuumbe ni kweli mna stahili kuolewa!!..iko siku isiyokuwa na tarehe mtashikwa tako hadharani! ...subirini tu!
Julius Kidume yule alikataa hela za Beberu wazi wazi!!! sijui misaada, kujipendekeza alikataa kabisaaa!! bora afe au aachie ngazi kuliko kuishi kwa kupiga magoti!! alikomaa na ndg zake weusi wa kusini,
akaungwa mkono na vidume wakuryaa wahehe, wasukuma, Wakawapiga Mkaburu mpaka leo anaimba haleluya mzanaki, na wamesalimu amri hao hapo wanazalisha Serengeti na Dsm Breweris, NBC,.
sasa leo mkilewa pombe mnakuja humu kuharisha mijineno, kwanza angekuwepo tungekufinya kidogo pale ukonga ili akili ikukae sawa make ndo mnastahili hayo!! wazaramo mna shida sana!
Kakuachia katiba mbovu si uko huru kuipinga ?? wkt hayupo bado unalalama... sisi tukufanyie nini sasa ? kwani umezuiwa na nani??! kuropoka ropoka nyuma ya key Board niuoga wa kike!
km weye ni ke nitakusamehe bure lkn km ni dume asee nakuchapa mijeredi mpaka akili ikuingie kisawa sawa ….ua sitaki ujinga mimi!!….aliwakomesha yaani hayupo lkn bado mna lia lia tu!
sometimes huwa nawaza bora alifanya hivo! ili muwe mnamkumbuka!...si unaona Mwinyi alikuwa mpole wala hammkumbuki, hapa najifunza kitu watu ni kuwa finya korodani tu ili wakukumbuke vizuri!
Peleka huko vijijini wakaliwe na chatu! ...naam! hapo Mwafrica kiroho kwatuuu!!…...nyie subirini tu nakuja kamata usukani nasema wabongo km nyie mbona mtakoma Mwana shikilia sana hii avatar!!
uijue na ikujue! ili uwahi utakapo niona hapo magogoni uwe umewahi nafasi mapema huko kwa Beberu, vinginevo utayamba kifukuto!!...mie siui mzoga ila nakata nafunua!! ..ukiona kivuri change tu!
unakipa shikamoo kodada!...ndo mnastahili hayo na mie sifi kma huyo jiwe wenu!!